mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Nasikia nduru gizani.
nduru zinasikika hata baada ya mwendazake kutoweka.
na wanapiga wale wale waliopiga akiwepo.sasa sijui limzimu la mwendazake ndio shida??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia nduru gizani.
Na walipotea,kutekwa,kusingiziwa kesi,kila tunachogusa ni kwa mikono ya jiwe.Laana haijui
Unatibiwa kwa CTscan za Magu.
Unakunywa maji toka ziwa victoria kwa juhudi ya Magu
Unapanda ndenge za Magu.
Umeme usio katika wa Magu.
Unacharge simu yako kwa umeme wa bwawa la Magu.
Kila unacho gusa ni kazi ya mikono ya Magu.
Kama siyo kulaaniwa ni nini?
Laani hii itawatafuna kwa vizazi hadi hapo hiyo miradi itakapo zeeka baada ya 200yrs
Wasukuma nawakubali,usiku ushalimisha watu majaruba sa hii ni mahesabu.Acha kukariri basi...... kama kwako ndio kumekucha kwangu ni jioni sasa nafunga hesabu za siku na wiki
Hiyo 84% mnaipata wapi?Je,ni kutokana na zile kura fake zilizopikwa na kina Mahera?Kama ndiyo hizo mmebugi,zile kura hazikuwa halisi nanyi pia mnafahamu.Legacy ya kiongozi huwa hailazimishwi na haitafutwi.Na Kwa nini kila anaemfagilia Hayati aonekane si binadamu tena miongoni mwa jamii ndoogo ya watu waliochanganyika wema 2% na wauza madawa, wenye vyetu feki, majizi na mafisadi pamoja na wazembe 14% tu Kati ya watu wema ujumla wa 84% waliopendezwa na mfumo na utendaji kazi wake?
Ni ujinga na upumbavu kudhani Kwamba, watu hao walioamua kuwa upande wake hawastahili kufanya hivyo
Wasukuma nawakubali,usiku ushalimisha watu majaruba sa hii ni mahesabu.
Umewahi jiuliza Kwa nini Lissu ni mpingaji wa Legacy ya hayati JKN??Hiyo 84% mnaipata wapi?Je,ni kutokana na zile kura fake zilizopikwa na kina Mahera?Kama ndiyo hizo mmebugi,zile kura hazikuwa halisi nanyi pia mnafahamu.Legacy ya kiongozi huwa hailazimishwi na haitafutwi.
Ntashukuru sana maana hatutaiva chungu kimoja.Kama hizo ndizo akili zako sistahili kukujibu wala kusoma post yako nyingine yoyote
Nimekupuuza rasmi kuanzia sasa
Hakuna cha R.I.P hapa atupwe Jahanam tu huko shubaamit zake alidhani yeye ni Malaika kweliR.i.p mzee Magufuli
Nchi iko mikono salama kwa mama
Kabisa kabisaAtakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Amekipata au anakipata shuwain yuleJiwe huko aliko cha moto amekipata.
Hakuna cha R.I.P hapa atupwe Jahanam tu huko shubaamit zake alidhani yeye ni Malaika kweli
Kwenda kutuvunjia Nyumba yetu kimara mshenzi yule bila hata fidia senti 5 halafu kwao huko Mwanza akawaambia wasiwavunjie ni wapiga kura wake mbaguzi mkubwa ...
Mxieusssszzzz!!! Laanatullah tena atupwe kwa lile shimo la MAAHIYA ... NARUN HAAMIYA!!!
Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Still insisting.......it's keyboard legacy! Hutaki unaacha.mtaa wa ufipa unaoishu nyumbu pekee[emoji3][emoji3].
Ndio yale tunasema, umekulia mazingira gani?Alimbaka nani kwenye ukoo wenu?
D7 ni kambi maalum pale mjengoni Idodomia. FuatiliaD7 ni kitu gani mkuu Sisi wengine tunaishi kongwa huku ni tabu Sana kujua misemo yenu ya mjini