Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Tuachane we na nani?Jina la JPM litaishi mioyoni mwa mamilioni ya watanzania daima.Mlishindwa kumchafua alipokuwa hai,haitowezekana hivi sasa,endeleeni kuumia roho😅
Mioyoni mwa mataga na wapiga zumari. Utawala wa Magu umeondoka kwa aibu kubwa. Ikiwa kifo cha fedheha cha mfalme na uanikwaji wazi wa ufisadi wa genge lake. Hii ni aibu na laana kubwa sana
 
E
Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...

Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Eti Tanzania ni tajiri, tutembee kifua mbere. Kumbe kila mwaka anakopa trilioni 6 kujenga miradi yake ya kingese
 
ufufuo ndio unashrehekea!!!wewe ni mkristo wa wapi mkuu???

kifo cha Yesu ndio ushindi kwetu maana ndio ilikuwa dhamana ya dhambi zetu.
Kwa hiyo wewe sherehe yako ni Ijumaa kuu na siyo siku ile ya kwanza ya juma?

Ushindi wa Kristo upo katika ufufuko. Alibeba dhambi zetu kwa kifo chake, maana dhambi ndiyo mauti, akatupatia ushindi dhidi ya dhambi kwa kufufuka kwake.

"Kifo cha Kristo kingalikuwa bure kama asingalifufuka" - Mtume Paulo.
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
umeua

wanaangalia kafa, hawajaangalia kajaza nini akilini na mioyoni mwa watanzania
 
Wanywe bia au watoe sadaka hakuondoi ukweli kwamba malaika anakula vitasa mahali

hizi ni hisia zako tu,wala huna ushahidi wa hili,maana siku ya hukumu bado haijafika.

kanywe pombe nawewe ufurahi,Mungu hapokei sadaka za wenye roho chafu.
 
Mkuu you have spoken well(well said)magu is gone.

Mama Nina imani ataleta neema, Mungu alituleta huku duniani sio tuteswe na kiumbe kingine kilichoumbwa na mungu huyohuyo.

Narudia kusema magu angeishi mpaka 2059.ila amini nawambieni enyi wana Wa Adam mshahara Wa dhambi ni mauti.

nyinyi nyumbuuu tusikilizane.

mnanukuu maandiko pasi na uelewa nayo,wacheni kuchanganya hisia zenu na maarifa.
mfano wewe kilaza pia utakufa,huku hakuna yeyote anayelalamika kwamba umitendea dhambi.

magu amefariki kama ambavyo wewe pia utakufa,tofauti yenu ni kwamba magu kaliliwa na wengi sana,ila wewe hata mkeo nina mashaka kama atastuka.
 
Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Aisee kweli ,nimeshaagiza gari ipo njiani inakuja. Na hawa watu wa clearing and forwarding wataanza tena kupiga kazi na mtaona kamzunguko kanpesa kanaanza kuamka kidogo kidogo kwenye maeneo mengine.

Wanaomuenzi mh sana hili kwao hawalipendi japokuwa na wao.ni wanufaika.
 
Legacy yake imebaki kwa keyboard warioirs kama wewe jingalao na wengineo. Huku mtaani hakuna kitu inaitwa legacy, sana sana utasikia shule nzima ina waalimu wawili, hospitali/vituo vya afya havina vitendanishi, ATCL inaleta hasara etc etc.

mtaa wa ufipa unaoishu nyumbu pekee[emoji3][emoji3].
 
Hujasikia waliokamatwa huko kitaaani. Na wengine walifanya sikukuu kimya kimya.

ufanye sikukuu kimya kimya halafu ukamatwe!!!!!

tatizo lenu mna katabia ka uchangudoa,
vipi uhuru wa vyombo vya habari umefikia wapi,mara ya mwisho naskia mliwaka na magazeti yafunguliwe[emoji38][emoji38]
 
Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Kafanya kidogo sana, lakini bado gharama ni ghali tu, ushuru siyo rafiki kabisa. Ajitahidi afanye zaidi. Hongera zake.
 
E

Eti Tanzania ni tajiri, tutembee kifua mbere. Kumbe kila mwaka anakopa trilioni 6 kujenga miradi yake ya kingese

mladi wa kingesw usiwe m*ndu wako nyuma huko usiokupa faida ikawe,bwawa la umeme,ndege za serikali,na train ya umeme!!!!

unafirigiswa kwa mkopo mbwa wewe[emoji16][emoji16].
 
Back
Top Bottom