Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Sio songo songo, tunazungumzia mtwara. Mfano block 2 ambayo Exxon mobil anachimba kwani ipo lindi? Huelewi haya au makusudi?
BG gas yupo block 1, na wameshagundua tena nyingine chaza huko huko mtwara
Ophir energies yupo mkizi

Hatujaelewana, nimekuuliza gasi ipo mnazi bay tu? Hapo umeweka mnazi bay kama vile gas yote ipo mnazi bay
"List Of Oil and Gas Operating Companies In Tanzaniai – Tanzania Petroleum" List Of Oil and Gas Operating Companies In Tanzaniai – Tanzania Petroleum
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Akili yakuambiwa changanya na yakwako. JK
 
Ni kweli mapungufu alikuwa nayo kama binadamu
Ila demokrasia alijitahidi sana
Ni katika kipindi chake aliruhusu wapinzani wajazane bungeni
 
Mkuu samahani sijaelewa kitu, mfno sasaivi mtu anapofariki katika bwana hakai kaburini kusubiri ujuo wa yesu?, mbn kuna sehem biblia inasema wafu hawajui lolote wamelala tu?

Na wale waliokufa katika dhambi na wenyewe inakuaje wapo kuzimu au wamewekwa wapi wakisubir yesu arudi,
Kwasababu nachojua mwili hufa ila roho haifi
Je na yesu atakapo kuja atazifufua roho au miili au vyote kwa pamoja?
Ukipanda viwango na kuelewa mtu ni nini hutopata shida kuchanganua.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI.

Kwa maana ingine, kama ambavyo nguo ni vazi la kuusitiri mwili, vivyo hivyo, Mwili ni vazi la Roho.

Unaweza kuvua vazi liitwalo mwili na ukaendelea na MAISHA kama kawaida, ila mwili bila Roho haujui chochote, ndipo Hilo andiko lisemalo wafu hawajui lolote,ni miili ya wafu Si Roho zao.

Kuzimu IPO, ikiwa huamini watumishi wa Mungu, uliza wachawi watakwambia. Na kuzimu ila matabaka matatu, kuzimu kavu, kuzimu ya moto na kuzimu Giza, hapo angani waliopo wakuu wa anga wa Giza katika Ulimwengu wa Roho.

Wanaofariki baada ya Yesu kufufuka, WATAKATIFU huenda Mbinguni hawakai tena Paradise. Wafao dhambini huenda kuzimu na huendelea kuteswa wakisubiri siku ya HUKUMU, Walio na mavazi machafu hukaa kaburini kusubiri siku ya hukumu, ila wafao dhambini wao hawana vazi ni wako uchi, vazi ni Kwa waliokufa wamemwamini Yesu.

Mwili unapotengana na Roho, Kwa waliokufa dhambini pasipo kumwamini Yesu, wao hupelekwa kuzimu, gerezani na kuteswa na mapepo na shetani katika moto wakisubiri HUKUMU, Yesu ajapo, watafufuliwa miili Yao yaani Roho na NAFSI zitaletwa kwenye HUKUMU baada ya kufunguliwa Toka gereza la kuzimu, Kisha kutupwa JEHANUM.

Yesu atakapokuja ataifufua miili, NAFSI na Roho zitarudi katika mwili Kisha kuletwa hukumuni.

Aina ya MWILI huo mpya mfano wake ni mwili aliofufuka nao Yesu. Ni mwili wenye umbo la kiroho, ni kama tu Malaika, anaweza kuamua ale chakula, anaweza amua apite mlangoni au apotee atakavyoamua mwenyewe.

Yesu alipofufuka, aliwatokea wanafunzi wake akaongea nao, na hawakumtambua, akala nao chakula, alipomega mkate ndipo wakastuka, mwili Ule aliofufuka nao Yesu na kupaa nao Mbinguni, ndio huo tutapewa Kisha kuletwa hukumuni,

Wengine watatupwa JEHANUM ya milele, wengine wataingia furaha ya milele Mbinguni.


Sijui unaelewa?
 
Alisafiri duniani kote; kati ya mwaka 2006 na 2007 alisafiri kwenda kujitambulisha kwa miaka yuote miwili, na kati ya mwaka 2014 na 2015 pia yote miwili alisafiri kwenda kuaga. Kwa hiyo katika miaka kumi ya utawala wake, miaka minne ilitumika katika safari za kujitambulisha na za kuaga.
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Mtamkumbukq Sana..Mzee Msoga mwana wa Bagamoyo..
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Hivi issue ya Mwangosi na Dr. Ulimboka ilikuwa awamu ipi vile!?
 
Ukipanda viwango na kuelewa mtu ni nini hutopata shida kuchanganua.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI.

Kwa maana ingine, kama ambavyo nguo ni vazi la kuusitiri mwili, vivyo hivyo, Mwili ni vazi la Roho.

Unaweza kuvua vazi liitwalo mwili na ukaendelea na MAISHA kama kawaida, ila mwili bila Roho haujui chochote, ndipo Hilo andiko lisemalo wafu hawajui lolote,ni miili ya wafu Si Roho zao.

Kuzimu IPO, ikiwa huamini watumishi wa Mungu, uliza wachawi watakwambia. Na kuzimu ila matabaka matatu, kuzimu kavu, kuzimu ya moto na kuzimu Giza, hapo angani waliopo wakuu wa anga wa Giza katika Ulimwengu wa Roho.

Wanaofariki baada ya Yesu kufufuka, WATAKATIFU huenda Mbinguni hawakai tena Paradise. Wafao dhambini huenda kuzimu na huendelea kuteswa wakisubiri siku ya HUKUMU, Walio na mavazi machafu hukaa kaburini kusubiri siku ya hukumu, ila wafao dhambini wao hawana vazi ni wako uchi, vazi ni Kwa waliokufa wamemwamini Yesu.

Mwili unapotengana na Roho, Kwa waliokufa dhambini pasipo kumwamini Yesu, wao hupelekwa kuzimu, gerezani na kuteswa na mapepo na shetani katika moto wakisubiri HUKUMU, Yesu ajapo, watafufuliwa miili Yao yaani Roho na NAFSI zitaletwa kwenye HUKUMU baada ya kufunguliwa Toka gereza la kuzimu, Kisha kutupwa JEHANUM.

Yesu atakapokuja ataifufua miili, NAFSI na Roho zitarudi katika mwili Kisha kuletwa hukumuni.

Aina ya MWILI huo mpya mfano wake ni mwili aliofufuka nao Yesu. Ni mwili wenye umbo la kiroho, ni kama tu Malaika, anaweza kuamua ale chakula, anaweza amua apite mlangoni au apotee atakavyoamua mwenyewe.

Yesu alipofufuka, aliwatokea wanafunzi wake akaongea nao, na hawakumtambua, akala nao chakula, alipomega mkate ndipo wakastuka, mwili Ule aliofufuka nao Yesu na kupaa nao Mbinguni, ndio huo tutapewa Kisha kuletwa hukumuni,

Wengine watatupwa JEHANUM ya milele, wengine wataingia furaha ya milele Mbinguni.


Sijui unaelewa?
Mkuu nimekuelewa kiasi
Hapa sijaelewa
1. Mbinguni, watu wataendaje mbinguni ikiwa bado hukumu haijapita yaani kuja kwake yesu then atoe hukumu kisha waende mbinguni au , kuna kwenda huko theni akirudi yesu, atatoa hukumu kisha kunakurudi trna mbinguni?

2. Mavazi machafu hapa.mkuu umemaanisha nini ? Maana hawa hawako kuzimu.

3. Pia nilisoma kwamba shetani atapewa nafasi ya kurudi duniani na atawadanganya mataifa tena

4, pia nasikia kuna miaka 1000 baad ya unyakuo then yesu ndio atarudi, sasa sijui miaka hiyo ni ya kidunia au kimbingu.

5. Kuna mahali inasema MUNGU anawajua wateule wake toka misingi ya kuumbwa kwa ulimwengu. Hapa alimaanisha nini ? Au kwamba kuna watu walishaandikiwa mbinguni na wengne motoni?, kwasababu MUNGU anayajua mambo yajayo, kwahiyo alijua nini kitatokea duniani?
 
Mkuu nimekuelewa kiasi
Hapa sijaelewa
1. Mbinguni, watu wataendaje mbinguni ikiwa bado hukumu haijapita yaani kuja kwake yesu then atoe hukumu kisha waende mbinguni au , kuna kwenda huko theni akirudi yesu, atatoa hukumu kisha kunakurudi trna mbinguni?

2. Mavazi machafu hapa.mkuu umemaanisha nini ? Maana hawa hawako kuzimu.

3. Pia nilisoma kwamba shetani atapewa nafasi ya kurudi duniani na atawadanganya mataifa tena

4, pia nasikia kuna miaka 1000 baad ya unyakuo then yesu ndio atarudi, sasa sijui miaka hiyo ni ya kidunia au kimbingu.

5. Kuna mahali inasema MUNGU anawajua wateule wake toka misingi ya kuumbwa kwa ulimwengu. Hapa alimaanisha nini ? Au kwamba kuna watu walishaandikiwa mbinguni na wengne motoni?, kwasababu MUNGU anayajua mambo yajayo, kwahiyo alijua nini kitatokea duniani?
1. Ikiwa ni msomaji wa Neno utaelewa nisemacho kuwa, baada ya Yesu kufufuka, makaburi yalifunguka, wafu waliokufa katika Imani ya Mungu,walirudi Toka Paradise na kufufuliwa na kupaa naye mbinguni, wapo huko wakisubiri siku ya mwisho,na hao ni WATAKATIFU hawahukumiwi, watahukumu wenye dhambi pamoja na Kristo, YESHUA aliwambia wanafunzi wake direct juu ya wao kuhukumu Hadi Malaika waasi.

Imeandikwa Yesu atakuja kuhukumu Ulimwengu akiambatana na WATAKATIFU wake, ndio hao nisemao walipaa Mbinguni baada ya kufa na hawakai kaburini, na hawahukumiwi hao.

2. Mavazi machafu, imeandikwa baada ya wateule kunyakuliwa, watabaki walioachwa, wengine ni wakristo waamini lakini hawakuacha dhambi, anasali lakini Bado mwongo, Mwizi nk nk. Hawa wanalo vazi ila chafu sababu ya DHAMBI, wengine ni Waisrael,wao wanalo AGANO na Mungu la kuokolewa, Hawa watapita katika dhiki kuu na kuteswa na shetani na mapepo lakini kamwe hawatakubali KUPIGWA chapa ya mnyama, watauwawa Kisha watakaa kaburini kusubiri siku Yesu arudipo awafufue na kuondoka naye. Hapo utaona Unyakuo ufanyikapo, Yesu hatokanyaga ardhi, atawanyakua akiwa juu, kipindi Cha dhiki kuu, atakuja akiwa na jeshi na walionyakuliwa na wale wengine ambao tayari wapo Mbinguni WANADAMU WATAKATIFU Kisha watajumuika na waliokatwa vichwa kwenye dhiki kuu.

3. Ndio shetani atarudi tena kuwadanganya WANADAMU. Ni hivi, hapa tulipo, shetani amefungwa kuzimu, lakini Kwa kuwa kuzimu alikofungwa ni sehemu mojawapo ya Dunia hii, na Kwa kuwa shetani ni Roho, ujue kuwa kifungo chake ni katika mipaka ya kufanya KAZI, ni kama tu aliyefungwa kifungo Cha nje.
Kufungwa Kwa shetani ni Kweli kafungwa, lakini hajanyanganywa nguvu zake, anazo na huko alikofungiwa amepewa kujitawala katika gereza lake na ameruhusiwa kuwajaribu WANADAMU na kuwatesa akiwa gerezani,kifungo chake Kiko katika limits.

Utaona shetani akiomba ruhusa kumjaribu Ayubu, na aliporuhusiwa, aliambiwa, nenda, mjaribu ila usimuue, hapo utaona shetani katika kifungo chake, amepewa mamlaka kiasi lakini chini ya uangalizi.

Limit ya nguvu za shetani imewekwa na Mungu sababu sisi watu wa Mungu tunaishi duniani, baada ya Unyakuo, shetani ataruhusiwa kuitifua Dunia na wakaao ndani yake, ndicho kipindi kiitwacho DHIKI kuu, hapo Dunia itatikiswa Hasa, shetani atawapiga waliomkataa Yesu Kwa mapigo mabaya sana, ndio maana ya kufunguliwa, yaani hatawekewa mipaka, Malaika watamwacha ajitanue Kwa muda. Kipindi hili shetani atakuja live, Si Kwa kificho kama sasa, mapepo yataonekana live na Majeshi ya kuzimu yatakuwa on, ni hatari kuwepo duniani wakati huo.

4. Miaka 1000 ni hesabu ya kidunia. Katika hesabu za kinabii, mwaka 2000 ni mwaka wa elfu SITA, siku ya SITA. Na mwaka huu 2024 maana yake tayari tupo mwaka wa ishirini na nne ndani ya ya miaka 1000 iliyobaki.

Kwa maana ingine, Unyakuo utatokea miaka michache ijayo, Si mingi, utaona maandalizi ya kuanza utawala wa shetani duniani, na kuanza Rasmi utawala huo, lazima kwanza Unyakuo utokee. Angalizo weka na tofautisha, DHIKI na DHIKI KUU. Hapa tulipo tupo katika DHIKI, dhiki kuu Bado.

Ndani ya miaka hii hii kuanzia 2024 Hadi 2999. Yaani Dunia haitafika mwaka 3000 kabla kufanyika Unyakuo na kabla Dunia haijatupwa JEHANUM.

Ni katika kipindi hiki umekaribia Kutokea Unyakuo Ili uanze utawala wa shetani duniani Kwa muda mchache, Kisha shetani na Majeshi yake watakapojikusanya Kwa vita ya ARMAGEDDON, vita hii Si ya WANADAMU, ni Majeshi ya Pepo, mashetani, watu nusu mtu nusu shetani, wachawi nk nk ambao watakuwa wamebadilika kuwa na miili ya kiroho kuja Kupambana na Majeshi ya Mungu na Wachache ambao wamekataa chapa ya Shetani, hapo Yesu atashusha moto na kuwateketeza, ni kabla ya mwaka 3000. Baada ya kuteketezwa, ndio miaka hiyo 1000 ambapo Kwa hesabu tulizopo, miaka hiyo imeshapungua maana Unyakuo haujatokea Hadi sasa. Hivyo kutawala na Kristo miaka ni hii iliyobaki kabla ya kutimia mwaka 3000 ambao Dunia itakuwa imeshaangamizwa na siku ya Saba yaani mwaka 3000 na kuendelea ni mwaka wa umilele, hapakuwa na time tena au muda na miaka ya kuhesabika, watachomeka milele JEHANUM, na wengine watatawala milele katika Jerusalem mpya, ambayo Yesu anaendelea kutuandalia.

5. Kweli, wapo walioandikiwa motoni tangu kuumbwa Dunia. Lakini wewe undercover Si mmoja wao wa walioandikiwa moto. Uliandikiwa uende Mbinguni iliko asili Yako, umeletwa duniani Kwa special mission, usikubali shetani akutoe kwenye mission Yako, utaona kuwa wewe unepewa uhuru wa kuamua uende Mbinguni iliko Toka, au uende JEHANUM alikopangiwa aende shetani na Malaika zake waovu wenzie.

Ni hivi, shetani na mapepo na waliokuwa Malaika na wakaasi, hawana nafasi ya kutubu, hivyo wanajua destiny Yao ni JEHANUM.

Pili, walioandikiwa JEHANUM direct ni mapepo yaliyo katika form ya mwanadamu, Hawa wapo wengi na tunaishi nao,

Na Hawa wanajitahidi kuchanganya uzao wao na uzao wa Adam, unakuta shetani anamwingilia mwanamke mchawi na kuzaa mtoto ambaye ni Pepo ambaye baba ni shetani , mama mwanadamu. Sasa watoto na uzao huu, Mungu haxhangamani nao, Hawa hata uhubiri asubuhi Hadi jioni hawezi kuokoka Wala kupenda au kutenda ya Mungu, asili Yao ni kuzimu, huyatimiza mapenzi ya baba Yao shetani.

Nadhani sasa unaanzaje kupata mwanga.

Wapo pia WANADAMU ambao asili Yao ni Mbinguni tunaishi nao,

Yohana Mbatizaji, Elia, Henoko, na manabii wengi walitoka Mbinguni Kisha kuletwa duniani Kwa mission maalum,

Mfano Mimi Rabbon, hata iweje, ndani yangu na asili yangu Toka Mbinguni always hunikumbusha na kunirejeza kwenye mstari Ili kutimiza kusudi la Mungu duniani.

Jitahidi kuwafahamu wanaokuzunguka ikiwa ni uzao Toka juu Mbinguni au uzao Toka chini, mbegu ya kishetani,

Makinika, Si Kila umwonaye ni mwanadamu, wengine ni mapepo, wengine Malaika, wengine mashetani, wengine nusu mtu nusu Pepo, wengine majini nk nk.

Ubarikiwe
 
Kikwete hakupata kuwa fisadi, Ila mama ndio Fisadi,

Riport za CAG kafumbia macho.
Wakati wa kikwete bunge lilikuwa huru, vigogo wengi walianguka kutoka madarakani!!!

Angekuwa mwingine kama mama angewalinda.

Lowasa, Eliakimu Maswi, Sospeter Muhongo,Msabaha,na wateule kibao, report za KUTISHA za ufisadi aliruhusu zijadiliwe Bungeni kwa uwazi.

Richmond, escrow.to mention few.

Wakati Mama anaogopa Report ya CAG kujadiliwa kwa uawazi,.

JAKAYA MRISHO KIKWETE APEWA MAUA YAKE mapema.

Natamami mwakani agombee tena aongze bkwa miaka japo mitano atuletee Raha watanzania!!

KUHUSU KUTEKWA alikuwa ni DR ULIMBOKA, japo siungi mkono ni kwa ajili ya PUBLIC Interest,wagonjwa walikuwa wanakufa kwa mgomo alipokuwa ameusimamia!!!

Hapana kama kikwete, Labda anafanana na Mzee Mwinyi Ruksa.

Hawa watu hawa wapewe maua yao.
hayo majina
mimi sijayataja.
 
1. Ikiwa ni msomaji wa Neno utaelewa nisemacho kuwa, baada ya Yesu kufufuka, makaburi yalifunguka, wafu waliokufa katika Imani ya Mungu,walirudi Toka Paradise na kufufuliwa na kupaa naye mbinguni, wapo huko wakisubiri siku ya mwisho,na hao ni WATAKATIFU hawahukumiwi, watahukumu wenye dhambi pamoja na Kristo, YESHUA aliwambia wanafunzi wake direct juu ya wao kuhukumu Hadi Malaika waasi.

Imeandikwa Yesu atakuja kuhukumu Ulimwengu akiambatana na WATAKATIFU wake, ndio hao nisemao walipaa Mbinguni baada ya kufa na hawakai kaburini, na hawahukumiwi hao.

2. Mavazi machafu, imeandikwa baada ya wateule kunyakuliwa, watabaki walioachwa, wengine ni wakristo waamini lakini hawakuacha dhambi, anasali lakini Bado mwongo, Mwizi nk nk. Hawa wanalo vazi ila chafu sababu ya DHAMBI, wengine ni Waisrael,wao wanalo AGANO na Mungu la kuokolewa, Hawa watapita katika dhiki kuu na kuteswa na shetani na mapepo lakini kamwe hawatakubali KUPIGWA chapa ya mnyama, watauwawa Kisha watakaa kaburini kusubiri siku Yesu arudipo awafufue na kuondoka naye. Hapo utaona Unyakuo ufanyikapo, Yesu hatokanyaga ardhi, atawanyakua akiwa juu, kipindi Cha dhiki kuu, atakuja akiwa na jeshi na walionyakuliwa na wale wengine ambao tayari wapo Mbinguni WANADAMU WATAKATIFU Kisha watajumuika na waliokatwa vichwa kwenye dhiki kuu.

3. Ndio shetani atarudi tena kuwadanganya WANADAMU. Ni hivi, hapa tulipo, shetani amefungwa kuzimu, lakini Kwa kuwa kuzimu alikofungwa ni sehemu mojawapo ya Dunia hii, na Kwa kuwa shetani ni Roho, ujue kuwa kifungo chake ni katika mipaka ya kufanya KAZI, ni kama tu aliyefungwa kifungo Cha nje.
Kufungwa Kwa shetani ni Kweli kafungwa, lakini hajanyanganywa nguvu zake, anazo na huko alikofungiwa amepewa kujitawala katika gereza lake na ameruhusiwa kuwajaribu WANADAMU na kuwatesa akiwa gerezani,kifungo chake Kiko katika limits.

Utaona shetani akiomba ruhusa kumjaribu Ayubu, na aliporuhusiwa, aliambiwa, nenda, mjaribu ila usimuue, hapo utaona shetani katika kifungo chake, amepewa mamlaka kiasi lakini chini ya uangalizi.

Limit ya nguvu za shetani imewekwa na Mungu sababu sisi watu wa Mungu tunaishi duniani, baada ya Unyakuo, shetani ataruhusiwa kuitifua Dunia na wakaao ndani yake, ndicho kipindi kiitwacho DHIKI kuu, hapo Dunia itatikiswa Hasa, shetani atawapiga waliomkataa Yesu Kwa mapigo mabaya sana, ndio maana ya kufunguliwa, yaani hatawekewa mipaka, Malaika watamwacha ajitanue Kwa muda. Kipindi hili shetani atakuja live, Si Kwa kificho kama sasa, mapepo yataonekana live na Majeshi ya kuzimu yatakuwa on, ni hatari kuwepo duniani wakati huo.

4. Miaka 1000 ni hesabu ya kidunia. Katika hesabu za kinabii, mwaka 2000 ni mwaka wa elfu SITA, siku ya SITA. Na mwaka huu 2024 maana yake tayari tupo mwaka wa ishirini na nne ndani ya ya miaka 1000 iliyobaki.

Kwa maana ingine, Unyakuo utatokea miaka michache ijayo, Si mingi, utaona maandalizi ya kuanza utawala wa shetani duniani, na kuanza Rasmi utawala huo, lazima kwanza Unyakuo utokee. Angalizo weka na tofautisha, DHIKI na DHIKI KUU. Hapa tulipo tupo katika DHIKI, dhiki kuu Bado.

Ndani ya miaka hii hii kuanzia 2024 Hadi 2099. Yaani Dunia haitafika mwaka 3000 kabla kufanyika Unyakuo na kabla Dunia haijatupwa JEHANUM.

Ni katika kipindi hiki umekaribia Kutokea Unyakuo Ili uanze utawala wa shetani duniani Kwa muda mchache, Kisha shetani na Majeshi yake watakapojikusanya Kwa vita ya ARMAGEDDON, vita hii Si ya WANADAMU, ni Majeshi ya Pepo, mashetani, watu nusu mtu nusu shetani, wachawi nk nk ambao watakuwa wamebadilika kuwa na miili ya kiroho kuja Kupambana na Majeshi ya Mungu na Wachache ambao wamekataa chapa ya Shetani, hapo Yesu atashusha moto na kuwateketeza, ni kabla ya mwaka 3000. Baada ya kuteketezwa, ndio miaka hiyo 1000 ambapo Kwa hesabu tulizopo, miaka hiyo imeshapungua maana Unyakuo haujatokea Hadi sasa. Hivyo kutawala na Kristo miaka ni hii iliyobaki kabla ya kutimia mwaka 3000 ambao Dunia itakuwa imeshaangamizwa na siku ya Saba yaani mwaka 3000 na kuendelea ni mwaka wa umilele, hapakuwa na time tena au muda na miaka ya kuhesabika, watachomeka milele JEHANUM, na wengine watatawala milele katika Jerusalem mpya, ambayo Yesu anaendelea kutuandalia.

5. Kweli, wapo walioandikiwa motoni tangu kuumbwa Dunia. Lakini wewe undercover Si mmoja wao wa walioandikiwa moto. Uliandikiwa uende Mbinguni iliko asili Yako, umeletwa duniani Kwa special mission, usikubali shetani akutoe kwenye mission Yako, utaona kuwa wewe unepewa uhuru wa kuamua uende Mbinguni iliko Toka, au uende JEHANUM alikopangiwa aende shetani na Malaika zake waovu wenzie.

Ni hivi, shetani na mapepo na waliokuwa Malaika na wakaasi, hawana nafasi ya kutubu, hivyo wanajua destiny Yao ni JEHANUM.

Pili, walioandikiwa JEHANUM direct ni mapepo yaliyo katika form ya mwanadamu, Hawa wapo wengi na tunaishi nao,

Na Hawa wanajitahidi kuchanganya uzao wao na uzao wa Adam, unakuta shetani anamwingilia mwanamke mchawi na kuzaa mtoto ambaye ni Pepo ambaye baba ni shetani , mama mwanadamu. Sasa watoto na uzao huu, Mungu haxhangamani nao, Hawa hata uhubiri asubuhi Hadi jioni hawezi kuokoka Wala kupenda au kutenda ya Mungu, asili Yao ni kuzimu, huyatimiza mapenzi ya baba Yao shetani.

Nadhani sasa unaanzaje kupata mwanga.

Wapo pia WANADAMU ambao asili Yao ni Mbinguni tunaishi nao,

Yohana Mbatizaji, Elia, Henoko, na manabii wengi walitoka Mbinguni Kisha kuletwa duniani Kwa mission maalum,

Mfano Mimi Rabbon, hata iweje, ndani yangu na asili yangu Toka Mbinguni always hunikumbusha na kunirejeza kwenye mstari Ili kutimiza kusudi la Mungu duniani.

Jitahidi kuwafahamu wanaokuzunguka ikiwa ni uzao Toka juu Mbinguni au uzao Toka chini, mbegu ya kishetani,

Makinika, Si Kila umwonaye ni mwanadamu, wengine ni mapepo, wengine Malaika, wengine mashetani, wengine nusu mtu nusu Pepo, wengine majini nk nk.

Ubarikiwe
Asante mkuu nimekuelewa ila kidgo 2024 -2099, theni c inaingia 2100? How 3000 baad ya 2099 au mimi nikdg ndio sijakuelewa ?
 
1. Ikiwa ni msomaji wa Neno utaelewa nisemacho kuwa, baada ya Yesu kufufuka, makaburi yalifunguka, wafu waliokufa katika Imani ya Mungu,walirudi Toka Paradise na kufufuliwa na kupaa naye mbinguni, wapo huko wakisubiri siku ya mwisho,na hao ni WATAKATIFU hawahukumiwi, watahukumu wenye dhambi pamoja na Kristo, YESHUA aliwambia wanafunzi wake direct juu ya wao kuhukumu Hadi Malaika waasi.

Imeandikwa Yesu atakuja kuhukumu Ulimwengu akiambatana na WATAKATIFU wake, ndio hao nisemao walipaa Mbinguni baada ya kufa na hawakai kaburini, na hawahukumiwi hao.

2. Mavazi machafu, imeandikwa baada ya wateule kunyakuliwa, watabaki walioachwa, wengine ni wakristo waamini lakini hawakuacha dhambi, anasali lakini Bado mwongo, Mwizi nk nk. Hawa wanalo vazi ila chafu sababu ya DHAMBI, wengine ni Waisrael,wao wanalo AGANO na Mungu la kuokolewa, Hawa watapita katika dhiki kuu na kuteswa na shetani na mapepo lakini kamwe hawatakubali KUPIGWA chapa ya mnyama, watauwawa Kisha watakaa kaburini kusubiri siku Yesu arudipo awafufue na kuondoka naye. Hapo utaona Unyakuo ufanyikapo, Yesu hatokanyaga ardhi, atawanyakua akiwa juu, kipindi Cha dhiki kuu, atakuja akiwa na jeshi na walionyakuliwa na wale wengine ambao tayari wapo Mbinguni WANADAMU WATAKATIFU Kisha watajumuika na waliokatwa vichwa kwenye dhiki kuu.

3. Ndio shetani atarudi tena kuwadanganya WANADAMU. Ni hivi, hapa tulipo, shetani amefungwa kuzimu, lakini Kwa kuwa kuzimu alikofungwa ni sehemu mojawapo ya Dunia hii, na Kwa kuwa shetani ni Roho, ujue kuwa kifungo chake ni katika mipaka ya kufanya KAZI, ni kama tu aliyefungwa kifungo Cha nje.
Kufungwa Kwa shetani ni Kweli kafungwa, lakini hajanyanganywa nguvu zake, anazo na huko alikofungiwa amepewa kujitawala katika gereza lake na ameruhusiwa kuwajaribu WANADAMU na kuwatesa akiwa gerezani,kifungo chake Kiko katika limits.

Utaona shetani akiomba ruhusa kumjaribu Ayubu, na aliporuhusiwa, aliambiwa, nenda, mjaribu ila usimuue, hapo utaona shetani katika kifungo chake, amepewa mamlaka kiasi lakini chini ya uangalizi.

Limit ya nguvu za shetani imewekwa na Mungu sababu sisi watu wa Mungu tunaishi duniani, baada ya Unyakuo, shetani ataruhusiwa kuitifua Dunia na wakaao ndani yake, ndicho kipindi kiitwacho DHIKI kuu, hapo Dunia itatikiswa Hasa, shetani atawapiga waliomkataa Yesu Kwa mapigo mabaya sana, ndio maana ya kufunguliwa, yaani hatawekewa mipaka, Malaika watamwacha ajitanue Kwa muda. Kipindi hili shetani atakuja live, Si Kwa kificho kama sasa, mapepo yataonekana live na Majeshi ya kuzimu yatakuwa on, ni hatari kuwepo duniani wakati huo.

4. Miaka 1000 ni hesabu ya kidunia. Katika hesabu za kinabii, mwaka 2000 ni mwaka wa elfu SITA, siku ya SITA. Na mwaka huu 2024 maana yake tayari tupo mwaka wa ishirini na nne ndani ya ya miaka 1000 iliyobaki.

Kwa maana ingine, Unyakuo utatokea miaka michache ijayo, Si mingi, utaona maandalizi ya kuanza utawala wa shetani duniani, na kuanza Rasmi utawala huo, lazima kwanza Unyakuo utokee. Angalizo weka na tofautisha, DHIKI na DHIKI KUU. Hapa tulipo tupo katika DHIKI, dhiki kuu Bado.

Ndani ya miaka hii hii kuanzia 2024 Hadi 2099. Yaani Dunia haitafika mwaka 3000 kabla kufanyika Unyakuo na kabla Dunia haijatupwa JEHANUM.

Ni katika kipindi hiki umekaribia Kutokea Unyakuo Ili uanze utawala wa shetani duniani Kwa muda mchache, Kisha shetani na Majeshi yake watakapojikusanya Kwa vita ya ARMAGEDDON, vita hii Si ya WANADAMU, ni Majeshi ya Pepo, mashetani, watu nusu mtu nusu shetani, wachawi nk nk ambao watakuwa wamebadilika kuwa na miili ya kiroho kuja Kupambana na Majeshi ya Mungu na Wachache ambao wamekataa chapa ya Shetani, hapo Yesu atashusha moto na kuwateketeza, ni kabla ya mwaka 3000. Baada ya kuteketezwa, ndio miaka hiyo 1000 ambapo Kwa hesabu tulizopo, miaka hiyo imeshapungua maana Unyakuo haujatokea Hadi sasa. Hivyo kutawala na Kristo miaka ni hii iliyobaki kabla ya kutimia mwaka 3000 ambao Dunia itakuwa imeshaangamizwa na siku ya Saba yaani mwaka 3000 na kuendelea ni mwaka wa umilele, hapakuwa na time tena au muda na miaka ya kuhesabika, watachomeka milele JEHANUM, na wengine watatawala milele katika Jerusalem mpya, ambayo Yesu anaendelea kutuandalia.

5. Kweli, wapo walioandikiwa motoni tangu kuumbwa Dunia. Lakini wewe undercover Si mmoja wao wa walioandikiwa moto. Uliandikiwa uende Mbinguni iliko asili Yako, umeletwa duniani Kwa special mission, usikubali shetani akutoe kwenye mission Yako, utaona kuwa wewe unepewa uhuru wa kuamua uende Mbinguni iliko Toka, au uende JEHANUM alikopangiwa aende shetani na Malaika zake waovu wenzie.

Ni hivi, shetani na mapepo na waliokuwa Malaika na wakaasi, hawana nafasi ya kutubu, hivyo wanajua destiny Yao ni JEHANUM.

