Legacy ya Rais Ali Hassan Mwinyi (91 years) ni nini?

Mzee mwinyi ni mtu muungwana sana na huwa katu hawezi jikweza ndo maaana kila mara huwa anasifia mwingine na sie yeye.

Hata alipoulizwa kuhusu mwalimu nyerere alisema "ukijaribu kunilinganisha mimi na mwalimu basi mimi ni kichuguu yeye ni mlima kilimanjaro"

Alhaj mwinyi muungwana sana bwana yule...!!


 

Nakuona siku hizi unaleta vitu vinavyo make sense na siyo ushabiki uchwara kama zamani. Hongera mkuu japo sijui umepatwa na nini.
 
Nchi ilikuwa na haki mbaya hili jamani acha!Vijijini watu walikua wanavaa magunia na mifuko ya simenti,,,kunguni na chawa vilikua sehemu ya mwili wa mwanadamu,,,Mwinyi aliistaarabisha nchi hii sema watu wamesahau tu
Duh!.
 
Sasa ulitaka akusanye kodi kwa washindia KAMANYOLA moja tena ni kauka nikuvae?.
 
Na ukizingatia serekali ndo ilikuwa inafanya biashara kuanzia uzalishaji usambazaji hata uuzaji rejareja, kodi alilipa mtumishi wa serekali tu. Nyuma kdg kila raia alitakiwa kulipa kodi ya maendeleo (ya kichwa)
Wazee wetu walikuwa wanaondoka majumbani mwao saa 10 alfajiri kwenda kujificha kwa sababu ya kukosa hiyo kodi ya kichwa.
 
[emoji12][emoji23][emoji1787]
 
Duh!.
 
Mama Samia tayari.Mungu apangiwi.
 
Huyu kweli alikuwa kiongo wa watu.
 
Wafanya kazi wa nchi kipindi hicho walikuwa asimilia ngapi ya watz wote?.
 
Wengine wazazi wetu walifungwa kwa kudhaniwa kuhujumu uchumi eti wamekutwa na vyakula kutoka nje ya nchi!

Mimi Babu yangu aliwekwa ndani kwa kesi ya uhujumu uchumi wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa kua alijaribu kufanya biashara.
Watawala wengine walikua ni watu wa ovyo sana
 
Sawa mkuu
Niko hapa napitia madini yenu
Mliyotema
 
Sawa mkuu
 
[emoji107]
 
[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…