Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Eti unaona huruma!..

Kuna watz wajinga,
. Badala ya uwaonee huruma ukoo wako wanaliwa na umaskini wewe unamuonea huruma mtu anaekula milioni 10 per month?
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Haikuhitaji nguvu kubwa kumnadi kwani sisi Waswahili tunasemma "kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza." Mwacheni apate stahiki yake bila maguvu
 
Dada mimi sina ushabiki wa Vyama lakini huyu mzee alikuwa katili sana.
Waliomfurahia ni wale waliolelewa kwenye familia za kikatili ,,yaani maisha ya ukatili waliyazoea.

Avater yako inanifanya niwe mpole kwako.
Oneday tuonane au unasemaje dada?
Huo unaitwa mtongozo
 
Kwa hiyo, hoja yako ni nini hapo??.In short unataka kusemaje??.
 
Legacy ya Mwendazake kamwe haiwezi potea kama ilivyo ya Hitla, Idd Amini ma wengine wengi
 
Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuya
 
Wachawi na washirikiana hawawezi kuiona legacy Na utumishi uliotukuka wa nabii Yohana mbatizaji. Maana hawa wachawi ndio walimuua Yesu kristo. Watubu sasa maana watakufa kifo kibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…