Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
anyway..
Kupenda pump na vipira vyake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda pump na vipira vyake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeaaaah!!!anyway..
huyu kijana wake mbona kama kashaliwa tope
Walau we ni mwanamke, imagine yule boyfriend wako anagongwa?Yeaaaah!!!
Sio BF hata mshua au Brooh km ameamua kugongwa ni yeyee, kwani anatumia mwili wangu? Si wakee? Maamuzi ni yake. Hakuna was kumpangia.Walau we ni mwanamke, imagine yule boyfriend wako anagongwa?
Upinde ningeshangaa kutokukuona hapaUna hasira na chuki mnooo, kwani hata hao wanahitaji ushauri wako? Huyo Magic akataee ujinga wa mwanae ni ujinga upi?
Hisia za mtu ni ujinga? Wee mbona baba ako hakukataa hisia zako hizo? Mxxxxxiiiiiiieeeeeew
SHIKAMOO...Sio BF hata mshua au Brooh km ameamua kugongwa ni yeyee, kwani anatumia mwili wangu? Si wakee? Maamuzi ni yake. Hakuna was kumpangia.
Kwa hiyo hao wote wanapigwa pipe?
Hapo shida ni baba yake. Magic hakutaka kukataa ujinga wa mtoto wake ili kuwafurahisha mabwana zake wa kiliberali ili aendelee kua tajiri kwa sababu kwa Marekani kama una hisa hisa kwenye makapuni makapuni ya matajiri, ukiponda ushoga uwe mtu kauzu kweli mama Elon Musk otherwise utafilisika.
Marekani vitu 2 tu ndio hutakiwi kuvisemakama vibaya kama huna roho ngumu, ushoga na kuiponda Israel hasa kuhoji mauaji ya kimbali ya Wayahudi milioni 6.
Hapo ukiwa mwanaume kauzu kama mimi nawatafuna wote cumamae, mtu na kaka yake wote nawashikisha ukuta.
Kama umetamani kumpiga pipe mwanaume mwenzako maana yake hata wewe pipe ipo kisogoni ukipinduka tu inazamaKwa hiyo hao wote wanapigwa pipe?
Hapo shida ni baba yake. Magic hakutaka kukataa ujinga wa mtoto wake ili kuwafurahisha mabwana zake wa kiliberali ili aendelee kua tajiri kwa sababu kwa Marekani kama una hisa hisa kwenye makapuni makapuni ya matajiri, ukiponda ushoga uwe mtu kauzu kweli mama Elon Musk otherwise utafilisika.
Marekani vitu 2 tu ndio hutakiwi kuvisema vibaya kama huna roho ngumu, ushoga na kuiponda Israel hasa kuhoji mauaji ya kimbali ya Wayahudi milioni 6.
Hapo ukiwa mwanaume kauzu kama mimi nawatafuna wote cumamae, mtu na kaka yake wote nawashikisha ukuta.
MARHABA!!SHIKAMOO...
Ndo nipo na nimejaa teleee!!! Wee huogopiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upinde ningeshangaa kutokukuona hapa
Kwa kutumia Swali hili ndio Obama akapitisha ushoga America na akasema hakuna mtu atabeba dhambi za mwenzie km ni dhambi basi kila mtu abebe dhambi zake, Papa nae akataka aingie mkenge watu wakamjia juu mpaka akachomoa faili Juzi kaja kufuta kauli yake kwenye waraka mpya Ila Mwanaume haukuumbwa ili ushikishwe ukutakwani anatumia mwili wangu?
Hivi bottom mnafurahia kabisa pipe au ni shida ya hela hamna namna?Kupenda pump na vipira vyake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haifai kwako sio kwa wenginee, usi generalize!!
Nimeona title tu ya Uzi kabla sijafungua nikajua tu inahusisha UCHOKO
Hivi wakizeeka huwa wanaishi maisha ya mfumo gani aisee.. wanakuwa wanajipikilisha au😂😂Hivi bottom mnafurahia kabisa pipe au ni shida ya hela hamna namna?
Kwani uongo? Kila mtu atabeba dhambi na msalaba wake, huyo papa alicho tengua ni kipiii? Em sema kwani au lete screenshots nione hapa?Kwa kutumia Swali hili ndio Obama akapitisha ushoga America na akasema hakuna mtu atabeba dhambi za mwenzie km ni dhambi basi kila mtu abebe dhambi zake, Papa nae akataka aingie mkenge watu wakamjia juu mpaka akachomoa faili Juzi kaja kufuta kauli yake kwenye waraka mpya Ila Mwanaume haukuumbwa ili ushikishwe ukuta
Tafuta hao bottoms uwaulizee, watakupa majibu ya swali lako.Hivi bottom mnafurahia kabisa pipe au ni shida ya hela hamna namna?
Kwani ujana wao wanaishi maisha ya mfumo ganii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi wakizeeka huwa wanaishi maisha ya mfumo gani aisee.. wanakuwa wanajipikilisha au[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh