JPM wako ashakufa, anaoza ardhini now, and kauliwa na Corona, ugonjwa alioudharau sana. Hatorudi tena, na hamna jambo jema lolote aliloacha zaidi ya wizi na kuwapa vyeo ndugu, marafiki na watu wa kabila lake! Alikuwa Rais wa hovyo kweli kweli
Nadhani katimiza malengo yake ya kufia ikulu.Ashukuriwe mnyaazi Mungu kwa kutuondolea lile dubwana Ikulu, maana kwa nguvu za kawaida za kibinadamu asingetoka yule; Alipanga kufia ikulu, bahati nzuri kafa mapema, miezi 5 tu ya awamu ya 2 chalii
Ushuru umepungua?Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Si kila kilio ni huzuni mtani.. Na kuna watu popote wapoYaan tunaenda mdo mdo...
Ila tulisema jaman ni kawaida binadam kuwa na huruma hasa misiba na sisi wabongo. Yaan ukiambiwa ule umati uliokua unalia vile leo kumepoa hivi basi naamini nafasi ya unafiki duniani tupewe nyuma ya mmarekani[emoji23]
Yeah kuna post nimesoma ni almost nusu ya hapo kablaUshuru umepungua ??
Ehe hebu tutonye mkuu!Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Hivi uchunguzi tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu umekamilika? Ben Saanane? Azory? Akwilina? etc etc?Na Kwa nini kila anaemfagilia Hayati aonekane si binadamu tena miongoni mwa jamii ndoogo ya watu waliochanganyika wema 2% na wauza madawa, wenye vyetu feki, majizi na mafisadi pamoja na wazembe 14% tu Kati ya watu wema ujumla wa 84% waliopendezwa na mfumo na utendaji kazi wake?
Ni ujinga na upumbavu kudhani Kwamba, watu hao walioamua kuwa upande wake hawastahili kufanya hivyo
Mv Liemba ya lake Tanganyika, ilijengwa na wakoloni(wazalendo) wa kijerumani mwanzoni mwa karne iliyopita. Mwaka 1960 hapa Dar, palikuwa mabasi ya ghorofa (Double deck bus) kama jijini London. Shule za Jangwani na Azania na vyanzo vya umeme Pangani falls na Nyumba ya Mungu vilikuwepo tangu kabla ya vita kuu ya piliAngekuwa wa hovyo angekujengea Madaraja,sgr, Mwendokasi,Hospitali, Shule,Bwawa la umeme la Nyerere,Ununuzi wa ndege, ujenzi wa viwanja vya ndege, Ununuzi wa meli,ujenzi wa bandari,nk???.
Linahusiana vipi na hoja ya mhojani??Hivi uchunguzi tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu umekamilika? Ben Saanane? Azory? Akwilina? etc etc?
Mnaoteseka ni nyie mnaojaribu kuiweka marashi maiti ili kuzuia isinukeUnateseka sana maskini poleeeeee
Jaribu kujipanga tena maana kwetu kazi inaendelea
Hii ni win win situation. Mama anafuta kabisa legacy ya shujaa wa afrikaYeah kuna post nimesoma ni almost nusu ya hapo kabla
Shujaa wa Africa ..! My foot[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Hii ni win win situation. Mama anafuta kabisa legacy ya shujaa wa afrika
Ehe hebu tutonye mkuu!
Mateseka nyienmnaopambana kuzuia msoyawezaMnaoteseka ni nyie mnaojaribu kuiweka marashi maiti ili kuzuia isinuke
[emoji706]Angekuwa wa hovyo angekujengea Madaraja,sgr, Mwendokasi,Hospitali, Shule,Bwawa la umeme la Nyerere,Ununuzi wa ndege, ujenzi wa viwanja vya ndege, Ununuzi wa meli,ujenzi wa bandari,nk???.
Yaani unajaza gazeti kumbe,unaandika utumbo tupu.Kama huna cha kuandika ,fanya kazi nyingine.Kuliko kutujazia uchafu tupu humu JF.Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Dada mimi sina ushabiki wa Vyama lakini huyu mzee alikuwa katili sana.Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Nawe umeongea eti.legacy inapotea au wewe umeliwaNahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu