Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Lema asema hakubali mtu kuuawa kwa kuwa ni shoga

Askofu anachochea mauaji! Bure kabisa!

Wameshindwa kuwabadili tabia mashoga huko makanisani, wanaogopa kuambiwa Yesu hana nguvu!

Sasa hapa wanachochea mauaji ya watu wasio na hatia wakisingizia mapepo mara sijui kuzimu!

Conspiracies.
Mashoga na watenda dhambi hawajatushinda tunapambana na UOVU huo daily bt hatuhamasishi wauawe, HAPANA.

Tunataka mamlaka zitupe ushirikiano Kwa kutowapa usajili au vitendea kazi vya kufanya USHOGA ktk vikundi vyao.

USHOGA na ufiraji utajwe kama crime zingine kama wizi, umalaya nk nk.

Tulinde vizazi vijavyo, maana mashoga na wafiraji wakitamalaki ni threat Kwa JAMII na Familia, UZAZI hautakuwepo tena.

BICHWA umeelewa?
 
Nakiri....sijaweza kusoma mabandiko yote kufikia hapa. Na, nina uhakika kuna wale ambao wamesikia na kuhisi maneno ya Lema yana siasa nyingi zaidi ya imani. Huo ndio mtazamo wangu.

Biblia imeacha kwa makusudi mambo ya vifo kwa Muumba. Biblia katika maelezo yake inatuambia, kati ya yanoyomuudhi muumba ni kwa binadamu kumuua binadamu mwenzake(kumtengenezea kifo)au kwa binadamu kujifanya au kujitweka yale ya Muumba.

Biblia vilevile imezungumzia ushoga,na katika maelezo yake, mungu hajapendezwa na yanamuudhi muumba.

Suala la Lema kutumia neno 'mtu kuuwawa' lipo kisiasa zaidi na halina mshiko ni suala la kibinadamu zaidi kuliko ya kiimani

Kwa lugha nyingine :- anatoa tahadhari kwa yeyote yule kutojichukulia au kutojitweka umungu kutoa maamuzi juu ya hatma ya wale wanaomuudhi muumba....

je kwa ridhaa ya nani?

je, wapo semi-gods wanaoweza kutoa ridhaa ya yale yanayomuudhi muumba?

...na kama Semi-gods ni wanasiasa, basi suala la mashoga ni lao na sio la muumba hatahivyo-suala hili limetolewa tafsiri na mmoja wa wakuu wa imani ya kikristo, Papa F ambaye amesema kujamiana kwa jinsia moja ni dhambi na tendo la dhambi tunavyoelezwa na biblia linamuudhi mungu, halikadhalika muungano au ndoa ya mashoga lisiwe ni suala la uhalifu!
Je, ndio hayo anayomaanisha Lema?


Binadamu-Dhambi ni Uhalifu

Muumba- Dhambi ni Dhambi

Binadamu ni semi-god

Hivyo basi,
Uhalifu ni wa Kibinadamu?

Kwa wale wanaoelewa watumiaji wa maneno ya Biblia kuweza kuwahadaa wenzao ndio wataweza kuelewa Lema anatoa wapi misimamo yake. Asituhadae na Biblia.
 
Tunataka mamlaka zitupe ushirikiano Kwa kutowapa usajili au vitendea kazi vya kufanya USHOGA ktk vikundi vyao.

USHOGA na ufiraji utajwe kama crime zingine kama wizi, umalaya nk nk.

Tulinde vizazi vijavyo, maana mashoga na wafiraji wakitamalaki ni threat Kwa JAMII na Familia, UZAZI hautakuwepo tena.

BICHWA umeelewa?
Bado Bichwa langu halijakuelewa vizuri.

Kazi ya kukemea dhambi si ya serikali ni ya maaskofu.

Na hujui ni kiasi gani MAGONJWA YA NGONO yanasambazwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja bila kupewa condoms, vilainishi na usimamizi wa kitabibu!

Unataka serikali itunge sheria ili mashoga wajifiche mashimoni halafu waendelee kusambaza magonjwa kimya kimya?

Ni bora wawe wazi katika kupatiwa huduma zote za kiafya kuliko kuwasukumiza mashimoni ni kuongeza tatizo.
 
Mimi ni kiongozi wa kiroho,
☑️Good!. Sina tatizo na wewe kuwa kiongozi wa kiroho...
Hatuhusiki na vitendo vya mauaji.
☑️Sasa mbona u miongoni mwao washabikiao mauaji ndugu Rabbon kiongozi wa kiroho? Unaongoza roho gani kwani? Au umesahau umeandika nini huko juu?
JAMII imeungana bila kujali dini kutaka kuona vitendo hivi vinatokomezwa.
☑️How? Kama kiongozi wa dini/kiroho unapendekeza vitokomezweje? Kwa njia ya kuwaua mashoga?

☑️Nakushauri kitu kimoja tu wewe kiongozi wa kiroho. Wafundishwe watu kumjua na kumheshimu Mungu kanisani kwako..!

☑️Acha ushabiki usio na msingi wa NENO la MUNGU..!!
Umewaona waislamu, Wakristo na wasio na DINI wanaandamana kupinga vitendo hivyo.
☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho, huwezi kutumia njia hiyo unless uniambie ni kina nani kwenye Biblia walitumia njia hiyo kuishinda dhambi na uovu...

Waefeso 6: 11 - 12

"....Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.

Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho...."

☑️Kabla ulikuwa unaeleza vizuri sana lakini ghafla ukapoteza maboya ukaanza kuhamadisha vita vya damu na nyama..!

☑️Ndugu Rabbon, adui yako sio SHOGA wala MSAGAJI. Adui zako ni hao kwenye bold ink kwenye mistari hiyo ya Biblia. Pingana na hao. Don't fight the wrong enemy..

☑️Biblia inasema hivi kuhusu silaha za kutumia kupigana vita hiyo;

Efeso 6: 13 - 18

".....13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

14 Basi simameni, hali mmejifunga
kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,

15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani;

16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.

17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;

18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote
;..."

☑️Katika silaha zote zulizoorodhoshwa hapo juu hakuna Silaha ya maandamano..!!

Hujiulizi why hawajatumia majukwaa Yao ya dini kukemea Hadi waanzishe maandamano?
☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho kama ulivyojiita, hii ndiyo njia sahihi ya kushughulikia uovu..?
Tafsiri ni kuwa uvumilivu wa JAMII kuhusiana na vitendo hivyo umefika mwisho.
☑️It doesn't matter at all..

☑️Kuishiwa uvumilivu Haina maana utumie njia yoyote kushughulikia ambacho kinakufanya uishiwe uvumilivu. Vinginevyo hata wewe utajikuta ukitenda makosa yaliyokukoseshea uvumilivu...!!

☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho waambie watu kutumia njia sahihi kupambana na uovu wowote...!!
Sisi watu wa kiroho tunaendelea na wajibu wetu,

☑️Ndiyo endelea nao...

☑️Wafundishwe watu huko kanisani/msikitini kwako kutumia njia sahihi kupambana na adui kama ambavyo mtume Paulo kaziweka wazi hapo juu kwa Waefeso...

☑️Mkikosea tu nyie viongozi wa kiroho kuwaelekeza na kufundisha watu mtakuwa mnapigana na adui asiye sahihi, Kwa njia zisizo sahihi na hivyo mtashindwa tu...!!
Ninyi watetezi endeleeni kutetea SHERIA na HAKI za binafamu zifuatwe nk.nk

☑️Kumbe nyie viongozi wa kiroho mnatetea nini? Matetea sheria za jino Kwa jino siyo..?
Viongozi wa Vyama vya siasa, LEMA na CDM wasiishie kusema tu USHOGA ni DHAMBI bila kueleza ni DHAMBI aje na kufanya impact ya dhambi' hizo Kwa JAMII, ustawi wa Nchi, JINSIA za watu wao, athari za kiuchumi ni zipi ikiwa USHOGA utaachiwa kuenea ktk JAMII nk nk.
☑️Godbless Lema na CHADEMA wamefanya ya upande wao. Fanya na wewe palipopungua...!!
Ni hayo tu..
☑️Na Mimi ni hayo tu japo ni mengi...!!
 
Bado Bichwa langu halijakuelewa vizuri.

Kazi ya kukemea dhambi si ya serikali ni ya maaskofu.

Na hujui ni kiasi gani MAGONJWA YA NGONO yanasambazwa kwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja bila kupewa condoms, vilainishi na usimamizi wa kitabibu!

Unataka serikali itunge sheria ili mashoga wajifiche mashimoni halafu waendelee kusambaza magonjwa kimya kimya?

Ni bora wawe wazi katika kupatiwa huduma zote za kiafya kuliko kuwasukumiza mashimoni ni kuongeza tatizo.
Kwahiyo Huwa mnaenda kwenye madanguro mwnyamla nk kugawa condom Ili kuzuia ukimwi kuenea?

Kama ni hivyo, why Huwa mnaenda kuwakamata wakiongezeka sana?

