Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Lecturers wanatumalizia dada na wadogo zetu

Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper Kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao Sasa hivi ndo imeshamiri aswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi Kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakao kuja kuteseka nao baadae.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Naunga mkono hoja...
Tena nasikia lecture akimwagia ndani ndy unapata alama za juu zaidi...
 
ASILIMIA 85 WANAUME WALIO KWA NDOA WAKEZAO WANASOMA WANAGONGA SANA NKE NA HII KUJUA WAKEZAO WANATAMBALIWA KAMA UMEME NISIONGEESANA

KUNA PRIF ALIKUWA UNGENISHTUA NI ENZIHIZO.PALE UDSM.ALIPOANZA KUPOTEZA NETWL.AKIMYWA PALE SISIMIZI.BAR DOWN DARAJAN ANAPIGIA MIZIGO KAMA.MIMME.NDAN YA SEK ANAAKWAMBIA HIO.INAISHA DEMUA.AKUJA ANAPEWA KAWINE ANACHOKA NAE ANARUDI PEKEYAKE ANAITA MWINGINE AISEE SIJUI ALIKUWA ANATUMIA VIAGRA POWE R PLUS

NIKAWA NAMUWAZIA SANA MWISHO AKAKAITA KADEMU CHA JAMAA YAMGU KABISA HALL MOJA KAKAPEWA KINYWAJI AKAOMBA NIONDOKE NAE TUKAENDA PALE NYUMA.MEEDA KUNA KALODGE KANA WAUMINI SANA USIKU WA BK TANO NK

NKASHUKA KAKAINGIZWA NDAN DAH......AMETOKA DEMU AKANIPIGIA AKAJA AKANIOMBA RADHI ACHEMI TU NKAMWAMBIA KAMA.ALIVAA NDOM YOTE MAISH
SHIDA MZEE NDOM AINYANYUKI NIKAMPA.MOYO.....

KAMCHEZO.KASIKUYINGI SANA

RIP PROF
CH.......SASA N MAREHEMU
POLENI MAREHEMU WATARAJIWA
Bila shaka uko njwiii [emoji16][emoji16][emoji16]

Usimchafue Prof. Chachage bana [emoji2099]
 
😅😅😅 Tatizo hawa wanachuo wanajiweka wenyewe sokoni hivo malecturer nao hawana la kupangua, toto kama toto ukiitizama unasema imeshushwa yaani ni chiksi moja imepoa.

Alafu sasa mtoa mada umebase na sababu moja tu eti maksi za course work.
Ungejua walimu wa vyuo wala hawana haja ya kumpata demu kwa ajili ya coursework, sasa hivi sababu ni njaa na tamaa zao.

Labda toto ikiona mwalimu wake yuko smart anatembelea Crown au Premio new model, toto linakuja ofisini kila saa excuses kibao huku mitego kibao😅😅 nguo nyepesi kabinua tako moja mstari wa chupi ule au kapandisha kaskin chake mstari wa qumaa ule 😋 afu oooh mwalimu when is your birthday nikuletee zawadi sasa hapo lecturer anatongozwa kwa nini kama ni mwanaume asito....

Acha wapigwe pumb mpaka waugue ngwengwe kama ipo 😂😂 siku hizi watoto wakike hawakamatiki hapa mjini yaani wapo kimaslahi zaidi. Yaani usije ukaumiza kichwa kudeal na mtoto wakike. Shuleni olaah, nyumbani olaah yaani hadi cousin anakula hawaaminiki.
 
Niajiri basi Boss,
Huyu anajitapa tu kwa maelezo yake yalivyo kuongea kingereza not an issue yaani not a big deal.
Be a leader be a General Manager, work with team that could be an idea kwenye kazi.
Know your goals and targets of the company.
 
Yaani mtu anakufata sister nitafutie miso

Unamuuliza ya nini anakwambia imenasa [emoji28]

Yaani wanaume nawahurumia na hii generation mpo,

Wanatumia p2 kama panadol, badae wataanza kutafutana uchawi
Aiseee kweli dada kumbe ndiyo walivyo.
 
Yaan hapa sijui utumike mfumo gan kuwanusuru mabint na hawa maharamia kwakweli.
Serikali ndo inalea uchafu huu. Ingeweza kuweka vijana wake kufuatilia kwa siri, akibainika anafukuzwa tu kazi na kutangazwa wazi.

Kwa upande mwingine vibinti vyetu vinatumia muda mwingi kustarehe badala ya kusoma. Hivi vibinti pia ni tatizo. Na kwa kuwa anajua akivua chupi anapata alama, basi wamejilegeza hadi basi.

Ukisema watoto wa kike ni shida utasikia wapewe nafasi wanaweza.

Hata mtaani,ukiona demu ana kazi nzuri, usafiri wa nguvu na biashara nzuri ndani ya muda mfupi, jua kashavua chupi.

Nipigwe tu mawe ila nimeshasema. I log off.
 
Dada zetu huko vyuoni wanatumika kama Toilet paper kisa kupata Coursework na Alama za Juu kwenye mitihani yao. Sasa hivi ndo imeshamiri haswaaa Rushwa ya Ngono vyuoni Dada zetu na Wadogo zetu wanaangamia kwa kukosa Maarifa this is very sad.

Unakuta Lecturer anatembea na wanafunzi zaidi ya Kumi kwa hali hii Ukimwi utapungua kweli kwenye Vyuo

Wazazi waombeeni Binti zenu nyie ndo mtakaokuja kuteseka nao baadaye.

HALI NI MBAYA SANAA [emoji21]
What’s wrong with Girls of this Generation Asee Wanapenda slope sana
Lectures ndo nyie Kaka zetu. What is wrong with you guys of this generation?
 
