Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Hii hapa ni presentation ya Jaji Rutakangwa kuhusu makosa mbalimbali yanayafanywa na mahakama kuu.
Amejadili maeneo yafuatayo
  1. Mamlaka ya Mahakama (Jurisdiction of Court) na pingamizi za awali (Preliminary objections).
  2. Maombi ya kufungua mashauri nje ya muda, idhini ya kukata rufaa na “certificate on a point of law".
  3. Uendeshaji wa mashauri na kupokelewa kwa ushahidi.
  4. Uandikaji wa hukumu na tathmini sahihi ya ushahidi.
  5. Utoaji wa adhabu katika makosa ya jinai.
Hii paper ni useful kwa wanafunzi na practitioners pia.
 

Attachments

Hii hapa ni presentation ya Jaji Rutakangwa kuhusu makosa mbalimbali yanayafanywa na mahakama kuu.
Amejadili maeneo yafuatayo
  1. Mamlaka ya Mahakama (Jurisdiction of Court) na pingamizi za awali (Preliminary objections).
  2. Maombi ya kufungua mashauri nje ya muda, idhini ya kukata rufaa na “certificate on a point of law".
  3. Uendeshaji wa mashauri na kupokelewa kwa ushahidi.
  4. Uandikaji wa hukumu na tathmini sahihi ya ushahidi.
  5. Utoaji wa adhabu katika makosa ya jinai.
Hii paper ni useful kwa wanafunzi na practitioners pia.

Asante sana Mkuu kwa hii paper, kwangu imekuja wakati muafaka kabisa, nashukuru sana
 
NAOMBA UNISAIDIE TAFADHALI KUNITAFUTIA CASE HII: Civil Appeal No. 5/97 – Tanzania Saruji Corporation vs African Marble CO. Ltd. CAT at Dar.
NITUMIE INBOX KAMA ITASHINDIKANA HUMU.
Hapana, tuma humu wote waitumie!
 
Hapana, tuma humu wote waitumie!
Mkuu Retired hiyo kesi (Tanzania Saruji Corporatio v African Marble Co. Ltd, Civil Appeal 5/97 ipo reported kwenye TLR ya mwaka 2004 uk wa 155 ([TLR] 155). Nimejitahidi kui upload hiyo report hapa inagoma nadhani sababu ina MB nyingi. tafuta hiyo report utaikuta hii kesi.
Ahsante
 
Mkuu mwananyiha tayari nilishakutumia kitabu cha Megary & Smith Law of Real Property. Cheki email yako utakikuta.
Ahsante.
 
Back
Top Bottom