Wakati mwingine ma-lecturers wanafanya kazi yao kwa usahihi kabisa, ila wale vijana wanaofanya kazi ofisi ya msajili wa chuo ndio wanaokuja kuharibu matokeo kwa kuya-edit na kuzawadiwa mzigo na hawa dada zetu wanaopenda mserereko!Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.
Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada zenu / Mabinti zenu 'Watatiwa' sana na Wahadhiri ( Lecturers ) hadi wakome kwani Kutokuwa Kwao na Akili na Kutopenda Kusoma ndiko Kunawagharimu na nasisitiza tena kuwa 'Watakazwa' mno tu huko Vyuoni.
Yaani Mhadhiri uko busy unafundisha mbele huku hata Usiku hujalala vyema kwa ajili ya Kuandaa Somo halafu unawaona Watoto wa Kike wanachati na Vibwana vyao huku wakiwaangalia tu akina Diamond, Harmonize, Nandy na Zuchu na Kujadiliana Umbea mtupu tu halafu anataka umpe 'Maksi' kiuwepesi.
Watapigwa 'Pumbu' ile mbaya mpaka Akili za Kupenda Kusoma ziwajie ( ziwarudie ) Kudadadeki. Kwanza mmeshajiuliza kwanini Wanafunzi ( Wanavyuo ) Werevu wa Kike huwa hawasumbuliwi hovyo na Wahadhiri ( Lecturers ) Vyuoni?
Wahadhiri wa Kiume Vyuoni heko sana.
Na wewe kula dada zao au wadogo au watoto wao !!Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.
Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo
Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.
HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana.
Sio matatizo ya kifamilia, wanakimbia ofisi, kazi hawawezi.Hizi degree za chupi zinatusumbua sana huku maofisini kazi zenyewe hawawezi. Kutwa majungu na masafari tu ruhusa mwanzo mwisho matatizo ya kifamilia.
Subiri utendaji wa wateule vodafasta walioapishwa tangu SSH achukue nchi. Mteule anaingia ofisini hata office protocol hajui, ukigonga hodi anaamka kuja kukufungulia mlango.Yaani maofisini ndiyo majanga! hawajui kitu! Hata huko Kazi ni hiyo2 kwenda na maboss wao. Wakati wote ni ruhusa naumwa Mimi/mtoto/sijisikii kufanya Kazi/tumbo la chini linaniuma/naenda kupima chango sijui linataka mtoto nk.
Ndiyo maana weupe hawatakagi kabisa kuajiri Hawa jamaa! Halafu wanawaelekeza kuajiri 50/50! Only in Africa.
Wewe utakuwa mmiliki wa degree ya chupi.Usiandike story za kijiweni hapa kuchafua taaluma za watu. Wewe upo chuo gani? Tunaomba ushahidi
Na vijana wa kiume nao wakisha jua Binti analeta paper hawasomi, wanasubiri, kwani atawaletea kwani majibu huwa hana uwezo wa kuyamudu.Tatizo mabint wenyewe ndio wanao taka mteremko wanataka GPA nzuri bila kujituma kusoma hivyo usitegemee wadada watoe ushirikiano katika hilo wakati wao ndio mara nyingi huwa wagitaji wakuu kwa kupenda kufanikiwa pasipo kuumia.
Ndio maana degree za sasa tenanhasa mabinti ni za hovyo na hazina hata uhalisia ni bora hata darasa la pili maana ni mambumbumbu pamoja na kuwa na degree
Na hii ndio sababu unakuta binti ako na hata masters lakini hata kuongea, kuandika na kusoma english shida tupu, kuna shida kubwa sana, na ndio unaona most graduates are just idle, are not creative, neither are they innovitive, na wanakaa tu mutaani , hawajui mbele wala nyuma, mimi as an employer i do and research very very well when hiring a lady graduate, all in all, ni kubaya