😅😅😅 Tatizo hawa wanachuo wanajiweka wenyewe sokoni hivo malecturer nao hawana la kupangua, toto kama toto ukiitizama unasema imeshushwa yaani ni chiksi moja imepoa.

Alafu sasa mtoa mada umebase na sababu moja tu eti maksi za course work.
Ungejua walimu wa vyuo wala hawana haja ya kumpata demu kwa ajili ya coursework, sasa hivi sababu ni njaa na tamaa zao.

Labda toto ikiona mwalimu wake yuko smart anatembelea Crown au Premio new model, toto linakuja ofisini kila saa excuses kibao huku mitego kibao😅😅 nguo nyepesi kabinua tako moja mstari wa chupi ule au kapandisha kaskin chake mstari wa qumaa ule 😋 afu oooh mwalimu when is your birthday nikuletee zawadi sasa hapo lecturer anatongozwa kwa nini kama ni mwanaume asito....

Acha wapigwe pumb mpaka waugue ngwengwe kama ipo 😂😂 siku hizi watoto wakike hawakamatiki hapa mjini yaani wapo kimaslahi zaidi. Yaani usije ukaumiza kichwa kudeal na mtoto wakike. Shuleni olaah, nyumbani olaah yaani hadi cousin anakula hawaaminiki.

Hapa ma lekchara watalaumiwa bure tu lakini wote tunajua tatizo lilipo. Sikatai kweli kuna baadhi ya ma lekchara wanaotafuna wanafunzi kwa makubaliano (aftaroo siku izi ma lekchara ni vijana wadogo below 30) ila nakataa kabisa mabinti hawa HAWALAZIMISHWI kuliwa na hao ma lekchara labda asilimia 0.0001. Kwahiyo swala la RUSHWA ya ngono vyuoni, hata kama lipo ni kwa asilimia ndogo sana. Ukweli ni kua mabinti wengi wa chuo wanatafunwa sanaa na kila mtu na wenyewe wanapenda saana kutafunwa hususan na malekchara, hata bila kuahidiwa maksi wala chochote!

Lakini hebu tujiulize, hivi ni nani ambae hatafuni mabinti wa chuo? Mawaziri, wabunge, wakurugenzi, madaktari, wachungaji, maaskari, wafanyabiashara wenye maduka ya nguo, simu nk, wapiga picha, bodaboda, bajaji/uber/taxi, wauza chips, wananchi wa kawaida... Wooote hawa siku za ijumaa jioni utawakuta wamepaki ma vieite, ma vanguadi, ma prado, ma subaru na mabajaji yao makali makali nje ya fensi za vyuo wanasubiria kuwa pick warembo na hapo kuwarudisha ni jumatatu asubuhi na mapema...

Kwahiyo bana sisi acha tuendelee kuwalaumu malekchara tu lakini ukweli wa hili jambo unajulikana na upo wazi sema tunajidai hatujui tatizo lilipo.
 
Kupenda mteremko, wanataka kufaulu bila kusoma.. tatizo hili sio kwa hao wa mavyuoni tu....kulikuwa kuna mada hapa inazungumzia wadangani...wote hawa wako kundi moja kutaka maisha mazuri bila kufanya kazi aka mteremko.

Mabinti wa dizaini hii kwenye miji ndio hawa pia utawakuta kwenye maclub ya usiku wakisakata madisco na kutafuta hela pia za kununua iphone na kufanya make-up...
 
Miaka 20 mbele, Taifa la Tanzania linaweza kuwa utumwani na lisijue nini cha kufanya... Kizazi cha watu makini wasio na tabia za hovyohovyo kinapotea kadili siku zinavyokwenda... Fikiria leo hii tuna malecturer wanaovua chupi mabinti wawape matokeo, tuna mabinti vyuoni hawasomi bali wanategemea kuvua chupi, tuna wabunge kipindi chote cha bunge wako busy dom na vyupi, tuna wabunge viti maalum ndio vile tena, tuna mabinti maofisini wanavua chupi wapate kazi na wengine wako kazini wanavua chupi wapande vyeo na kupata urahisi kazini..

Hata sisi wanaume tumekuwa wajinga pia katika hili, lecturers mwanaume unatoa marks za bure baada ya kusimamia taalum yako?, bosi unampandisha mtu cheo au kumpa kazi kwa kumvua chupi?....huku ukijua unaajili kilaza?...
 
Umetoa wazo zuri sana.
Ambalo kiuhalisia halitekelezeki. Vyuo hua viko specialized kwenye maeneo maalumu, vyuo sio kama sekondari kwamba masomo hayohayo yanafundishwa nchi nzima. Mfano mitihani ya SUA utapeleka chuo gani ikasaishwe?

Tatizo sio malekchara jamani, mbona tunakwepa tatizo tunazungukazunguka tuu??😆😆
 
Ambalo kiuhalisia halitekelezeki. Vyuo hua viko specialized kwenye maeneo maalumu, vyuo sio kama sekondari kwamba masomo hayohayo yanafundishwa nchi nzima. Mfano mitihani ya SUA utapeleka chuo gani ikasaishwe?

Tatizo sio malekchara jamani, mbona tunakwepa tatizo tunazungukazunguka tuu??[emoji38][emoji38]
Toa wazo lako,kufanyike kitu gani.
 
Na kwa kumkumbusha tu, kichwa chenye degree, masters na PhD ni hiki cha juu, hicho cha chini hakijaenda hata chekechea kwahiyo usitegemee kifanye maamuzi yoyote ya maana pindi kinaposhika hatamu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
haswaaaaaaaa.

Umemaliza mkuu[emoji16][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom