Legend AY: Tunaomba uwakutanishe Ali Kiba na Diamond ili kuokoa ugomvi wa mashabiki

Legend AY: Tunaomba uwakutanishe Ali Kiba na Diamond ili kuokoa ugomvi wa mashabiki

Wapatanishwe ili kiba afe njaa?
Hivi hujajua Jina Diamond livyopeleka Ugali kwa Ukoo/familia ya Kiba..?!!?
 
Hii wala sio habari mpya. Kwani ajali ilitengenezwa na kutokea 2011 huko. Kuvamiwa na silaha za kijeshi Kunduchi ilitokea mwaka juzi nadhani.
Alikiba huwa hamuongelei Nassib vibaya ila tafsiri tu ndo hujengwa kuwa kamsema Nassib.

Kuhusu kutoa taarifa!
Haya magenge yamejipanga mkuu ndio maana unaona hata alipovamiwa Kunduchi askari walifika zaidi ya dakika 20 baada ya tukio.
Uliwahi kusikia mkasa wa Betty Ndejembi aliyeokotwa akiwa amebakwa huku akiwa hajitambui na kufariki alipofikishwa pale Muhimbili?
Ukiujua mkasa huo ambao hata ZZK alijaribu kuubebea bango lakini akashindwa ndio utajua nguvu ya hili genge.

Ova
Sasa Kama Ni Hivyo Ni Kwanini Mambo Yakitulia Kidogo Alikiba Anayaibua Kwa Kumrushia Diamond Vijembe Vya Hapa Na Pale.Kwanini Asiache Kabisa Kuwa Anamtaja Au Hata Kumfuatilia Na Kumsema Diamond Kwenye Media.Maana Yeye Naona Hataki Kabisa Kumzungumzia Ila Yeye Ndo Kakomaa Nae Halafu Anajishughulisha Na Wabaya Wa Diamond Au Huoni?
 
Sasa Kama Ni Hivyo Ni Kwanini Mambo Yakitulia Kidogo Alikiba Anayaibua Kwa Kumrushia Diamond Vijembe Vya Hapa Na Pale.Kwanini Asiache Kabisa Kuwa Anamtaja Au Hata Kumfuatilia Na Kumsema Diamond Kwenye Media.Maana Yeye Naona Hataki Kabisa Kumzungumzia Ila Yeye Ndo Kakomaa Nae Halafu Anajishughulisha Na Wabaya Wa Diamond Au Huoni?
Ushahidi aangalie mahojiano yake na Sporah ya hivi karibuni!
 
Ali K bila bifu haiwedhekani mnataka arudi kama Zamani?
Akikubali mapatano ataitwa THE RETURN OF THE FAILED KING IN THE MUSIC.
¶DIAMOND PLATNUMZ IS BETTER THAN OTHER ARTIST IN TANZANIA NOWADAYS. ¶
 
Kinachoonekana ni kwamba wengi hamjaelewa kuwa Alikiba hana ugomvi na Nassib, na hata wanapokutana wanazungumza kama kawaida. Ila Alikiba ana ugomvi wa muda mrefu na kundi la wauza sembe, ambao kama mnakumbuka walitaka kumuua walipomchomekea wakati anatoka Mbeya na gari lake kupoteza mwelekeo.
Kwa uwezo wa Mungu alitoka salama, ila dancers wake wawili waliumia na kulazwa. Kuna rafu nyingi alichezewa na genge hilo ambalo kwa sasa limejipachika kwa Nassib. Na hao ndio sababu ya Alikiba kuamua kuachana na masuala ya muziki na kujikita kwenye biashara zake. Na hata hivi juzi juzi tu hapa mliona walimfuata anakoishi hadi akaamua kuhama, na juzi kazi walivamia Kariakoo usiku hawakumkuta.
Wasichokijua Alikiba anaishi Upanga jirani na Makao Makuu ya JWTZ, lakini hukutana na wageni wake wote Kariakoo kwa familia yake. Kwa hiyo kudhani kuwa Alikiba na Nassib wanahitaji kupatanishwa ni kufikiria vibaya. Na siku moja nikiongeza ujasiri wangu nitawataja hao watu wa genge hilo hata wawili watatu ili mpate kuelewa zaidi.
Pia nitaeleza aliyefanikiwa kumshawishi Alikiba arudi kwenye muziki, na alimshawishi baada ya kutokea kitu gani? Wengi walishindwa kumshawishi arudi kwenye muziki. Hilo genge liliwahi kuwa na wasanii kama Mr Nice, Ray C, TID na wakati fulani walikuwa na Chid Benz. Ila sasa wako pia na Shetta, Linah na hivi majuzi nimesikia wameanza kumsogeza karibu Belle 9.

