Legacy ya Rais Ali Hassan Mwinyi (91 years) ni nini?

Legacy ya Rais Ali Hassan Mwinyi (91 years) ni nini?

Mbona hatuchukui hii kitu in a positive way? Mwinyi si alijiuzulu? 1976 then tatizo Ni Nini? Acheni uswahili..achaneni na fb na insta, twitter Ni nyoko!
Siyo uswahili wala nini, jamaa anamambo ya kishamba sana, alikuwa na sababu gani ya msingi kuweka picha ya Mzee Mwinyi? Mbona hakumweka baba yake?
 
Hii story ya kujiuzuru mstaaf mwinyi kila mtu analake mara magereza waliteswa ooh mara wananchi waliteswa kwenye operation basi balaaaa
ALHAJ Ali Hassan Mwinyi, ametokeza na kumlaumu January Makamba, kutumia picha yao ya zamani wakicheka pamoja kwenye 'twiti' ya kuridhia kutenguliwa Uwaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira.

Mwinyi amehoji, kwa nini picha hiyo itumike kipindi mambo yamekoregeka? Ukimwelewa Mwinyi, ni kama anashawishika kuamini kwamba picha imetumika vibaya na inatoa tafsiri kwamba yeye na January wanachekelea uamuzi wa Rais Magufuli kutengua uteuzi wa January Baraza la Mawaziri.

Maneno ya 'twiti' ya January akisema, amepokea mabadiliko yaliyofanyika kwa moyo mweupe kabisa, akiambatanisha 'emoji' ya cheko la upendo, kisha picha kuwaonesha January na Mzee Mwinyi wakichekelea, hapo ndipo mwanzo wa nongwa.

Ni hofu tu! Inawezekana Mzee Mwinyi alielewa vibaya au kuna watu walimshawishi kuelewa tofauti. Hofu ingeondoka, picha hiyo ina thamani kubwa kwa Mwinyi. Na Mwinyi angeona raha namna anavyokuwa hamasa kwa vijana viongozi wa kizazi cha sasa.

Ipo hivi; mwaka 1974, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Shinyanga, Michael Mabawa, alitumia askari wa Jeshi la Polisi, kufanya oparesheni ya kusaka wachawi, wananchi wasio na hatia walipigwa na kudhalilishwa mno kwa tuhuma za kujihusisha na ushirikina.
Kwa kitendo hicho, Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani, bila kupoteza muda, alimwandikia barua ya kujiuzulu, Mwalimu Nyerere, kwa sababu polisi ambao walikuwa chini ya wizara aliyoiongoza, walipiga na kutesa raia.

Mwaka 1984, miaka 10 baada ya tukio hilo, kikao cha Halmashauri Kuu CCM kilimvua Urais wa Zanzibar, Alhaj Aboud Jumbe kisha Mwinyi akapitishwa kuwa Rais wa visiwa hivyo. Mwaka 1985, Mwinyi akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akamrithi Mwalimu Nyerere.

Hivyo, Mwinyi ni alama yenye kutoa hamasa kwa viongozi hasa vijana, kutambua kuwa zipo nyakati za kuteleza na kuanguka, lakini muhimu ni kujikusanya, kunyanyuka na kuendelea na mwendo. January katika picha yake na Mwinyi, bila shaka alikusudia tafsiri kuwa aliyopata ni ajali kama ya Mwinyi, hivyo atanyanyuka kama alivyonyanyuka Mwinyi. Hapo kuna ubaya gani?

Muhimu ni kwamba January ana ndoto za kuwa Rais. Mwinyi alikuwa Rais baada ya ajali ya kujiuzulu. Ni kosa January kujipa moyo kuwa ipo siku atakuwa Rais baada ya ajali ya kutenguliwa? Tatizo siku hizi hofu inafubaza uwezo wa kufikiri. Uoga umetamalaki!

Ndimi Luqman MALOTO
 
ALHAJ Ali Hassan Mwinyi, ametokeza na kumlaumu January Makamba, kutumia picha yao ya zamani wakicheka pamoja kwenye 'twiti' ya kuridhia kutenguliwa Uwaziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira.

Mwinyi amehoji, kwa nini picha hiyo itumike kipindi mambo yamekoregeka? Ukimwelewa Mwinyi, ni kama anashawishika kuamini kwamba picha imetumika vibaya na inatoa tafsiri kwamba yeye na January wanachekelea uamuzi wa Rais Magufuli kutengua uteuzi wa January Baraza la Mawaziri.

