Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Serikali ndo inalea uchafu huu. Ingeweza kuweka vijana wake kufuatilia kwa siri, akibainika anafukuzwa tu kazi na kutangazwa wazi.

Kwa upande mwingine vibinti vyetu vinatumia muda mwingi kustarehe badala ya kusoma. Hivi vibinti pia ni tatizo. Na kwa kuwa anajua akivua chupi anapata alama, basi wamejilegeza hadi basi.

Ukisema watoto wa kike ni shida utasikia wapewe nafasi wanaweza.

Hata mtaani,ukiona demu ana kazi nzuri, usafiri wa nguvu na biashara nzuri ndani ya muda mfupi, jua kashavua chupi.

Nipigwe tu mawe ila nimeshasema. I log off.

Ndio hapo utakapogundua kwamba pengine tatizo sio sisi wanaume, ndio maana nikasema tatizo tunalijua ila tunalizunguka!

Mimi nilichogundua, hawa wenzetu wanawake wana shida na mara zote wanapenda ku play victims hata pale ambapo wao ndio tatizo.

Mfano hapa utawaona wakilalamika ooh malekchara wanawatafuna.. ooh wanalazimishwa. Haya, tuseme ni kweli kwamba malekchara wanawalazimisha kwavile wao ndio wameshika rungu.

Je mitaani huku ambako wanawake wanagawa uroda kama njugu, nako ni nani anawalazimisha? Wake za watu wanatafunwa kila upande na madereva bodaboda, waosha miguu, wauza urembo, mashamba boy, walinzi nk je hao hua wanawalazimisha? Wamama watu wazima kabisa wanatafunwa mbayaa na vijana wadogo, nao wanalazimishwa? Maofisini huko wadada wanaliwa na co-workers (wala sio mabosi), kwenye nyumba za kupanga wadada wanatafunwa na wapangaji wenzao, nao wanawalazimisha? Makanisani huko wadada wanaliwa na wachungaji, waumini wenzao, nk je nao wanawalazimisha?

Kiufupi tuseme tu wanawake wenyewe wa sasa wanapenda sana kuliwa hakuna cha lekchara wala nani. Sema wenyewe kutwa kutafuta visingizio oooh tunalazimishwa, oooh tunatekiwa advanteji..

NONESENSE!
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo

Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Hii ishu mna exagerate sanaaa jaman...kwahyo kama masomo yapo 9 semista zote mdada anakua anagawa kwa walimu wote tofaut tisa ili afaulu masomo yote apate gpa nzur?....maana huwez tengeneza gpa kwa somo moja au mawil...

Hii ishu uongo umekua mwing sana na kubun bun vitu
 
Zinaitwa degree za chupi. Zimejaa sana mitaani ndio maana unakutana na graduate hata kujieleza tu shida.

Kiingereza chenyewe kinatia kichefuchefu. Unajiuliza huyu mtu alifaulu vipi mpaka kapata GPA ya 4? Then ghafla unakumbuka kumbe kuna degree za vyupi.
Mi siamin hilo...kwan gpa inatengenezwa na somo moja au mawil?...inamana kama kuna masomo 9 mtoto wa watu kafaulu..inamana yote analala na hao wazee?duh bas ni hatar....maana huwez tengeneza gpa na somo 1 au mawil. Inamuhitaj mtoto wa kike alale na walimu wote wa masomo 9 ili kufaulu vzur semista zote ili apate hyo gpa...

Naamin..ukwel ni mdogo sana kwenye hii ishu.
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo

Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Naomba utuwekee picha ya hao wasichana na walimu wao ili kuipa uzito hii shutuma.
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo

Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Nlisoma chuo na dada mmoja kilaza hasaa hutoka Zenji (shombe flani) Kila semester ana-SUP za kutosha nikashangaa kwenye Graduationa ye ni moja ya wanafunzi Bora, Darasa lima tulipigwa na Butwaa
 
Hapa ma lekchara watalaumiwa bure tu lakini wote tunajua tatizo lilipo. Sikatai kweli kuna baadhi ya ma lekchara wanaotafuna wanafunzi kwa makubaliano (aftaroo siku izi ma lekchara ni vijana wadogo below 30) ila nakataa kabisa mabinti hawa HAWALAZIMISHWI kuliwa na hao ma lekchara labda asilimia 0.0001. Kwahiyo swala la RUSHWA ya ngono vyuoni, hata kama lipo ni kwa asilimia ndogo sana. Ukweli ni kua mabinti wengi wa chuo wanatafunwa sanaa na kila mtu na wenyewe wanapenda saana kutafunwa hususan na malekchara, hata bila kuahidiwa maksi wala chochote!

Lakini hebu tujiulize, hivi ni nani ambae hatafuni mabinti wa chuo? Mawaziri, wabunge, wakurugenzi, madaktari, wachungaji, maaskari, wafanyabiashara wenye maduka ya nguo, simu nk, wapiga picha, bodaboda, bajaji/uber/taxi, wauza chips, wananchi wa kawaida... Wooote hawa siku za ijumaa jioni utawakuta wamepaki ma vieite, ma vanguadi, ma prado, ma subaru na mabajaji yao makali makali nje ya fensi za vyuo wanasubiria kuwa pick warembo na hapo kuwarudisha ni jumatatu asubuhi na mapema...

