Lectures: Jifunze English katika Thread hii Bure kabisa

Uko sahihi kiongozi tenses ndio ugonjwa wa tuliowengi
 
Unaonaje ungeanzisha uzi wa hizo Tenses ili uendelee kufundisha watu huku,kuliko kudandia dandia na kukatisha watu tamaa, eti nasubiri ukosee,pumbavu wew
mjinga kabisa ,mwenzio kaamua kusaidia watu then eti unajifanya mwalimu,jitahidi kumotivate watu wngine katika kazi unazoona hazijengi au uwe unakaa kimya kama unaona unaweza kuandika upupu
 
Du...... We jamaa una mitusi lol, lkn mtoa uzi kukubali kumkosoa ken comment moja hapo juu may be hujasoma, lkn any way hata mimi sijakatisha tamaa mtu ila nilichopendekeza sio lzm kukifwata...... Sitakurudishia matusi mana sikujui hata wewe hunijui badala yake ntakuelimisha tu..... Kwa level yangu na uelewa wangu sidhani kama matusi na yote uliyoandika unanikomoa mie .......Endelea kujifunza kizungu ndugu, mtoa mada akihitaji msaada basi ntamsaidia chochote kile as a linguist " na akisahau kitu ntamkumbusha na kwa sababu yy ni lingust nina imani atakubali mana ki english ni kama hesabu kina kanuni kabisa............ Mitusi yako mmepokea naifanyia kazi.............
 
Mimi english sina shida nayo, naitumia kila siku na watu wanaoongea ki English naishi nao so hiki ninachokijua kinatosha.
Ila najua huko nyumbani tatizo la kujua English ni kubwa.
Watu weny tabia za kutafuta kasoro na madhaifu ya wengine siwapendi kabisa.
 
Umenena kabisa kiongozi.
 
Wewe lzm utakuwa unajua ki english as a second language alafu kupitia mtaani yan kama mswahili vile anavojua kuongea kiswahili bas akahisi anaweza kufundisha mtu kiswahili, kumbe sio....... Sasa wewe kama unashinda na wanaojua ki english ilitakiwa kabla hujaja kutukana uulize mtu anatakiwa aanze na nini ili awe vzur....... Lkn kutukana et kisa mapendekezo yangu sio pouwa aisee, af inaonesha upo foreign country lkn still you are "uncuthy "haujastarabika hata kidogo ndo mana unaona kutukana ni njia sahihi ya kufikisha ujumbe wako..... Lzm utakuwa upo Congo wewe mitaa ya beni upo frastruated na vita
 
Ni heri ungejua unaeongea naye
Nipo kwa Kabila huku naongea kifaransa na kilingala.
 
Anzisha uzi utufunze na tenses
 
Shukran mkuu nashauri uanzishe darsa uanzishe group la WhatsApp wahitajia wakilipe kwa mwwzi kiasi flani
 
u uliyoeleza leo yapo ken topic ya form six SPEAKING N.B ni maoni yangu tu

Mkuu nimekuelewa vizuri kabisa aisee,bila tense hakuna English na sio rahisi kuongea sentensi ya kingereza kwa mtu anayejifunza bila kukosea tense.Hivyo ni muhimu sana ningeanza na tenses kama ulivyoshauri.Nimeona ni clear haya makosa madogo madogo zaidi kwanza then nifuate huko.

Muongozo wa kujufunza English hauanzin na tenses mkuu,huanza na hivi vitu vidogo ambavyo hufundishwa nursery school huko a.k.a Form 6 ya shuleni kwenu hahahahahahah kama ulivyosema(Natania tu mkuu).
 
Mkuu upo sawa ivo vitu vyote, kuna vitu vya nursery lkn hufundishwa level ya juu sana hahahahahahah
 
Anzisha uzi utufunze na tenses
Wewe umesema unajua mkuu ko endelea kujua mzee baba........ Kuonesha nilikuchokuwa nasema ni ukweli angalia watu waliosupport my comment lkn wewe kujitia umento ubatukana kha.......
 
Mkuu upo sawa ivo vitu vyote, kuna vitu vya nursery lkn hufundishwa level ya juu sana hahahahahahah
Sema comment yako nimeielewa sana japo kuna watu wamekushushia mapovu mazito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…