Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Shida yako ukimwi?je kama anatumia ndomu hapo unasemaje..halafu hao mabinti wenyewe hawasomi wantaka wafaulu..sasa wanafuli vipi kama hawasomi? And there its comes the lecturer..hata mimi siwaachi asee.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
Na hata ninyi maofisini ni kuwavua wake na dada zetu chupi kutwa na wakati mwingine humo humo ofisini
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Msiwalaumu walimu aka malecturers, wanafunzi wa kike wasiojitambua ndo wanaliwa wanaojitambua hata akisumbuliwa vipi anabaki kuwa na msimamo. Kama una demu au mke asikidanganye kuwa eti analazimishwa, kama ndivyo akatoe taarifa polisi na mhusika achukuliwe hatua.
Suala la wanawake kuliwa lipo kila eneo, halijaanza leo wala Jana, Mimi nilishuhudia mwalimu shule ya msingi akimtafuna mwanafunzi wake gesti, tumeshuhudia hata viongozi wa dini wakitafuna waumini.Ma-housegirl ndo usiseme.Bodaboda na abiria wa kike ni mwendo mdundo.ILA KAMA UNA SPECIAL CASE, ITOE HAPA AU KWA MAMLAKA ZINAZOHUSIKA.KAMA NI DEMU WAKO KALIWA, TULIA TAFUTA MWINGINE, ACHA SHOBO
 
Pisi kali zinapendelewa kupata kazi big 4 auditing firms soon after graduations.. huko ndipo wanapopata cpa kiurahisi, maana kuna majembe mengi yanawamezesha majibu ya maswali. Na ofisi za big 4 zinawapa sapoti ya kila mbinu ili wapate cpa haraka
Hizo big 4 firms ndio zipi kwa hapa bongo?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
leta ushahidi. kama huna ushahidi acha kuchafua watu
 
Serikali sijui ipo wapi katika hili? Ni miezi miwili sasa nilileta uzi wa mie kutokuoa huku nikilia na kuumia.Ukweli ni kwamba huyo binti kafanya na Lecturer wa UDSM ambaye pia ana sessions pale DUCE anaposoma binti.Namfahamu kwa jina moja tu mkufunzi huyo.Siwezi mfanyia lolote kwasababu inawezekana walikubaliana na si kwa mashinikizo.Nimesonga mbele na maisha yangu kwa kukaa kimya.

Swali nalojiuliza;
Je,huyu binti ana uhakika kuwa ataolewa na huyo mkufunzi?Ana nia ya dhati kama niliyokuwa nayo?
Kwakweli nabaki namhurumia huyu binti sana,acha aijue Dunia ilivyo.
Refer:

Hayo mambo ua kuolewa utayajua wewe wenzako wanatafuta kumaliza chuo salama..bila kusoma..na sikuhizi wanakwambia aliolewa mam inatosha...wao ni mwendo wa kula ujana..wewe endelea na mapenzi ya kihindi na hauna pesa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo la msingi ni kusoma, kama binti atakuwa mzembe atatumika mpaka anamaliza. Kama anajiona Lopez hata class haji mitego ya ma 'lecturer' itamsakama tu.
#Happy77
 
Mkuu speaking from experience hii sio suluhu. Wakati mwingine haya yanayoitwa rushwa ya ngono vyuoni kiuhalisia sio rushwa ya ngono bali ukosefu wa maadili kwa wahusika wote wawili. Watoto wetu hatupati nafasi ya kusema nao, hawana maadili tena. Kwao ngono ni jambo la kawaida ambalo anaweza kufanya na yoyote na wakati wowote. Imagine walinzi, madereva, na hata wafanya usafi wa taasisi hizi ni wanufaika wakubwa wa hawa vibinti.
Kama wapo waalimu wanaowala wala hawafanyi hivyo kwa sababu ya course work, wanawala katika mazingira ya kawaida sana ya binadamu wa kawaida. Hii ndio maana mara zote hizi kesi zimebaki kuwa hisia tu kwani huwa hazipati ushahidi hata pale zinapokwenda mahakamani.
Habari ya ngono ni janga kubwa kwa kizazi hiki sio kwenye taasisi za elimu tu, iko kila mahala; sokoni, kanisani, misikitini, majumbani, barabarani na kila mahali.
Na hawa watoto wanaoitwa wa chuo wako salama zaidi wawapo chuoni kuliko hayo maeneo mengine.
Suluhu ni mitihani na coursework na usahihishaji itoke nje ya chuo husika. Either chuo kingine au bodi maalum ya taifa ya mitiani vyuoni. Vyuo viwe vinafundisha tu na kutoa majaribio. Hapo lactures watakuwa hawana kisu cha kumtishia mwanafunzi.
 