Ova
Mkuu hizi sio bla bla kweli?
 
Kinachoonekana ni kwamba wengi hamjaelewa kuwa Alikiba hana ugomvi na Nassib, na hata wanapokutana wanazungumza kama kawaida. Ila Alikiba ana ugomvi wa muda mrefu na kundi la wauza sembe, ambao kama mnakumbuka walitaka kumuua walipomchomekea wakati anatoka Mbeya na gari lake kupoteza mwelekeo.
Kwa uwezo wa Mungu alitoka salama, ila dancers wake wawili waliumia na kulazwa. Kuna rafu nyingi alichezewa na genge hilo ambalo kwa sasa limejipachika kwa Nassib. Na hao ndio sababu ya Alikiba kuamua kuachana na masuala ya muziki na kujikita kwenye biashara zake. Na hata hivi juzi juzi tu hapa mliona walimfuata anakoishi hadi akaamua kuhama, na juzi kazi walivamia Kariakoo usiku hawakumkuta.
Wasichokijua Alikiba anaishi Upanga jirani na Makao Makuu ya JWTZ, lakini hukutana na wageni wake wote Kariakoo kwa familia yake. Kwa hiyo kudhani kuwa Alikiba na Nassib wanahitaji kupatanishwa ni kufikiria vibaya. Na siku moja nikiongeza ujasiri wangu nitawataja hao watu wa genge hilo hata wawili watatu ili mpate kuelewa zaidi.
Pia nitaeleza aliyefanikiwa kumshawishi Alikiba arudi kwenye muziki, na alimshawishi baada ya kutokea kitu gani? Wengi walishindwa kumshawishi arudi kwenye muziki. Hilo genge liliwahi kuwa na wasanii kama Mr Nice, Ray C, TID na wakati fulani walikuwa na Chid Benz. Ila sasa wako pia na Shetta, Linah na hivi majuzi nimesikia wameanza kumsogeza karibu Belle 9.

Ova


Mkuu ahsante sana, uko vizuri aisee, nakuombea huo ujasiri uupate soon, uje uwataje, maana hii nchi ni yetu sote, haiwezekani baadhi ya watu waamue maisha ya wengine!
 
Kinachoonekana ni kwamba wengi hamjaelewa kuwa Alikiba hana ugomvi na Nassib, na hata wanapokutana wanazungumza kama kawaida. Ila Alikiba ana ugomvi wa muda mrefu na kundi la wauza sembe, ambao kama mnakumbuka walitaka kumuua walipomchomekea wakati anatoka Mbeya na gari lake kupoteza mwelekeo.

Kwa uwezo wa Mungu alitoka salama, ila dancers wake wawili waliumia na kulazwa. Kuna rafu nyingi alichezewa na genge hilo ambalo kwa sasa limejipachika kwa Nassib.

Na hao ndio sababu ya Alikiba kuamua kuachana na masuala ya muziki na kujikita kwenye biashara zake. Na hata hivi juzi juzi tu hapa mliona walimfuata anakoishi hadi akaamua kuhama, na juzi kazi walivamia Kariakoo usiku hawakumkuta.

Wasichokijua Alikiba anaishi Upanga jirani na Makao Makuu ya JWTZ, lakini hukutana na wageni wake wote Kariakoo kwa familia yake. Kwa hiyo kudhani kuwa Alikiba na Nassib wanahitaji kupatanishwa ni kufikiria vibaya. Na siku moja nikiongeza ujasiri wangu nitawataja hao watu wa genge hilo hata wawili watatu ili mpate kuelewa zaidi.

