pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
AmenAtakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenAtakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
mkuu hii kitu vipi mie sijaelewa nasikia sikia tu, embu fafanua by how much % wamepunguza?Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Alikua tapeli katili yule jamaa..E
Eti Tanzania ni tajiri, tutembee kifua mbere. Kumbe kila mwaka anakopa trilioni 6 kujenga miradi yake ya kingese
Mkuu pls hebu fafanua kidogo hii inshuKuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Na gombana na mom ako hapa..Unagombana na nani?
Hayo mamilioni ya watanzania labda wa Chato, unasemelea mamilioni ya watz gani ww goigoi wa Lumumba?!Tuachane we na nani?Jina la JPM litaishi mioyoni mwa mamilioni ya watanzania daima.Mlishindwa kumchafua alipokuwa hai,haitowezekana hivi sasa,endeleeni kuumia roho[emoji28]
Mwambie huyo mwanamkeMnaoteseka ni nyie mnaojaribu kuiweka marashi maiti ili kuzuia isinuke
Usihamishe magoli,JPM hana Legacy aliyoiacha na ndiyo maana unahangaika kuitafuta na kuitetea.Unaweza kututajia walau baadhi yake?Umewahi jiuliza Kwa nini Lissu ni mpingaji wa Legacy ya hayati JKN??
Kitendo cha kusema Legacy huwa haipingwi, ni lazima uanze kumwona Lissu hazimtoshi
mama yangu ni SH na yy anagombana na waovu na mishenzi kama wwNa gombana na mom ako hapa..
Almost halfmkuu hii kitu vipi mie sijaelewa nasikia sikia tu, embu fafanua by how much % wamepunguza?
Aliyeyafungia sasa hivi yuko wapi. Amefaidika na nini?ufanye sikukuu kimya kimya halafu ukamatwe!!!!!
tatizo lenu mna katabia ka uchangudoa,
vipi uhuru wa vyombo vya habari umefikia wapi,mara ya mwisho naskia mliwaka na magazeti yafunguliwe[emoji38][emoji38]
Ushuru umeshuka almost halfMkuu pls hebu fafanua kidogo hii inshu
Au kama kinjekitile tu. Maajabu ya dunia.Yes... giving respect to the one who told them... am not buying your evil agenda....
Kama Mkwawa anavyoheshimika na Germans...[emoji16]
UVCCM mna kazi ngumu sana ya kuibadili nyekundu kuwa njanoNa Kwa nini kila anaemfagilia Hayati aonekane si binadamu tena miongoni mwa jamii ndoogo ya watu waliochanganyika wema 2% na wauza madawa, wenye vyetu feki, majizi na mafisadi pamoja na wazembe 14% tu Kati ya watu wema ujumla wa 84% waliopendezwa na mfumo na utendaji kazi wake?
Ni ujinga na upumbavu kudhani Kwamba, watu hao walioamua kuwa upande wake hawastahili kufanya hivyo
Ukatili wa kutokupandisha mishahara wafanyakazi kwa miaka 6, kuua wapinzani na kuwaweka Kwenye viroba, kudhulumu wazee mafao yao, kupiga risasi wapinzani... the list is endlessUkatili gani pumbafu njie jpm kawafanyia. Kuna ukatili kama kuangamiza taifa kwa kuuzia vijana dawa za kulevya. Kuna ukatili kama kula hela hela za umma kwa kufanya ukandarasi hewa wa maji. Kuna ukatili kama kula mabilioni ya iptl kama mgao wa dili huku utapeli kuhusu iptl kuendelea bila kikomo. Kuwapoka mali za dhuluma na kuwalundika lupango na kuwazuia kuendeleza uporaji ndio legacy ya jpm. Mtakoma tu mapambano yanaendelea.
Kama kigezo legacy haitakiwi kutetewa, bali inajipigania, Basi Anza kumdharau mbeligiji kuanzia leo kwa kuwa, yeye alidiriki kupinga legacy za hayati JKN, Wakati wewe na genge loote ufipa mnazikubali mambo alizoziacha MwlUsihamishe magoli,JPM hana Legacy aliyoiacha na ndiyo maana unahangaika kuitafuta na kuitetea.Unaweza kututajia walau baadhi yake?
Issue ya Lissu na JKN hapa siyo mahala pake.Fungua thread ya huo mjadala.
Ufipa ndiyo wapi tena?Hizo Legacy za JKN zinahusianaje na Jiwe?Mbelgiji/Mwehu ni nani?We we unatetea legacy ya nani?Kama kigezo legacy haitakiwi kutetewa, bali inajipigania, Basi Anza kumdharau mbeligiji kuanzia leo kwa kuwa, yeye alidiriki kupinga legacy za hayati JKN, Wakati wewe na genge loote ufipa mnazikubali mambo alizoziacha Mwl
Inakuweje sasa Legacy mnazozikubali za JKN zipingwe na mwehu mmoja??
Kwani alikua anatoa hela mfukoni mwake hadi useme alimjengea, hivyo hata mwanangu angeweza kujenga bila wasi wasi wowoteAngekuwa wa hovyo angekujengea Madaraja,sgr, Mwendokasi,Hospitali, Shule,Bwawa la umeme la Nyerere,Ununuzi wa ndege, ujenzi wa viwanja vya ndege, Ununuzi wa meli,ujenzi wa bandari,nk???.
Heri ugali dagaa kuliko pilau la masimango!mkoloni alijenga yote hayo lakini tulimkataa!Angekuwa wa hovyo angekujengea Madaraja,sgr, Mwendokasi,Hospitali, Shule,Bwawa la umeme la Nyerere,Ununuzi wa ndege, ujenzi wa viwanja vya ndege, Ununuzi wa meli,ujenzi wa bandari,nk???.