Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Godbless Lema avunja ukimya baada ya ushindi wa Tundu Lissu Uchaguzi CHADEMA adai yeye kwenda kinyume na Mwenyekti Freeman Mbowe ilikuwa ngumu sana.
"Nitendo gumu la kisiasa, katika matendo magumu ya kisiasa nimeshawahi kuyafanya hili ni namba moja katika maisha yangu, Mbowe ni kaka yangu, ni ndugu yangu kabisa lakini niliamini kwamba Lissu anaweza kuwa kiongozi bora kwa wakati huu..."
"Umekuwa uchaguzi wa kidemokrasia na kila mtu ameona mchakato ambao ulikuwa mubashara kupitia vyombo mbalimbali niseme tu tumeshinda kwa haki na tunakwenda kuanza kazi mara moja"
"Nitendo gumu la kisiasa, katika matendo magumu ya kisiasa nimeshawahi kuyafanya hili ni namba moja katika maisha yangu, Mbowe ni kaka yangu, ni ndugu yangu kabisa lakini niliamini kwamba Lissu anaweza kuwa kiongozi bora kwa wakati huu..."
"Umekuwa uchaguzi wa kidemokrasia na kila mtu ameona mchakato ambao ulikuwa mubashara kupitia vyombo mbalimbali niseme tu tumeshinda kwa haki na tunakwenda kuanza kazi mara moja"