Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analo la kuwaambia wana Arusha, kama alilonalo Ndugai la kuwaambia wana Kongwa.Kongwa nasikia ina vitu tangible kuliko Arusha.Hili ni swali analokutana nalo Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini ndugu Lema na ameshindwa kulijibu.
Yaani hana any tangible issue ya kuelezea ameifanyia nini Arusha? Hii inapelekea ugumu wa kushawishi wana Arusha kuwa atafanya nini?
Unanifundisha kazi?Tembelea Arusha mkuu usibaki nyuma ya keyboard
Majibu ya swali lako utajibiwa tar 29 Oct, saa tatu asubuhi. Kuwa mpoleHili ni swali analokutana nalo Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini ndugu Lema na ameshindwa kulijibu.
Yaani hana any tangible issue ya kuelezea ameifanyia nini Arusha? Hii inapelekea ugumu wa kushawishi wana Arusha kuwa atafanya nini?
Yaani Gambo ashinde Arusha????? 😂😂😂😂Sahihi kabisa sitaacha kukumbusha
Pole mama na ile ajali ya kuanguka jukwaani kama kifusi cha moram nyekundu,fanya mazoezi upunguze unene mtu chai unakula vitumbua 10Hili ni swali analokutana nalo Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini ndugu Lema na ameshindwa kulijibu.
Yaani hana any tangible issue ya kuelezea ameifanyia nini Arusha? Hii inapelekea ugumu wa kushawishi wana Arusha kuwa atafanya nini?
Huyo mama akikujibu nitagKwa hiyo barabara za Arusha wakati wa FELIX MREMA zilikuwa bora kuliko sasa? Hivi wewe unatoka Kongwa au Mtera? PU....VU.
Atakuwa wa kongwa au mtera kweli😂😂😂😂Huyo mama akikujibu nitag
Kongwa fisi wanazurura kama kuku,yani ndio jimbo lenye maskini wengi tanzaniaAnalo la kuwaambia wana Arusha, kama alilonalo Ndugai la kuwaambia wana Kongwa.Kongwa nasikia ina vitu tangible kuliko Arusha.
Lema ndio mwisho wake arudi akauze mbege moshiHili ni swali analokutana nalo Aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini ndugu Lema na ameshindwa kulijibu.
Yaani hana any tangible issue ya kuelezea ameifanyia nini Arusha? Hii inapelekea ugumu wa kushawishi wana Arusha kuwa atafanya nini?
Mbunge wa Kongwa nikumbushe lile jina lake .Kongwa fisi wanazurura kama kuku,yani ndio jimbo lenye maskini wengi tanzania