Pili, walioandikiwa JEHANUM direct ni mapepo yaliyo katika form ya mwanadamu, Hawa wapo wengi na tunaishi nao,

Na Hawa wanajitahidi kuchanganya uzao wao na uzao wa Adam, unakuta shetani anamwingilia mwanamke mchawi na kuzaa mtoto ambaye ni Pepo ambaye baba ni shetani , mama mwanadamu. Sasa watoto na uzao huu, Mungu haxhangamani nao, Hawa hata uhubiri asubuhi Hadi jioni hawezi kuokoka Wala kupenda au kutenda ya Mungu, asili Yao ni kuzimu, huyatimiza mapenzi ya baba Yao shetani.

Nadhani sasa unaanzaje kupata mwanga.

Wapo pia WANADAMU ambao asili Yao ni Mbinguni tunaishi nao,

Yohana Mbatizaji, Elia, Henoko, na manabii wengi walitoka Mbinguni Kisha kuletwa duniani Kwa mission maalum,

Mfano Mimi Rabbon, hata iweje, ndani yangu na asili yangu Toka Mbinguni always hunikumbusha na kunirejeza kwenye mstari Ili kutimiza kusudi la Mungu duniani.

Jitahidi kuwafahamu wanaokuzunguka ikiwa ni uzao Toka juu Mbinguni au uzao Toka chini, mbegu ya kishetani,

Makinika, Si Kila umwonaye ni mwanadamu, wengine ni mapepo, wengine Malaika, wengine mashetani, wengine nusu mtu nusu Pepo, wengine majini nk nk.

Ubarikiwe
Pia unyakuo utakuwa ni wazi? Au ni siri na tutakapoanza kuona maandalizi ya utawala wa shetani basi utakuw umeshapita?, na pia tutajuaje hapa sasa ni maandalizi ya shetani , maana mpka sasa naona ndio tupo

Samahani pia naomba uwe mwalimu wangu wa kunifundisha neno🙏
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Na bado hamjasema.
 
Jikite kwenye mada 🙏

Safari za nje zilishamiri sana Awamu ya nne.
Umeona madhara yakutawala watu kimabavu kama ng'ombe?Kiko wapi sasa?

Mwananchi hata kama ungemnunulia kila mmoja ndege yake,ukiminya uhuru wake,ukimuishisha kama unaongoza familia yako nyumbani lazima yatakukuta na hicho ndicho kilichotekea.
 
Pia unyakuo utakuwa ni wazi? Au ni siri na tutakapoanza kuona maandalizi ya utawala wa shetani basi utakuw umeshapita?, na pia tutajuaje hapa sasa ni maandalizi ya shetani , maana mpka sasa naona ndio tupo

Samahani pia naomba uwe mwalimu wangu wa kunifundisha neno🙏
Unyakuo ni wazi na Siri wakati huo huo,

Walioachwa watastuka kuona ndugu zao wa karibu hawapo. Neno la Mungu limesema hivyo, watakuwa wamelala kitandani wawili, mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. Wengine wakulima shambani mchana, mmoja akitwaliwa, mmoja akiachwa.

Ni kama tu katika maisha ya sasa, mume anaweza akawa anamwamini YESU lakini mkewe ni mchawi na wanaishi pamoja. Una members 7 katika family, mmoja ameokoka, wengine waasi.

Pia ni Muhimu sana u download BIBLIA uisome kidogo kidogo Kila siku, tenga. Muda,Kisha usoyaelewa leta kujadiliane Kwa uelewa mpana.

Yapo Mungu anaweza kutufunulia ambayo Mimi siyajui ukawa msaada kwangu pia.

Pia kuhusu utajuaje Unyakuo umekaribia au la,

Fuatilia mahubiri ya watumishi bwa Mungu siku za karibuni, msisitizo imekuwa kuwafanya waamini wajitakase wafie mavazi Yao yawe safi, wabishi maisha ya utakatifu, hiyo ni dhahiri UNYAKUO umekaribia, YESU Yuaja kulichukua Kanisa, ndipo dhiki kuu ianze.

Kwenye dhiki kuu, ni hatari, Hadi mto NILE utakauka, jiulize Ziwa Viktoria itakuwaje, bahari itakauka, njaa ndo usiseme, hapatanyesha mvua.
 
Wabongo ni washaulifu sana, huyu kikwete alietishiwa na wapinzani kupelekwa the hegue ndo alistawisha demokrasia?

rais aliebagazwa daily na vyombo vya habari vya kimataifa kwa kukandamiza wapinzani na kashfa za ufisadi ndo unamsifia hapa?

kikwete alikua rais mzuri bt hakua na sifa zote ulizomnadi hapa.
Kipimo na uzuri wake vimeonekana baada ya kutoka na kuja Viongozi wa hovyo ,ndo maana anajipatia credibility.

Kikwete alikuwa mtu kweliii kweliii
 
Back
Top Bottom