Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

nyinyi nyumbuuu tusikilizane.

mnanukuu maandiko pasi na uelewa nayo,wacheni kuchanganya hisia zenu na maarifa.
mfano wewe kilaza pia utakufa,huku hakuna yeyote anayelalamika kwamba umitendea dhambi.

magu amefariki kama ambavyo wewe pia utakufa,tofauti yenu ni kwamba magu kaliliwa na wengi sana,ila wewe hata mkeo nina mashaka kama atastuka.

Mkuu wacha wahangaike..... waache waumie, waache wapagawe hahaha... vibaraka wana hofu na wanahaha sasa zaidi hata wakati ule akiwa na uhai wa mwili.

JPM yupo anaishi na ataishi sanaa.

Kama ambavyo wachache wenye chuki nae wameshindwa kumsahau ndivyo wale wengi wenye shukrani kwa Mungu wanaendelea kuchipua ndani yao na kuyaenzi aliyofanya

Kazi iendelee
 
Mkuu wacha wahangaike..... waache waumie, waache wapagawe hahaha... vibaraka wana hofu na wanahaha sasa zaidi hata wakati ule akiwa na uhai wa mwili.

JPM yupo anaishi na ataishi sanaa.

Kama ambavyo wachache wenye chuki nae wameshindwa kumsahau ndivyo wale wengi wenye shukrani kwa Mungu wanaendelea kuchipua ndani yao na kuyaenzi aliyofanya

Kazi iendelee

cha ajabu sisi wenye shujaa wetu tumepokea maisha haya bila yeye tukiamini katika maono na mikakati yake[emoji3][emoji3]
tizama nyumbu na mbung'o wanavyofarakana,hawana uhakika hata nini wanasimamia.
 
nyinyi nyumbuuu tusikilizane.

mnanukuu maandiko pasi na uelewa nayo,wacheni kuchanganya hisia zenu na maarifa.
mfano wewe kilaza pia utakufa,huku hakuna yeyote anayelalamika kwamba umitendea dhambi.

magu amefariki kama ambavyo wewe pia utakufa,tofauti yenu ni kwamba magu kaliliwa na wengi sana,ila wewe hata mkeo nina mashaka kama atastuka.
Mimi kufa nitakufa pia unaskia sana we push ghang member,ila ntakufa kifo cha amani na siogopi maana sijaumiza binadamu yoyote kama magu alivyoumiza watu.

Mtateseka sana kumtetea Huyo marehemu wenu.
 
umeua

wanaangalia kafa, hawajaangalia kajaza nini akilini na mioyoni mwa watanzania

Wanahaha hivi na wakati waliona kabisa JPM amelala usingizi wa umauti...
Mimi nawashauri wakubaliane na ukweli wa nafsi zao kwani mioyo na akili zao zilizojaa ubinafsi zinatamani afe na kusahaulika ila nafsi zao zinakataa, zinajua JPM anaishi na ataendelea kuishi
 
Mimi kufa nitakufa pia unaskia sana we push ghang member,ila ntakufa kifo cha amani na siogopi maana sijaumiza binadamu yoyote kama magu alivyoumiza watu.

Mtateseka sana kumtetea Huyo marehemu wenu.

we mbuzi kweli!!!sasa nani anaogopa kifo kama sio wewe unayekaa mpaka unajifariji kwamba ni watenda dhambi pekee ndio watakufa!!!!

anayetetewa marehemu,weww mzima usiye na faida unaumia!!!jione ulivyo kilaza.
 
Wanahaha hivi na wakati waliona kabisa JPM amelala usingizi wa umauti...
Mimi nawashauri wakubaliane na ukweli wa nafsi zao kwani mioyo na akili zao zilizojaa ubinafsi zinatamani afe na kusahaulika ila nafsi zao zinakataa, zinajua JPM anaishi na ataendelea kuishi

wanasema maji hayazuiwi kwa beseni.

kile alifanya jpm zilikuwa ndoto za kila mwafrica,mpaka wao wenyewe.
sasa wanashindwa kuwashike lipi.

mtaani ukiongea upupu kumhusu jpm utazomewa sana hamna atakayekunyamazia.
 
we mbuzi kweli!!!sasa nani anaogopa kifo kama sio wewe unayekaa mpaka unajifariji kwamba ni watenda dhambi pekee ndio watakufa!!!!

anayetetewa marehemu,weww mzima usiye na faida unaumia!!!jione ulivyo kilaza.
Mkuu tulia,kunywa maji pressure ishuke.

Mimi wala siumii jinsi mnavyomtetea marehemu,kama alitenda mema basi nyie myamazeni ili matendo yake mema yamtetee kama hapo.

Mnatumia nguvu kubwa kupaka kinyesi marashi.
 
cha ajabu sisi wenye shujaa wetu tumepokea maisha haya bila yeye tukiamini katika maono na mikakati yake[emoji3][emoji3]
tizama nyumbu na mbung'o wanavyofarakana,hawana uhakika hata nini wanasimamia.

