Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Wewe una TATIZO MOJA KUBWA ,unakosa analytical skills, kama huna analytical skills, huwezi kuwa na uwezo wa kuchanganua, kupambanua issue, ideas na kufanya proper comparison.

Samia ni DALALI wa maliasili bza nchi, utawala bora democracy kwake ni shida.

Ufisadi wa KUTISHA kuliko awamu yoyote ile ile,ndo maana bungee limezuiwa kujadili kwa uwazi report wa wizi wa Fedha za Serikali.

Miaka yake takriban mitatu amekopa beyond, amefikisha deni kubwa kuliko awamu zote zilizotangulia.
suala la demokrasia samia kamzidi mbali kikwete, ktk historia ya taifa hili wapinzani hawajawahi fanya maandamano mikoa tofauti bila bughudha ya polisi kama walivyofanya wakati wa samia.

maandamano pekee yalozuia kwa samia ni haya ya juzi yalokua na ajenda ovu dhidi ya samia.

samia anakopa kuendeleza miradi mikubwa alorithi, hivo sioni shida.

mradi pekee aloutekeleza kwa ufanisi mr tabasam ni UFISADI.
 
suala la demokrasia samia kamzidi mbali kikwete, ktk historia ya taifa hili wapinzani hawajawahi fanya maandamano mikoa tofauti bila bughudha ya polisi kama walivyofanya wakati wa samia.

maandamano pekee yalozuia kwa samia ni haya ya juzi yalokua na ajenda ovu dhidi ya samia.

samia anakopa kuendeleza miradi mikubwa alorithi, hivo sioni shida.

mradi pekee aloutekeleza kwa ufanisi mr tabasam ni UFISADI.
Hujui, kuhusu democrasia ,huna assessment tools, ungekuwa navyo ndo ungeelewa, mtu anayeogopa maandamano, kukosolewa, anayeogopa kujadili report ya CAG kwa uwazi.

Samia kaachwa mbali sana JK, na katika ufisadi anaongoza kabisa.
Miradi ya maendeleo ni sawa lakini sio kwa namna hii miaka mitatu anawapita. Wote Nyerere, Mwinyi,Mkapa, Kikwete, Magufuli.

Akienda miaka mitano yote atafilisi national tresury KABISA na reserve ya dhahabu katika hazina yetu.
 
Hujui, kuhusu democrasia ,huna assessment tools, ungekuwa navyo ndo ungeelewa, mtu anayeogopa maandamano, kukosolewa, anayeogopa kujadili report ya CAG kwa uwazi.

Samia kaachwa mbali sana JK, na katika ufisadi anaongoza kabisa.
Miradi ya maendeleo ni sawa lakini sio kwa namna hii miaka mitatu anawapita. Wote Nyerere, Mwinyi,Mkapa, Kikwete, Magufuli.

Akienda miaka mitano yote atafilisi national tresury KABISA na reserve ya dhahabu katika hazina yetu.
Narudia tena kidemokrasia samia kamzidi mbali sana kikwete.

Maandamano yote yalofanyika wakati wa kikwete watu walipigwa mabomu, baadhi walikamatwa, na baadhi waliuaawa.

Report ya CAG karibu awamu zote wahusika hawajawahi chukuliwa hatua stahiki.

ukopaji mkubwa wa samia umesababishwa na ukubwa wa miradi aloirithi, mpaka sasa samia katekeleza miradi ya thamani kubwa zaidi kuliko watangulizi wake.

kashfa za ufisadi wa JK zinajulikana, weka za samia tulinganishe.
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Mbona hayo yote yanaendelea hata Sasa tena Kwa Kasi kubwa zaidi.

Mfano hivi Kuna Rais amewahi toa Ajira za maelfu Kwa maelfu kama Samia?
 
Ukweli ni kwamba kila awamu zina mazuri yake na mabaya yake. Ni vyema kumpongeza mtu kwa mazuri yake akiwa hai na kusema mabaya yake akiwa hai pia.

Mzee Kikwete swala la diplomasia na mahusiano bora aliliweza sana hata sasa analiweza pia ila upande wa mafisadi na ufujaji wa mali hapo alichemka.
 
Back
Top Bottom