Maneno ya 'twiti' ya January akisema, amepokea mabadiliko yaliyofanyika kwa moyo mweupe kabisa, akiambatanisha 'emoji' ya cheko la upendo, kisha picha kuwaonesha January na Mzee Mwinyi wakichekelea, hapo ndipo mwanzo wa nongwa.

Ni hofu tu! Inawezekana Mzee Mwinyi alielewa vibaya au kuna watu walimshawishi kuelewa tofauti. Hofu ingeondoka, picha hiyo ina thamani kubwa kwa Mwinyi. Na Mwinyi angeona raha namna anavyokuwa hamasa kwa vijana viongozi wa kizazi cha sasa.

Ipo hivi; mwaka 1974, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Shinyanga, Michael Mabawa, alitumia askari wa Jeshi la Polisi, kufanya oparesheni ya kusaka wachawi, wananchi wasio na hatia walipigwa na kudhalilishwa mno kwa tuhuma za kujihusisha na ushirikina.
Kwa kitendo hicho, Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani, bila kupoteza muda, alimwandikia barua ya kujiuzulu, Mwalimu Nyerere, kwa sababu polisi ambao walikuwa chini ya wizara aliyoiongoza, walipiga na kutesa raia.

Mwaka 1984, miaka 10 baada ya tukio hilo, kikao cha Halmashauri Kuu CCM kilimvua Urais wa Zanzibar, Alhaj Aboud Jumbe kisha Mwinyi akapitishwa kuwa Rais wa visiwa hivyo. Mwaka 1985, Mwinyi akawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akamrithi Mwalimu Nyerere.

Hivyo, Mwinyi ni alama yenye kutoa hamasa kwa viongozi hasa vijana, kutambua kuwa zipo nyakati za kuteleza na kuanguka, lakini muhimu ni kujikusanya, kunyanyuka na kuendelea na mwendo. January katika picha yake na Mwinyi, bila shaka alikusudia tafsiri kuwa aliyopata ni ajali kama ya Mwinyi, hivyo atanyanyuka kama alivyonyanyuka Mwinyi. Hapo kuna ubaya gani?

Muhimu ni kwamba January ana ndoto za kuwa Rais. Mwinyi alikuwa Rais baada ya ajali ya kujiuzulu. Ni kosa January kujipa moyo kuwa ipo siku atakuwa Rais baada ya ajali ya kutenguliwa? Tatizo siku hizi hofu inafubaza uwezo wa kufikiri. Uoga umetamalaki!

Ndimi Luqman MALOTO
Umebugi tena umebugi mazima mkuu

Mzee Mwinyi ni rais mstaafu. Anajua na anao uzoefu kuwa rais ni taasisi. Hakuna mahala ambapo mstaafu anapenda aliyeko madarakani ajisikie vibaya. Urais ni mzito na kazi ngumu.

Picha ilipigwa kihalali lakini anachokisema ni matumizi hasa kuzingatia tukio lililoambatana na uchapishwaji wa picha hiyo... Mwinyi alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kwa makosa ya walio chini yake. Lakini January ametenguliwa uwaziri kwa makosa ya dhahiri ya kudhamiria kugusa ama kumkwamisha rais aliyepo madarakani huku yeye akiwa msaidizi wake wa karibu.
Ikumbukwe kwamba kuna makosa ambayo Rais aliyataja ya kumhusu January moja kwa moja likiwemo la mifuko ya plastiki na NGO zinazo deal na mazingira kuwa na hitilafu nyingi.

Luquman Maloto, tafadhali sana usifananishe mambo ya kisaliti na makosa ya kiutendaji pls pls
 
Kwakweli ile hali ilikuwa sio mchezo maana nyumba itayopika wali basi watoto wa jirani watajipitisha ili wakaribishwe tu.
 
Boss johnthebaptist Huyu Mstaafu haoni hata ... Aibu na Haya kusema hayo ??? !!! Eti aliyoshindwa na waliyoshindwa.
Tatizo lao hao walikuwa wanacheka na Kima aka Nyani ... Mh. Rais Ngosha .. ameonyesha Udhubutu, Kwa hilo halina Ubishi.


Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.

Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu

Maendeleo hayana vyema!
 
Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.

Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu

Maendeleo hayana vyema!

Watu wengi hawamwelewi Mzee Mwinyi. Huyu mzee ni mjanja. Hamaanishi hayo na wala haamini hilo analolisema.
 