Pia nitaeleza aliyefanikiwa kumshawishi Alikiba arudi kwenye muziki, na alimshawishi baada ya kutokea kitu gani? Wengi walishindwa kumshawishi arudi kwenye muziki. Hilo genge liliwahi kuwa na wasanii kama Mr Nice, Ray C, TID na wakati fulani walikuwa na Chid Benz.

Ila sasa wako pia na Shetta, Linah na hivi majuzi nimesikia wameanza kumsogeza karibu Belle 9.

Ova

Asante kwa kutufumbua macho kujua kilicho nyuma ya pazia , inamaana alishawahi kuwa punda akaamua kuachana na hiyo biashara ndo wanamsakama ili arudie upunda au wanamsakama ili iweje kama mtu ameamua kutulia na kutowataja?
 
Asante kwa kutufumbua macho kujua kilicho nyuma ya pazia , inamaana alishawahi kuwa punda akaamua kuachana na hiyo biashara ndo wanamsakama ili arudie upunda au wanamsakama ili iweje kama mtu ameamua kutulia na kutowataja?
umesoma uzi wote au, maana majibu yako yapo humuhumu
 
Sasa Kama Ni Hivyo Ni Kwanini Mambo Yakitulia Kidogo Alikiba Anayaibua Kwa Kumrushia Diamond Vijembe Vya Hapa Na Pale.Kwanini Asiache Kabisa Kuwa Anamtaja Au Hata Kumfuatilia Na Kumsema Diamond Kwenye Media.Maana Yeye Naona Hataki Kabisa Kumzungumzia Ila Yeye Ndo Kakomaa Nae Halafu Anajishughulisha Na Wabaya Wa Diamond Au Huoni?

waandishi ndo viazi ndo huwa wanamuuliza kuhusu diamond, nayeye lazima awajibu
 
sasa naanza kupata picha ya ukweli wa alikiba kulalamika video zake zinabaniwa kuchezwa huko MTV base, sound city n.k. nikiunganisha na kauli ya diamond aliyotoa majuzi kwamba video zote zinazotoka bongo hazichezwi MTV bila yeye kuidhinisha , hapo hilo genge lililo nyuma ya diamond kamwe halitakubali alikiba atusue ......

kama Mdogo Felali na Bibi Leta wapo nyumba ya hii muvi na walaaniwe kabisa!!!
 
Mkuu ahsante sana, uko vizuri aisee, nakuombea huo ujasiri uupate soon, uje uwataje, maana hii nchi ni yetu sote, haiwezekani baadhi ya watu waamue maisha ya wengine!


watakuwa Mdogo Felali na Bibi Leta
 
Hakufanya nao biashara yoyote, ila walitaka wafanye naye lakini aliwakatalia. Na kwa bahati mbaya hakuwajibiana vizuri na kumwekea visasi.
Kwa historia ya mkasa wake amekuwa hawaamini hao askari, kwa maana nyingine hategemei kama wanaweza kumpa msaada wa maana.
Nikwambie tu, mmoja wa walio kwenye hilo genge amekijenga kituo cha polisi kwa pesa zake.

Ova
Rummy tajiri mfupi
 
Apologists at work.
Ali kiba yupo kama Ana jilasi na diamond. Ni mtu wa vijineno. Mazingira yanamweka hivyo, hajawahi kulalamika kuwindwa na wauza sembe popote pale..

Hata kama kuna wauza sembe wana mpiga jeki diamond.
Vipi wasanii wengine majority watasemaje na wao.
Mbona na yeye yupo team wema? Je Ana iamini team wema iliyohakikisha diamond anakosa tuzo?
Mbona diamond haongei sana...
Tuwe wakweli tu, diamond yupo juu sana kimuziki kuliko Ali kiba.

Hawalingani. Tuzo haitoshi kua bora kimuziki. Wako wasanii nchini bora sana hawana tuZo.
Nachukulia huu ni mkakati wa Ali kiba kupata huruma zA mashabiki. Lakini kazi zA diamond ni bora.
Hatukatai kua na maadui, lakini wako watu wame rise above hate.
Ali kiba bado sana kufikia viwango vya diamond.
 
Back
Top Bottom