Mkuu speaking from experience hii sio suluhu. Wakati mwingine haya yanayoitwa rushwa ya ngono vyuoni kiuhalisia sio rushwa ya ngono bali ukosefu wa maadili kwa wahusika wote wawili. Watoto wetu hatupati nafasi ya kusema nao, hawana maadili tena. Kwao ngono ni jambo la kawaida ambalo anaweza kufanya na yoyote na wakati wowote. Imagine walinzi, madereva, na hata wafanya usafi wa taasisi hizi ni wanufaika wakubwa wa hawa vibinti.
Kama wapo waalimu wanaowala wala hawafanyi hivyo kwa sababu ya course work, wanawala katika mazingira ya kawaida sana ya binadamu wa kawaida. Hii ndio maana mara zote hizi kesi zimebaki kuwa hisia tu kwani huwa hazipati ushahidi hata pale zinapokwenda mahakamani.
Habari ya ngono ni janga kubwa kwa kizazi hiki sio kwenye taasisi za elimu tu, iko kila mahala; sokoni, kanisani, misikitini, majumbani, barabarani na kila mahali.
Na hawa watoto wanaoitwa wa chuo wako salama zaidi wawapo chuoni kuliko hayo maeneo mengine.
Duu.
 
Yaani mtu anakufata sister nitafutie miso

Unamuuliza ya nini anakwambia imenasa [emoji28]

Yaani wanaume nawahurumia na hii generation mpo,

Wanatumia p2 kama panadol, badae wataanza kutafutana uchawi
Hizo P2 kuna mshkaji wangu anaishi nazo ghetto kwake yani yeye hiyo ni mojawapo ya package katika vitendea kazi. Mpaka leo hii anadai alishawahi tungisha mimba tatu ila hana mtoto hata mmoja
 
Watoto wakike wapo kwenye hatari maeneo mengi Sana ya mapito yao ya maisha, siyo chuo tu, nimeshuhudia maeneo mengi sana kuanzia safari yao ya masomo ya primary Hadi kupata ajira kote ni hatari tupu na hii inatokana na mifumo mibaya ya elimu ktk nchi yetu,
Anapokuwa shule ya msingi na secondary wengi hurubuniwa na waalimu wenyewe na hata wauza chips na zaidi Sana Bodaboda kwa wale wanao soma Day haswa shule za kata zilizo vijijini,
Kwa wanafunzi wa vyuo vyoootee kuanzia certificate had masters hao ni chakula ya ma lacturers, ili apate GPA nzuri lazima aliwe, na katika hili mm nailaumu sana serikali kwa kuwaachia hao lacturers kutunga mitihani na kuisahisha wenyewe, viongozi wetu wengi ni wanawake sijui hawalioni hilo?
Wanapo enda Field huko nako wanakutana na changamoto za wakuu wa idara ama kazi, ili wapate ripoti nzuri lazima agawe papuchi kwa mkuu wa idara na pengine hata wasaidizi wao,na wengi hudanganywa kuwa baada ya field watapatiwa ajira eneo husika.
Wanapo enda Sasa kutafuta ajira huko ndiko balaa kabisa maana kama hugawi uchi basi ajira utaisikia kwa wenzako, namfahamu jamaa mmoja yeye ni manager wa kituo fulani kikubwa cha mafuta ambacho pia kinahusika na masuala ya Hotel's, yeye kila wiki anatoka na demu mpya kwa kuwadanganya atawapa kazi,wengi wanao enda omba ajira pale huacha no zao za cm na baadae jamaa anawatafuta private na kuwarubuni,
Kwahiyo kwa ujumla watoto wakike wapo ktk wakati mgumu kwa 80% ya maisha yao.
Umeandika uhalisia mtupu na hasa vyuoni ukiwa mgumu wanaume Wana mtandao mkubwa ku disco nje nje kwa sababu za kijinga. Wanaume msilaumu wanawake bana tunapitia mengi ni neema tu ya Mungu hutuvusha aisee kitu haki yako lakini Hadi upate lazima uzalilike kimwili na kihisia na hata huko makazini ni hvo hvo
 
Bahati yangu mbaya sikupata GPA ya 3.8 Bachelor. Ningeutafuta ulecturer kwa nguvu zote kufaidi hawa watoto.
 
Suluhu ni mitihani na coursework na usahihishaji itoke nje ya chuo husika. Either chuo kingine au bodi maalum ya taifa ya mitiani vyuoni. Vyuo viwe vinafundisha tu na kutoa majaribio. Hapo lactures watakuwa hawana kisu cha kumtishia mwanafunzi.
Udsm kwa post graduate dissertation husaishwa na internal na ma extrnal hata external alikupa marks nzuri wa ndani wanabana na kukusumbua na wao huteteana Sana, in short ngono chuoni na makazini hupunguza ufanisi mkubwa
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Kuna Prof mmoja, msabato, chuo kikuu Fulani analamba vibint Kati ya miaka 19-22 zaidi ya hapo hapana.
 
Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.

Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
Kwani degree na kiingereza vinahuusiano gani.. basi wananchi wate wa uwingereza wanadegree wale..

Hili ni swala la kimaadili zaidi na halihusiani na lugha.
 
Kwote umeongea vizuri, but kwenye kingereza hapo why kitumike ku judge ability ya mtu? Tena yule aliyekijulia secondary?
Kwasababu bila kujua kiingereza huwezi kufaulu chuo kikuu. Research uliandikaje mkuu bila kujua kiingereza?
 
Why Kingereza mkuu....!nikikutana na binti hajui Kingereza sawia nijue....vipi kuhusu wavulana!
Hapo kwenye kiingereza inagusa pande zote. Sasa hawa wakiume wenye mapungufu hayo hizo degree zao sijui wanazipateje.

Ngoja nitafanya utafiti.
 
Back
Top Bottom