Leicester City, Special Thread

Leicester city 1. 2 west ham

Aombe Kesho Tottenham hotspurs asipate ushind
 
3 to go Arsenal na Man City washalikosa kombe
 
Ushindi kama vile unanukia we are so close.....
 
Ushindi kama vile unanukia we are so close.....
Washabeba ndoo hawa
Bado naiona Spurs katika Ubingwa kutokana na haya.
1. Mechi za Leicester zilizobaki ni ngumu kuliko za Spurs.
2. Man U ili apate ari kubwa ni lazima amfunge Leicester kwakuwa akishinda mechi zake 2 zinazokuja uwezekano wa kuingia top 4 ni mkubwa sana maana macho yake yote yapo kwenye mechi ya Man City na Arsenal yeyote akifungwa hapo anashuka mpaka nafasi ya 5 lakini Man U ashinde mechi zake 2 zinazofuata.
 

Totenham kufunga Southhampton watapata shida
wanaweza kupata draw
bado kuna Chelsea...

halafu Newcastle chini ya benitez hawataki kushuka

sio vipi watashinda zote hizo
wakitoa draw tu hata moja baasi
Leicester anahitaji kushinda moja tu na draw mbili tu bingwa
 
Sikuwahi kuangalia mechi ya leicester city ila kwa jana niliweza kuangalia kwa mara ya kwanza na nikafurahia uchezaji wao. Kwakweli wako vzuri na wanastahili ubingwa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…