Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Legacy ya Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete

Nitamkumbuka kwa kutokuwa na dhamira ya dhati ya kuleta katiba mpya.

Hali ya ajira na uchumi ulifunguka sana

Kwa sababu alikuwa ni Kanali mstaafu hakuwahi kupenda sana kuvaa combat kwenye public domain unlike magufuli ambaye alikuwa very much inspired na ujeda .
 
"Sio kama sisikii yanayosemwa au siambiwi yanasemwa bali .........." by Mzee wa Msoga

"...hatutaki kuyaamini, Lakini hatuyapuuzi..."

Ulitaka kula lazima ukubali kuliwa"

"...mtu muungwana husema, ushauri wako siutaki, ushauri wako siuafiki,...."

"Lakini pia ushauri ule niliutoa pia kwa Rais Yoweli Museveni wa Uganda, na yeye alikuwepo, hakusema kitu, lakini aliporudi Rwanda tukayasikia tinayoyasikia,"

Hata kidogo, completely out context,out of proportional "


MKWERE BANA....ACHA TU!!
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
15. Alitudanganya kuwa angeigeuza Kigoma iwe kama Dubai.

Kwa ufala wangu niliamini🤣🤣🤣🤣

16. Akaingiza taifa kwenye gharama za bunge la katiba, halafu akaikataa katiba pendekezwa
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Mkuu ulikuwepo kwenye utumishi wa umma'nini!

Umesema kweli bila kuonesha bias.

#4: Ni kweli alituongezea, akatuongezea, akazidi kutuongezea na akatuongeza tena, pia aliwakumbuka wastaafu akawaondoa kwenye jehanamu la miezi mitatu akawaongeza pensheni zao ndiyo akajua kustaafu!

Najiuliza, bila ya yeye kufanya hivyo pensheni zetu hivi sasa zingeliweza hata kununua kilo ya nyama?

Mtu mwingine asiyestahili kusahaulika ni Rais Mwinyi wa awamu ya pili, eebhanaeeh, ukisikia kuifungua nchi, yeye ndiye Rais aliyeifungua nchi kwa vitendo na si kwa maneno ya blah blah.

Na kile kiswahili chake cha Kiunguja kila Tarehe 01/5 alipohutubia siku ya wafanyakazi ilikuwa ni furaha na nderemo tupu kuisikiliza kwa wote,
maana lazima ALIONGEZA kitu kwenye mifuko!
 
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Na bado wapinzani na wakkkristu walimtukana
 
P
Nachukua fursa hii kusema yafuatayo kuhusu Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

1. Aliishi Katiba na Demokrasia kwa vitendo.
2. Alistawisha demokrasia ya vyama vingi.
3. Aliamini katika checks and balances mahakama na bunge vilikuwa huru.
4. Aliboresha mishshara ya watumishi wa umma kuliko awamu zote na itakuwa hivyo milele na milele hakuna kama Kikwete.
5. Aliishi cheo cha Urais kwa Busara, Hekima, Ukomavu, Usikivu, na utulivu.
6. Alijua kutukanwa, kejeli dhidi yake si chochote na hapungukiwi kitu.
7. Alikuwa ni Rais ambaye aliheshimu wasaidizi wake.
8. Alifahamu na anafahamu katika nchi Siasa na Demokrasia sio Uadui.
9. Ni Rais ambaye aliamini katika uwezo na ushauri wa wasaidizi wake.
10. Awamu yake Bunge lilikuwa bunge kweli na Uhuru wa Mahakama tulishuhudia rufaa kadhaa za kutengua ushindi wa wabunge wa CCM.
11. Awamu ya 4 ndio wakati ambao Tanzania ilikuwa nchi ya multiparty democracy, good governance, na katiba ikiheshimika.
12. Hakuwa Rais aina ya Mfalme na hakuvimba kuwa Rais wa nchi.
13. Utawala wa Kikwete uliishi bayana mipaka ya Serikali, Bunge na Mahakama.
14. Alidumisha heshima ya Tanzania kama peaceful and diplomatic state

Kwa dhati ya moyo wangu namshukuru kwa hayo namuombea maisha marefu sana.

Nukuu ya siku "Asiyesikia la Mkuu huvunjika Guu"

Wadiz
Kikwete Mungu azidi kumlinda
 
Tutamkumbuka kwa kupitisha muswada kwa hati ya dharura kuhusu gesi. Enzi za JK kulikuwa na upigaji uliokithiri. Ujanja aliofanya ni kugundua kuwa wapinzani nao wanachotaka ni kuingia ikulu na kujichotea rasilimali za nchi hivyo akawapumbaza na demokrasia. Zile chai za ikulu walizifurahia sana.
 
Tuseme ukweli hakuna kama Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete. Mengine yote yanabaki kuwa sehemu ya utamaduni wa Human ecosystem and it's interactions.

Aliacha Tanzania ikiwa Diplomatic State na Kisiwa cha amani na utulivu kwa Africa nzima.
 
Gesi gani iliyouzwa?..gesi ya mtwara Tanzania inaimiliki kwa 40% kupitia tpdc,mnaimba huu uwongo Kama kasuku
Kaka tpdc wanamiliki hiyo 40% kwenye nini, kwenye kitalu kipi? Mtwara kuna vitalu vingi
Sipendi kutumia neno kuuzwa, Ila gesi walipewa wawekezaji sababu sisi hatuna uwezo Wala pesa ya kufanya utafiti na kuchimba. Wawekezaji ndio wanaotuuzia kupitia tpdc. Swali langu kwako tpdc anamiliki hiyo 40% kwenye kitalu kipi au kwenye muwekezaji yupi
 
Tuseme ukweli hakuna kama Rais Mstaafu Awamu ya 4 Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete. Mengine yote yanabaki kuwa sehemu ya utamaduni wa Human ecosystem and it's interactions.

Aliacha Tanzania ikiwa Diplomatic State na Kisiwa cha amani na utulivu kwa Africa nzima.
Usipate shida kwenye hili, binadamu tumetofautiana. Wewe amini Jk alikua Bora, wapo wanaoamini alikua wa hovyo. Wapo wanaoamini nyerere ndio bora, wapo wanaoamini mkapa ndio bora, wapo wanaoamini magufuli ndio bora, wapo wanaoamini Samia ndio bora.

Usitumie nguvu na muda bure tu, watu hawawezi kukubaliana na wewe kwenye lile unawaza
 
Back
Top Bottom