Kwahiyo bana sisi acha tuendelee kuwalaumu malekchara tu lakini ukweli wa hili jambo unajulikana na upo wazi sema tunajidai hatujui tatizo lilipo.
Umemaliza kila kitu na ulikuwa na mawazo kama mimi.
 
Mi siamin hilo...kwan gpa inatengenezwa na somo moja au mawil?...inamana kama kuna masomo 9 mtoto wa watu kafaulu..inamana yote analala na hao wazee?duh bas ni hatar....maana huwez tengeneza gpa na somo 1 au mawil. Inamuhitaj mtoto wa kike alale na walimu wote wa masomo 9 ili kufaulu vzur semista zote ili apate hyo gpa...

Naamin..ukwel ni mdogo sana kwenye hii ishu.
Njaa na tamaa zao ndio zinawaponza amna cha course work wala nini?
 
I remember nikiwa chuo mabinti waliopelekewa moto wote ni wale wavivu watoro na wapenda bata.

Kwa mdada anayefaulu anafanya kila ktu kwa kujituma n vigumu munoooo kuliwaa na lecturer. Wengne wenyew kwa kuogopa sap na disco vumbi.. hujipeleka machinjion...
 
Watu wanadhani tatizo lipo kwa ma-lecturer la hasha! hawa mabinti wa sasa ni matatizo. Marafiki zangu ambao ni wahadhiri wanakutana na mitego mingi mnoo kutoka kwa hawa mabinti.

Ngoja niishie hapa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Tatizo hawa wanachuo wanajiweka wenyewe sokoni hivo malecturer nao hawana la kupangua, toto kama toto ukiitizama unasema imeshushwa yaani ni chiksi moja imepoa.

Alafu sasa mtoa mada umebase na sababu moja tu eti maksi za course work.
Ungejua walimu wa vyuo wala hawana haja ya kumpata demu kwa ajili ya coursework, sasa hivi sababu ni njaa na tamaa zao.

Labda toto ikiona mwalimu wake yuko smart anatembelea Crown au Premio new model, toto linakuja ofisini kila saa excuses kibao huku mitego kibao[emoji28][emoji28] nguo nyepesi kabinua tako moja mstari wa chupi ule au kapandisha kaskin chake mstari wa qumaa ule [emoji39] afu oooh mwalimu when is your birthday nikuletee zawadi sasa hapo lecturer anatongozwa kwa nini kama ni mwanaume asito....

Acha wapigwe pumb mpaka waugue ngwengwe kama ipo [emoji23][emoji23] siku hizi watoto wakike hawakamatiki hapa mjini yaani wapo kimaslahi zaidi. Yaani usije ukaumiza kichwa kudeal na mtoto wakike. Shuleni olaah, nyumbani olaah yaani hadi cousin anakula hawaaminiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo

Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana

Lets proof ata kwa picha
 
Hapa ma lekchara watalaumiwa bure tu lakini wote tunajua tatizo lilipo. Sikatai kweli kuna baadhi ya ma lekchara wanaotafuna wanafunzi kwa makubaliano (aftaroo siku izi ma lekchara ni vijana wadogo below 30) ila nakataa kabisa mabinti hawa HAWALAZIMISHWI kuliwa na hao ma lekchara labda asilimia 0.0001. Kwahiyo swala la RUSHWA ya ngono vyuoni, hata kama lipo ni kwa asilimia ndogo sana. Ukweli ni kua mabinti wengi wa chuo wanatafunwa sanaa na kila mtu na wenyewe wanapenda saana kutafunwa hususan na malekchara, hata bila kuahidiwa maksi wala chochote!

Lakini hebu tujiulize, hivi ni nani ambae hatafuni mabinti wa chuo? Mawaziri, wabunge, wakurugenzi, madaktari, wachungaji, maaskari, wafanyabiashara wenye maduka ya nguo, simu nk, wapiga picha, bodaboda, bajaji/uber/taxi, wauza chips, wananchi wa kawaida... Wooote hawa siku za ijumaa jioni utawakuta wamepaki ma vieite, ma vanguadi, ma prado, ma subaru na mabajaji yao makali makali nje ya fensi za vyuo wanasubiria kuwa pick warembo na hapo kuwarudisha ni jumatatu asubuhi na mapema...

Kwahiyo bana sisi acha tuendelee kuwalaumu malekchara tu lakini ukweli wa hili jambo unajulikana na upo wazi sema tunajidai hatujui tatizo lilipo.
Paragraph ya pili ni ukweli mtupu.
 
Yaani maofisini ndiyo majanga! hawajui kitu! Hata huko Kazi ni hiyo2 kwenda na maboss wao. Wakati wote ni ruhusa naumwa Mimi/mtoto/sijisikii kufanya Kazi/tumbo la chini linaniuma/naenda kupima chango sijui linataka mtoto nk.

Ndiyo maana weupe hawatakagi kabisa kuajiri Hawa jamaa! Halafu wanawaelekeza kuajiri 50/50! Only in Africa.

Siku hizi kuna mpaka Wabunge, Ma DC, RC, DAS na wakurugenzi Wa Chupi..
 
Na kwa kumkumbusha tu, kichwa chenye degree, masters na PhD ni hiki cha juu, hicho cha chini hakijaenda hata chekechea kwahiyo usitegemee kifanye maamuzi yoyote ya maana pindi kinaposhika hatamu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom