Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Unaumia sana eeee[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Nguvu unazotumia kumuua JPM mioyoni mwa watanzania ni nyingi mnoo ila ujue ataishi vizazi kwa vizazi

Wanaomkumbuka na kuchipua ni hawa hapa na wengine wengi zaidi

View attachment 1754311

View attachment 1754325
Kama inakuuma sana jinyonge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwanza kwa taarifa yako siumii ila nafurahia anavyokula mkurutu huko Jehanamu maana alitaka kujiona Mungu mtu na vile mlikua mnapiga kelele oooh kaletwa na Mungu basi Mungu nae akesema shenzi type ngoja nimkate moto kwa sababu mlikua mnamsingizia kuwa yeye ndio kamleta

Kule kuna Jahanamu kuna moto huo unaitwa MAAHIYA ... ambao ni NARU HAAMIYA yaani saivi anajuta huko aliko

Pili nafurahi mnavyoparurana kulazimisha eti Legacy ... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] uzuri Legacy its an abstract thing ... you can't touch or hold it or control it nilkitu ambayo inakuwepo tu yenyewe automatically haijadiliwi kuwepo kwake wala kufa kwake

Sasa kama Legacy ya Magu ipo mbona mnataabika sana kuitetea acheni tu muone kama June tu hatusahau kila kitu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mfano leo hii ukimta Sokoine tunachokumbuka ni wimbi la kesi za UHUJUMU UCHUMI na watu kupoteza mamilioni ya pesa kwa kuzitupa pamoja na kadhia ya kampeni za NGUVU KAZI kama ulikuwepo lakini

Sasa kinachokuja kwa Magu utakua ukitaja jina tu la Magu tutakua tunakumbuka wimbi la VYUMA VIMEKAZA na wimbi la tekateka na uaua ya WASIOJULIKANA zaidi zaidi binafsi sinto sahau nunua nunua ya WAPINZANI kwa fedha za walipa kodi

REST IN BIG PROBLEMS MAGU

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shida ni huo uanamke ulionao, wala sio kosa lako. Tunakisamehe.
 
Na walipotea,kutekwa,kusingiziwa kesi,kila tunachogusa ni kwa mikono ya jiwe.
Kila unapopita juu ya flyover m
tamka hivi, kwa jina la Magufuli flyover hii imewezekana.
Usipotamka badi kwepa kupita au tumia ungo .
Maana mjinga huwa haoni.
Akinywa maji ya ziwa atakuambia yanatope.
Akipanda bombadia atasema panga boy.
 
Humpty Dumpty sat on a wall
Humpty Dumpty had a great fall
All the king's horses and all the king's men
Couldn't put Humpty together again.
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Unajitahidi sana kumtetea mfu...

Usilolijua ni kuwa huenda yupo kwenye tabaka la chini kabisa lenye degree milioni centigrade
 
Siyo awamu ya 2, ni muhula wa 2. Awamu ilikuwa ya 5
Ashukuriwe mnyaazi Mungu kwa kutuondolea lile dubwana Ikulu, maana kwa nguvu za kawaida za kibinadamu asingetoka yule; Alipanga kufia ikulu, bahati nzuri kafa mapema, miezi 5 tu ya awamu ya 2 chalii
 
Huruma ya nini? Legacy gani inapotea? Kwa maoni yangu wewe ndiye was kuonewa huruma kwa kuamini kuwa legacy inapotea
 
Huruma ya Nini? Legacy gani inapotea? Kwa maoni yangu wewe ndiye was kuonewa huruma kwa kuamini kuwa legacy inapotea

Mkuu huyu sio kwamba anaamini legacy inapotea ila anatamani kuipoteza legacy bila mafanikio.
Mwache aeendelee kupaka upepo rangi
 
Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu

Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
The BAD outweighs the GOOD.
 
Kila unapopita juu ya flyover m
tamka hivi, kwa jina la Magufuli flyover hii imewezekana.
Usipotamka badi kwepa kupita au tumia ungo .
Maana mjinga huwa haoni.
Akinywa maji ya ziwa atakuambia yanatope.
Akipanda bombadia atasema panga boy.
Zenis, flyover ipi unkusudia, ya Tazara ilianza na Jk kama daraja la kigamboni
 
Jk aliweka Trillion ngapi hapo?
Umezoea miradi ya kutajiwa ukubwa wa hesabu ya pesa (madafu) ishara ya umaskini. Badala ya kutaja faida na ukubwa wa mradi unataja gharama za mradi
 
Back
Top Bottom