Wacha mapovu yawatoke..... wanapelekeshwa na mambo wasiyoyajua

Warumi 8: 5-8
Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili; bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani.
Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
 
wanasema maji hayazuiwi kwa beseni.

kile alifanya jpm zilikuwa ndoto za kila mwafrica,mpaka wao wenyewe.
sasa wanashindwa kuwashike lipi.

mtaani ukiongea upupu kumhusu jpm utazomewa sana hamna atakayekunyamazia.

Ile asilimia 84 ya watanzania wamekaa kimya wanawazoom waone mtu anawarudisha kwenye shida ndio nguvu ya umma unaoamini na kuishi kwenye maono ya JPM itadhihirika

Sisi twita na jf tena wenye fake IDs hatuna nguvu wala madhara
 
Mkuu tulia,kunywa maji pressure ishuke.

Mimi wala siumii jinsi mnavyomtetea marehemu,kama alitenda mema basi nyie myamazeni ili matendo yake mema yamtetee kama hapo.

Mnatumia nguvu kubwa kupaka kinyesi marashi.

pressure aaubuhi yote hii!!!inasbabishwa na nini kwako?

sisi tumenyamaza bana.kama una ubavu tunataka ufanye tofauti na alivyofanya.huo ndio uanaume umemfanya jpm kuwa mashuhuri africa nzima,aliachana na makelele akajikita kwenye kazi.

kitu mnafanya ni kujaribu kupaka tope dhahabu,ilihali mnajua ina sifa ya kuto react na ujinga ujinga,tunachofanya ni kuwatahadharisha maana hamko mbali kubaki bila nguo.
 
pressure aaubuhi yote hii!!!inasbabishwa na nini kwako?

sisi tumenyamaza bana.kama una ubavu tunataka ufanye tofauti na alivyofanya.huo ndio uanaume umemfanya jpm kuwa mashuhuri africa nzima,aliachana na makelele akajikita kwenye kazi.

kitu mnafanya ni kujaribu kupaka tope dhahabu,ilihali mnajua ina sifa ya kuto react na ujinga ujinga,tunachofanya ni kuwatahadharisha maana hamko mbali kubaki bila nguo.
Basi nyamazeni.
 
Itakuwa kinyume chake,wewe ndio utalaaniwa.
Laana haijui
Unatibiwa kwa CTscan za Magu.
Unakunywa maji toka ziwa victoria kwa juhudi ya Magu
Unapanda ndenge za Magu.
Umeme usio katika wa Magu.
Unacharge simu yako kwa umeme wa bwawa la Magu.
Kila unacho gusa ni kazi ya mikono ya Magu.
Kama siyo kulaaniwa ni nini?
Laani hii itawatafuna kwa vizazi hadi hapo hiyo miradi itakapo zeeka baada ya 200yrs
 
Ile asilimia 84 ya watanzania wamekaa kimya wanawazoom waone mtu anawarudisha kwenye shida ndio nguvu ya umma unaoamini na kuishi kwenye maono ya JPM itadhihirika

Sisi twita na jf tena wenye fake IDs hatuna nguvu wala madhara

kwa pressure ya genge la 2015 mama angeshafanya jambo haraka.

lakini anaogopa ataeleza nini watanzania ambao wanamuangalia kama atasimama na yale ya mwendazake,kama umeshtuka bimkubwa kabadiri gia angani.

ndio maana kelele zimekuwa nyingi ghafla,wajf na watwitter wamebaki njiapanda wasijue mama anaelekea wapi.
 
Ile asilimia 84 ya watanzania wamekaa kimya wanawazoom waone mtu anawarudisha kwenye shida ndio nguvu ya umma unaoamini na kuishi kwenye maono ya JPM itadhihirika

Sisi twita na jf tena wenye fake IDs hatuna nguvu wala madhara
We mama amka kumekucha,unaota,angalia usije ukasusuu ukalowesha godoro.
 
Laana haijui
Unatibiwa kwa CTscan za Magu.
Unakunywa maji toka ziwa victoria kwa juhudi ya Magu
Unapanda ndenge za Magu.
Umeme usio katika wa Magu.
Unacharge simu yako kwa umeme wa bwawa la Magu.
Kila unacho gusa ni kazi ya mikono ya Magu.
Kama siyo kulaaniwa ni nini?
Laani hii itawatafuna kwa vizazi hadi hapo hiyo miradi itakapo zeeka baada ya 200yrs

mkuu kwani unadhani hivi viwewe kwa hao wanyama vinatokana na nini???

wanaishi kwenye jasho la mwendazake,kumtukana ni kujiigiza kichaa tu.
 
Laana haijui
Unatibiwa kwa CTscan za Magu.
Unakunywa maji toka ziwa victoria kwa juhudi ya Magu
Unapanda ndenge za Magu.
Umeme usio katika wa Magu.
Unacharge simu yako kwa umeme wa bwawa la Magu.
Kila unacho gusa ni kazi ya mikono ya Magu.
Kama siyo kulaaniwa ni nini?
Laani hii itawatafuna kwa vizazi hadi hapo hiyo miradi itakapo zeeka baada ya 200yrs
Kabisaa.Waswahili wanasema"Mnyonge,mnyongeni lakini haki yake mpatieni".Magu kwa Kazi kubwa aliyoifanya hatupaswi kumsema vibaya kana kwamba hakufanya kitu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom