Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Hapa uliandika mwezi mmoja baada ya mwendazake kuondoka,na sasa Ni miezi 10 toka mfuta legasi aanze kutawala nakupa miezi mingine miwili ili ifike 16/03/2022 Kisha fanya tathimini utaniambia,utagundua ilikuwa mapema Sana kutabiri hayo👃👃
 
Legacy mpya👇🤡🤡🤡
 
Kwanini tusimseme Nyerere ametawala zaidi ya miaka ishirini.,,,kwa chama kimoja?
Kwanini tusimseme Mkapa naye pia wa CCM na hata kwenye uchaguzi wake waliiba kura pia?

Tunamsema huyo Kenge Mfu, kwa ujinga wake, kwa ukatili wake, wizi wa mali ya nchi na kura za watanzania, ubinafsi wa kujijengea airport kijijini kwake na hospitali ambayo ilitakiwa ijenge Geita
Ni Raisi pumbavu mno kutokea tangu tupate uhuru
Simkumbuki wala hatakumbukwa sababu ya dhiki na hofu aliyowaachia watanzania
Karibu Madam President.......
Si kwa povu lote hili, ulikuwa mtumishi hewa au! binafsi Magufuli ataishi daima moyoni mwangu mimi na kijiji chetu wote hapa, na kila napotembea anakumbukwa na maelfu ya watanzania wengi, labda jf ni nchi nyingine.
 
JPM wako ashakufa, anaoza ardhini now, and kauliwa na Corona, ugonjwa alioudharau sana. Hatorudi tena, na hamna jambo jema lolote aliloacha zaidi ya wizi na kuwapa vyeo ndugu, marafiki na watu wa kabila lake! Alikuwa Rais wa hovyo kweli kweli

Chuki za kijinga hizi.
Yani unaongea kama umekatwa kichwa.
 
Hivi uchunguzi tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu umekamilika? Ben Saanane? Azory? Akwilina? etc etc?

Kuhusu lisu muulize dereva wake ndio anajuwa maana alikuwa nae.
 
Hapa uliandika mwezi mmoja baada ya mwendazake kuondoka,na sasa Ni miezi 10 toka mfuta legasi aanze kutawala nakupa miezi mingine miwili ili ifike 16/03/2022 Kisha fanya tathimini utaniambia,utagundua ilikuwa mapema Sana kutabiri hayo[emoji103][emoji103]
Sasa ni 11; Hakuna vyuma kukaza, hakuna wasuojulikana, hakuna watumishi mfano wa Sabaya, Hakuna mkulima korosho anamdai kiongozi, Hakuna gazeti limefungiwa wala mkurugenzi ya Jf kuitwa polis wa tcra, Hakuna woga kumlaumu kiongozi au kumkosoa, Matumaini kwa watumishi yamerejea, matumaini kwa wafanyabiashara nako yamerudi, Elimu imekuwa ni kipaumbele kwa sasa, na tunaona nchi nzima shule na madara vikijengwa na walimu kupanda vyeo na kuajiliwa, hayo ni ya chini. Nenda juu Benk kuu kachukue takwimu za kiuchumi utashangaa zilivyopaa, mabenk yote yanakopesha na kukopesheka, na mitaji yao imeimariaka. Muda mdogo hebu fatilia kwa uhuru na dhamira ya kweli uone na unirudie hapa ukiwa mkweli.
 
Sasa ni 11; Hakuna vyuma kukaza, hakuna wasuojulikana, hakuna watumishi mfano wa Sabaya, Hakuna mkulima korosho anamdai kiongozi, Hakuna gazeti limefungiwa wala mkurugenzi ya Jf kuitwa polis wa tcra, Hakuna woga kumlaumu kiongozi au kumkosoa, Matumaini kwa watumishi yamerejea, matumaini kwa wafanyabiashara nako yamerudi, Elimu imekuwa ni kipaumbele kwa sasa, na tunaona nchi nzima shule na madara vikijengwa na walimu kupanda vyeo na kuajiliwa, hayo ni ya chini. Nenda juu Benk kuu kachukue takwimu za kiuchumi utashangaa zilivyopaa, mabenk yote yanakopesha na kukopesheka, na mitaji yao imeimariaka. Muda mdogo hebu fatilia kwa uhuru na dhamira ya kweli uone na unirudie hapa ukiwa mkweli.
Unadhani watanzania wajinga,hivi sasa tunapoongea Mbowe anafanya nini hapo mahakama ya uhujumu uchumi? Bati lilikuwa 17,000 miezi 11 iliyopita, jana tu nimeuliza 27,000, wafanyabishara wasemeje sasa raha iliyoje! Mhu,hivi Ndungai yupo wapi kwa sasa na anacheo gani kweli? na amefikajefikaje hapo?
Sasa hivi umeme unamwagika tu huko mtaani wananchi mwemwele mwemele furaha tupu!
Lakini kweli polepole aliitiwa nini kule TCRA?
Hivi gazeti la Mwanahalisi,na Tanzania Daima toleo la mwisho ilikuwa lini?
Mabenki yamepata faida baada ya kukopesha wananchi wa kawaida au baada ya kuwakopesha Barrick, maana barrick nasikia walikopa NBC na CRDB na ndio waliotangaza faida kufuru kwani mabenki mengine hayafanyi biashara?
Tozo zetu baba tozoooo! na mkopo juu kwa nini madarasa yasiboreshwe.
kimsingi hakuna maendeleo bila kuumia huku maumivu yake na kule kulikuwa na maumivu yake hilo ndio hamtaki kukubari
 
Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu

Legacy sio maneno ni vitendo.

Atakumbukwa kwa watoto walioende shule zaidi ya milioni kumi, hospitali zahanati, vituo vya afya, nidhamu serikalini, utendaji wa ukweli, barabara nchi nzima, umeme, maji wa uhakika, alithibiti mfumuko wa bei, alijali wakulima, bei za pembejeo, Masoko ya madini nchi nzima.

Alibana Acacia na makampuni yote makubwa duniani kutuibia rasilimiali zetu, madini yetu, tumepata mikataba mipya itayotunaifaisha wewe, vizazi vya sasa na vijavyo.

Zaidi atakubukwa kwa kuongea kwa uwazi, sisi ni nchi tajiri sana, tutembee vifua mbele, tujiamini, tushirikiane, tumtangulize Mungu.
Alijaribu kubadilisha mindset (uwezo wa kufikiri, kutafakari, kujitambua, utajiri wetu) ya Watanzania.

Alifungua upeo wa wengi kufikiri. Sababu yeye mwenyewe alitokea, alizaliwa kwenye familia maskini, kwahiyo alijua matatizo ya Watanzania wengi.

Of course kuna vitu alikosea, lakini legacy yake itadumu milele, haifutiki.

Mtoto wa maskini akienda shule hii ni moja ya legacy yake. Ukiweza kusafiri kutoka popote kwenye barabara za lami kutoka Mtwara, Bukoba hadi Dar hiyo ni legacy yake kufanya shughuli, biashara zako hiyo ni legacy yake.

Unafuta vipi legacy ukisafiri, barabara unazopita zimesimamiwa na yeye, ukiumwa unatibiwa bure, watoto wako shule wanaenda bure. Legacy yake haifutiki.
 
Hii tangia mwaka jana mwezi mmoja baada ya kufa bado anaongelewa kila siku
 
Kuhusu lisu muulize dereva wake ndio anajuwa maana alikuwa nae.
Hii kauli 'muulize dereva wake' imekuwa kichaka cha mashetani kujificha. Je, dereva angefariki? Au dereva ndie aliondoa zile CCTV camera? Au ndie aliondoa walinzi wa yale makazi ya viongozi? Tunajua Lissu alikuwa anaishi jirana na waziri kalemani na naibu spika tuli akson.l, eneo ambalo lina ulinzi 24/7.
 
Hii kauli 'muulize dereva wake' imekuwa kichaka cha mashetani kujificha. Je, dereva angefariki? Au dereva ndie aliondoa zile CCTV camera? Au ndie aliondoa walinzi wa yale makazi ya viongozi? Tunajua Lissu alikuwa anaishi jirana na waziri kalemani na naibu spika tuli akson.l, eneo ambalo lina ulinzi 24/7.
Mlishindwa kumprove wrong akiwa hai,
Mmeshindwa akiwa amekufa.
 
Magufuli is dead.

Hawezi tena kudhuru mtu au kumnufaisha.

Soon utaona axis of power ikimzunguka mama kikamilifu na hapo kidogokidogo utaona raia wanaachana na mambo ya Magufuli.

Magufuli will be phased out very soon, hasa mama akileta Neema

vp umevuka darajani pale?
 
Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Naam
 
Yule alikuwa janjaweed wa hapa Tanzania mwenye asili ya chato.

Mwezi huu naenda chato nitapiga picture miradi yote aliyoipeleka huko. Ili tulinganishe na bagdolite kule kwa Mobutu

Mungu fundi sana
 
Sasa ni 11; Hakuna vyuma kukaza, hakuna wasuojulikana, hakuna watumishi mfano wa Sabaya, Hakuna mkulima korosho anamdai kiongozi, Hakuna gazeti limefungiwa wala mkurugenzi ya Jf kuitwa polis wa tcra, Hakuna woga kumlaumu kiongozi au kumkosoa, Matumaini kwa watumishi yamerejea, matumaini kwa wafanyabiashara nako yamerudi, Elimu imekuwa ni kipaumbele kwa sasa, na tunaona nchi nzima shule na madara vikijengwa na walimu kupanda vyeo na kuajiliwa, hayo ni ya chini. Nenda juu Benk kuu kachukue takwimu za kiuchumi utashangaa zilivyopaa, mabenk yote yanakopesha na kukopesheka, na mitaji yao imeimariaka. Muda mdogo hebu fatilia kwa uhuru na dhamira ya kweli uone na unirudie hapa ukiwa mkweli.
Mauaji Mauaji. Kilindi, watu kuuana.
 
Back
Top Bottom