THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Mzee mwinyi ni mtu muungwana sana na huwa katu hawezi jikweza ndo maaana kila mara huwa anasifia mwingine na sie yeye.
Hata alipoulizwa kuhusu mwalimu nyerere alisema "ukijaribu kunilinganisha mimi na mwalimu basi mimi ni kichuguu yeye ni mlima kilimanjaro"
Alhaj mwinyi muungwana sana bwana yule...!!
Hata alipoulizwa kuhusu mwalimu nyerere alisema "ukijaribu kunilinganisha mimi na mwalimu basi mimi ni kichuguu yeye ni mlima kilimanjaro"
Alhaj mwinyi muungwana sana bwana yule...!!
Duh, Mzee Mwinyi kwa heshima na taadhima, alichosema siyo sahahi, yaani Urais wake plus wa Mkapa plus wa Kikwete unazidiwa na miaka 3 ya Magufuli?
Mzee Mwinyi angejisemea nafsi yake tu lakini kauli yake inaharibu legacy za wenzie
Ina maana madaraja yote makubwa, plus mabarabara, mavyuo vikuu, mavivuko, mashule ya kata, Umeme Kinyerezi 1, Bomba la gesi, uwanja wa ndege terminal III, mwendokasi aliyojenga Kikwete plus uchumi mzuri aliouacha Mkapa vyote hivyo Magufuli kavizidi ndani ya miaka 3?