Alikuwa muungwana kwenye uongozi wake. Pia ana hekima. Hata hii sifia sifia kwa jiwe, hamaanishi hicho anachosema bali anajaribu tupa zigo porini.
 
 
Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.

Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu

Maendeleo hayana vyema!
Ukweli ni kwamba, mtu alieanza kufanya vitu vya kupumbavu na kifisadi nchi hii ni Mwinyi watu wanasahau tu! Alivunja Azimio la Arusha akaanza ufisadi ulioturudisha nyuma sana kama taifa! Alijimilikisha mali za umma, akauza hadi mbuga za wanyama kwa waarabu bila uchungu na nchi hii "Loliondo" hadi leo kaacha mgogoro!

Kimsingi alikuwa dhaifu, upeo mdogo napiga dili asie na aibu! Ndio maana anajikomba sana kwa Jiwe!
 
Huyu mzee anajitahidi kusema, lakini ajue tu kuwa alishiriki kuuwa shrika la ndege na mashirika mengingine. Hivyo ni aibu kwa. Ila kama ujuavyo boss haeleweki, anaweza badilika na kufanya jambo lolote wakati wowote. Hivyo ili kuwa salama inabidi ujikombe kwake ili anagalau ukumbukwe.
Mkuu kizazi hiki hakifahamu, wala hakijisumbui kufahamu. Mwinyi ndie alieanza kubomoa misingi ya taifa hili! Hadi Nyerere akawa anamlaumu kwamba anabomoa vitu vya msingi na kuendeleza vya kipuuzi!
 
Akija rais mwingine akafanya maendeleo. MZEE Mwinyi atakuja kusema amefanya maendeleo yaliyoshindwa kufanywa miaka 40 ILIYOPITA?
hao watu wavivu sana wa kufikiri. mzee anaongea ukweli kwamba Rais Magufuli anafanya yaliyoshindwa kufanywa miaka 30 na kwa hesabu za haraka miaka 30 ni kipindi cha marais watatu waliopita yeye akiwemo na anakiri kabisa. Mzee Mwinyi anaongea alichoshuhudia na kushindwa kukifanya
 
Si ajabu Rais Mstaafu Nyerere alimuita Rais Mwinyi "Rais dhaifu". Na si ajabu yule kijana alimchapa kofi mzee huyu.

Kumbe ukimya huficha mambo mengi sana,ikiwamo ujinga alionao mtu.Mwinyi ni mji**ga anayeonekana ana hekima sababu ya ukimya wake na upole wake tu.
Uneongea kama unamkashifu lkn umwongea uimkweli 100% kuhusu Ali! Ali ni dhaifu sana!
 
Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.

Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu

Maendeleo hayana vyema!
HUYU MZEE MNAFIKI KWELI
BADALA YA KUKAAA KIMYA NA KUMTAKA MOLA WAKE MSAMAHA KWA YALE ALIYOYAFANYA, YEYE BADO ANAKOMAA NA MAPAMBIO.
NDIO MAANA ALIZABWA KELEBU.
Mzee badala aikemee zinaa yeye anahimiza matumizi ya kondom lol……….
 
Mimi kama mfanyakazi nitakuwa wa mwisho kumpongeza Rais Mwinyi maana katika utawala wake ndo kipindi wafanyakazi walidharauliwa hata na wauza machungwa barabarani, kilikuwa kipindi kigumu sana kwa kundi la wafanyakazi wa umma. Bila Rais Mkapa kubadilisha mambo sijui nchi hii kama ingekuwepo hadi leo. Maana ni kipimdi ambacho serikali ilikuwa dhaifu sana haikuweza kabisa kukusanya kodi nakumbuka hadi Nyerere alisema serikali dhaifu huwa zinaacha kukusanya kodi kwa wafanya biashara na kufukuzana na machinga barabarani. Sasa Kiongozi aliyeomgoza serikali dhaifu kiasi kile labda akumbukwe kwa hiyo sifa ya kuwa na serikali dhaifu sana.
Hiyo kodi angeuikusanya kutoka wapi?? na wakati kaikuta nchi nyanganyanga, hohe hae.

Ufukara wa kutupwa kila mahali watu wanavaa kaniki, nchi haina mafuta, sabuni, na mahitaji yote muhimu.

Kiufupi rais mwinyi ndio rais pekee aliyeikuta nchi ikiwa katika lindi la umaskini, ufukara uliotopea.
 
Back
Top Bottom