Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa


Okay sawa Mkuu Dragoon naombeni niifanye hiyo kazi leo

Tafadhali kama hutojali naomba usubmitt namba yako kwa mara nyingine tena na pendekezo la jina la group letu leo jioni tu nalicreate kwa sasa niko occupied
 
Jaman hili suala la WhatsApp group sio la mzaha....na kam tatizo ni utekelezaji wake, bado tatzo hili si tatzo tena mm nitakuwa team/group leader na jina la group ni JF Bar...au...JF Jurists naombeni namba zanu tafadhari!.
 
Namba tafadhari kwa ajili ya JF Bar WhatsApp group
 

Dragon naomba unirushie case law hii, nina shida nayo sana.

ROBINSON MWANJISI AND OTHERS v. REPUBLIC
 
Mkuu Retired jitahid kutengeneza mazingara ya kuwa kama Dragoon ili kuzalisha watu wengi kama yeye kuliko mfumo wa IMLA kila kitu Dragoon hata pale inapowezekana maana Dragoon akistafu JF means Legal professional itakufa humu JF kwa mwanasheria graduate (sio mwanafunzi bado) ni UZEMBE Kuomba REPORTED precedence (reported ni za wanafunzi) kwa enrolled practitioner tunashare MOST recent unreported precedences.

ROBINSON MWANJISI AND 3 OTHERS v. REPUBLIC (2003) TLR 218
 
Kama uko remote county ambako huwezi kupata hizo law reports unafanyaje? Ukiwa dar nitanunua zipo tele , siyo mikoani. and particularly when you are trying to build your library for those entering the profession!
 
kama unayo nitumie, najua sana wajibu wangu. Ukina hivyo ujue there are no means of getting one!
 
Dragon naomba unirushie case law hii, nina shida nayo sana.

ROBINSON MWANJISI AND OTHERS v. REPUBLIC


Mwaka gan?? Toa full citation basii

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app

Habari za muda huu mkuu soskeneth sorry aisee simu yangu nimeiformat kwa kusudi maalum lakini mambo yakaingiliana nimeshindwa kuform group

Naombeni muda kidogo tu wadau then nitaliform nishachukua baadhi ya namba za wadau



Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Salaam wasomi,

Naomba kupata msaada wa jambo hili,

Nimepata copy judgement ambayo ime contain errors (majina ya parties yamekosewa) najua njia ya ku cure hyo nikupeleka application yakuomba hzo errors zirekebishwe .
Sasa my concern ni kwenye time, je huu mda wakusikiliza hii application na mpaka judgement clear itoke utakuwa excluded nitakapo taka ku appeal( as per section 22 of The of Limitation Act)?

Naomba na backup ya authority kwenye swala hilo.

Natanguliza shukurani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…