Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Kwani degree na kiingereza vinahuusiano gani.. basi wananchi wate wa uwingereza wanadegree wale..

Hili ni swala la kimaadili zaidi na halihusiani na lugha.
Unawezaje kusoma chuo kikuu kinachotumia kiingereza kama medium of instruction bila kujua kiingereza?

Je research/thesis yako unawezaje kuiandaa na kufaulu bila kujua hicho kiingereza?

Hapa ndio madhaifu ya elimu yetu ya bongo yanapoonekana na ndio maana tunakosa credibility nje ya nchi. Haiwezekani graduate amefanya research amepata A+ halafu kiingereza hajui. Hapo lazima kuna walakini.

Ni sawa na wale watoto mtu anamaliza form four hata kuandika na kusoma hajui. Huo ni wenda wazimu.

Kwahiyo nyie graduates mnaosema degree haina uhusiano na lugha basi inabidi mkapimwe akili na mkojo. Maana inawezekana kama sio mna mtindio wa ubongo basi kuna madawa mnatumia ambayo hayafai.
 
Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.

Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Degree za Victoria Secret's bikini.

Sent using Jamii Forums mobile app
U
 
Itasikitisha sana endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Udsm kwa post graduate dissertation husaishwa na internal na ma extrnal hata external alikupa marks nzuri wa ndani wanabana na kukusumbua na wao huteteana Sana, in short ngono chuoni na makazini hupunguza ufanisi mkubwa
Basi iwe kama NECTA yaani kazi yao ni kufindisha tu ili wapimwe pia uwezo wao wa kufaulisha
 
Nendeni secondary ni hatari, nakumbuka kipindi nipo form 4,kulikuwa binti mmoja ana maziwa makubwa halafu hajalala yamejaa vizuri,sasa akivaa shati vifungo viwili vya juu hafungi,alikuwa na mitego.

Sasa na kumbuka kuna siku nimechelewa nipo wenzangu pamoja na yule binti,kuna ticha mmoja alikuwa anatufundisha Physics ndiye alikuwa zamu, sisi wengine tulipewa adhabu ya kufagia na fimbo tatu tatu. Ilipo fika zamu ya yule binti akawa anabishana na mwalimu mara wajibizane, kumbe kuna wana wakaniambia ticha anapona hapo,mwishoe akamwachia,aingie darasani bila adhabu yoyote.

Sasa ukija huku secondary hasa za kata ndio husiseme na wadogo zetu wanavyo penda hela, kuanzia walimu, madereva wa bodaboda na bajaj wana wa gonga kwa tamaa zao. Sasa binti kama huyu akiingia chuo, kwake rushwa ya ngono ni kitu kidogo sana kwani kishazoea KUTOA ili APATE kile anacho kihitaji.

Ila kweli wapo malecture ambao wanashindwa kujizuia tamaa zao za kimwili na wa nongwa si kidogo,hawa mabinti wa kiwakataa basi mtoto wa watu anakuwa na wakati mgumu.
 
Watoto wakike wapo kwenye hatari maeneo mengi Sana ya mapito yao ya maisha, siyo chuo tu, nimeshuhudia maeneo mengi sana kuanzia safari yao ya masomo ya primary Hadi kupata ajira kote ni hatari tupu na hii inatokana na mifumo mibaya ya elimu ktk nchi yetu,
Anapokuwa shule ya msingi na secondary wengi hurubuniwa na waalimu wenyewe na hata wauza chips na zaidi Sana Bodaboda kwa wale wanao soma Day haswa shule za kata zilizo vijijini,
Kwa wanafunzi wa vyuo vyoootee kuanzia certificate had masters hao ni chakula ya ma lacturers, ili apate GPA nzuri lazima aliwe, na katika hili mm nailaumu sana serikali kwa kuwaachia hao lacturers kutunga mitihani na kuisahisha wenyewe, viongozi wetu wengi ni wanawake sijui hawalioni hilo?
Wanapo enda Field huko nako wanakutana na changamoto za wakuu wa idara ama kazi, ili wapate ripoti nzuri lazima agawe papuchi kwa mkuu wa idara na pengine hata wasaidizi wao,na wengi hudanganywa kuwa baada ya field watapatiwa ajira eneo husika.
Wanapo enda Sasa kutafuta ajira huko ndiko balaa kabisa maana kama hugawi uchi basi ajira utaisikia kwa wenzako, namfahamu jamaa mmoja yeye ni manager wa kituo fulani kikubwa cha mafuta ambacho pia kinahusika na masuala ya Hotel's, yeye kila wiki anatoka na demu mpya kwa kuwadanganya atawapa kazi,wengi wanao enda omba ajira pale huacha no zao za cm na baadae jamaa anawatafuta private na kuwarubuni,
Kwahiyo kwa ujumla watoto wakike wapo ktk wakati mgumu kwa 80% ya maisha yao.
Mkuu uko sahihi sana. Pamoja na hayo walimu na wahadhiri wengi ni wa kiwango cha chini sana halafu kikubwa MAADILI hawana kabisa. Popote pale iwe mashuleni, vyuoni , maofisini na hata majumbani kama wazazi maadili ni muhimu na yanafundishwa. Tusiwalaumu binti zetu peke yake.

Rushwa hizi ni dalili ya kuporomoka kwa kiwango chetu cha Elimu yaani maadili kwa upande mmoja na maslahi kwa upande mwingine. Mwanafunzi wa Masters au PhD anasimamiwa na mhadhiri ambaye amechoka kuliko mwanafunzi unategemea nini?
Suluhisho tujipange upya kuhusu elimu yetu tunayoitoa kwa vijana wetu.
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Toa ushahidi acha UMBEA UMBEA
 
Mkuu uko sahihi sana. Pamoja na hayo walimu na wahadhiri wengi ni wa kiwango cha chini sana halafu kikubwa MAADILI hawana kabisa. Popote pale iwe mashuleni, vyuoni , maofisini na hata majumbani kama wazazi maadili ni muhimu na yanafundishwa. Tusiwalaumu binti zetu peke yake.

Rushwa hizi ni dalili ya kuporomoka kwa kiwango chetu cha Elimu yaani maadili kwa upande mmoja na maslahi kwa upande mwingine. Mwanafunzi wa Masters au PhD anasimamiwa na mhadhiri ambaye amechoka kuliko mwanafunzi unategemea nini?
Suluhisho tujipange upya kuhusu elimu yetu tunayoitoa kwa vijana wetu.
Ninacho jiuliza kwa hasira kubwa ni kwamba viongozi wengi tuliyo nayo setikalini ni wakike na asilimia kubwa nauhakika wameyapitia wanayo yapitia watoto wakike huko mashukeni na hata vyuoni, je inakuwaje wanayamaza na hawabuni mbinu mbadala angalau wa kumaliza ama kupunguzia tatizo Hilo, kwani Nini kinawashinda kutoa Amri mitihani yote itungwe na kusahishwa na NECTA?
 
Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.

Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
To be honest tunahitajika kuzungumza mno na hawa wasichana huko chuoni

Wanajirahisi kupita kiasi
Malecturer nao ni wanaume mashababi kuruka mitego ya hao wabinti ni Neema za Mungu

Yaani nawahurumia hao watakaotarajia kuoa hichi kizazi kilichopo chuo kwa sasa

Wanatumika mno jamani
Daaaah mnasaga kunguni kweli kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Serikali sijui ipo wapi katika hili? Ni miezi miwili sasa nilileta uzi wa mie kutokuoa huku nikilia na kuumia.Ukweli ni kwamba huyo binti kafanya na Lecturer wa UDSM ambaye pia ana sessions pale DUCE anaposoma binti.Namfahamu kwa jina moja tu mkufunzi huyo.Siwezi mfanyia lolote kwasababu inawezekana walikubaliana na si kwa mashinikizo.Nimesonga mbele na maisha yangu kwa kukaa kimya.

Swali nalojiuliza;
Je,huyu binti ana uhakika kuwa ataolewa na huyo mkufunzi?Ana nia ya dhati kama niliyokuwa nayo?
Kwakweli nabaki namhurumia huyu binti sana,acha aijue Dunia ilivyo.
Refer:

Duuuuh poleeeh sana.
 
Wamekamatwa wengi... NIT, ATC, UDSM... Mtafute Madam mmoja pale Udsm anaitwa Shule ni alikuwa ana pambana na hili janga pale udsm nazani mpaka sasa, kama jamii Inge muunga mkono basi angalau kitu kikubwa kinge tokea
IFM? [emoji23][emoji23]
 
Mnawapa lawama walimu sana mmesahau changamoto wakutanazo mabinti chuoni,unataka kuniambia wale wanafunzi wanaojiuza nao wanatafuta GPA? Wazazi wapeni mahitaji binti zenu sio kuwaacha kama vifaranga wanapofika chuo.
Nakubali hapa.
 
Udsm kwa post graduate dissertation husaishwa na internal na ma extrnal hata external alikupa marks nzuri wa ndani wanabana na kukusumbua na wao huteteana Sana, in short ngono chuoni na makazini hupunguza ufanisi mkubwa
Sasa sahivi kibachofanyika vyuoni, sio watoto wa kiume wala wa kike wote wanapitia changamoto 1, na hivi hapa nchini kuna unafiki ipo siku kila kitu kitakua wazi.
 
Back
Top Bottom