Leeds United: Nyota iliyozimika katika ulimwengu wa soka

kila mmoja anatamani awaone Leeds wakirudi katika kandanda la Primia, ngoja tuone kama watapata nafasi ya kuingia kwenye Play Off iwapo kama watapambana!!
 
Watoto wa Reebok wamechoka sana, wapo daraja LA pili enzi hizo jay jay okocha, jaidi, youri djokuouf, juss janskilenn, Kevin Davis, Fernando hierro, Nolan,
Bolton ilikuwa moja kati ya timu za katikati ya msimamo wa ligi zilizokuwa zinatoa ushindani mkubwa sana kwa timu kubwa EPL.

Namkumbuka sana Big Sam alivyokuwa anawafundisha, hakika Reeboj Stadium ni moja ya viwanja vigumu kupata point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…