Serikali ikishindwa kusikia JAMII na Mungu anasema nini kuhusu kelele hizi za USHOGA,

Mtakosa legitimacy kuongoza watu. Atakuja kukaa mwenyewe.
 
Umeongelea mwenye mamlaka ya kuhukumu dhambi ni Mungu pekee.
Ndiyo. Ndivyo ilivyo...
Je, kwann KATIBA imempa mamlaka RAIS wa Nchi kumhukumu mtu kifo na haijafutwa.
Rais mwenye akili huwawezi kutwaa mamlaka yasiyo yake kwa kutenda hili..

Na hata ikitokea, utaratibu wa kumhukumu kifo mtu ufuatwe..

Na wewe kama ukituambia mashoga na wasagaji washitakiwe na kuhukumiwa kifo, it's ok ili mradi Kuna sheria na imefuatwa...

Si hivi mnschotaka ninyi eti wapigwe mawe au wachomwe moto au sijui wafanywe lolote eti Kwa sababu ni mashoga...!
Unadhani ni kwann IPO ni haiondolewi hata kama hajawahi kutia Saini?
Wapelekeni mashoga na wasagaji Kwa utaratibu huu wa kikatiba na kisheria ili wahukumiwe adhabu ya kifo..!!

Ishu hapa ni sheria ifuatwe.

Na elewa kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutwaa uhai wa mtu mwingine pasipo kufuata sheria..

Kama ipo, basi fuateni hiyo kushughulikia ushoga...
 
☑️Good!. Sina tatizo na wewe kuwa kiongozi wa kiroho...

☑️Sasa mbona u miongoni mwao washabikiao mauaji ndugu Rabbon kiongozi wa kiroho? Unaongoza roho gani kwani? Au umesahau umeandika nini huko juu?

☑️How? Kama kiongozi wa dini/kiroho unapendekeza vitokomezweje? Kwa njia ya kuwaua mashoga?

☑️Nakushauri kitu kimoja tu wewe kiongozi wa kiroho. Wafundishwe watu kumjua na kumheshimu Mungu kanisani kwako..!

☑️Acha ushabiki usio na msingi wa NENO la MUNGU..!!

☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho, huwezi kutumia njia hiyo unless uniambie ni kina nani kwenye Biblia walitumia njia hiyo kuishinda dhambi na uovu...

Waefeso 6: 11 - 12

"....Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.

Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya
majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho...."

☑️Kabla ulikuwa unaeleza vizuri sana lakini ghafla ukapoteza maboya ukaanza kuhamadisha vita vya damu na nyama..!

☑️Ndugu Rabbon, adui yako sio SHOGA wala MSAGAJI. Adui zako ni hao kwenye bold ink kwenye mistari hiyo ya Biblia. Pingana na hao. Don't fight the wrong enemy..

☑️Biblia inasema hivi kuhusu silaha za kutumia kupigana vita hiyo;

Efeso 6: 13 - 18

".....13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

14 Basi simameni, hali mmejifunga
kweli viunoni, na kuvaa dirii ya haki kifuani,

15 na kufungiwa miguu utayari tupatao kwa Injili ya amani;

16 zaidi ya yote mkiitwaa ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.

17 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;

18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote
;..."

☑️Katika silaha zote zulizoorodhoshwa hapo juu hakuna Silaha ya maandamano..!!


☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho kama ulivyojiita, hii ndiyo njia sahihi ya kushughulikia uovu..?

☑️It doesn't matter at all..

☑️Kuishiwa uvumilivu Haina maana utumie njia yoyote kushughulikia ambacho kinakufanya uishiwe uvumilivu. Vinginevyo hata wewe utajikuta ukitenda makosa yaliyokukoseshea uvumilivu...!!

☑️Wewe kama kiongozi wa kiroho waambie watu kutumia njia sahihi kupambana na uovu wowote...!!


☑️Ndiyo endelea nao...

☑️Wafundishwe watu huko kanisani/msikitini kwako kutumia njia sahihi kupambana na adui kama ambavyo mtume Paulo kaziweka wazi hapo juu kwa Waefeso...

☑️Mkikosea tu nyie viongozi wa kiroho kuwaelekeza na kufundisha watu mtakuwa mnapigana na adui asiye sahihi, Kwa njia zisizo sahihi na hivyo mtashindwa tu...!!


☑️Kumbe nyie viongozi wa kiroho mnatetea nini? Matetea sheria za jino Kwa jino siyo..?

☑️Godbless Lema na CHADEMA wamefanya ya upande wao. Fanya na wewe palipopungua...!!

☑️Na Mimi ni hayo tu japo ni mengi...!!
Kwahiyo polisi Kwa mfano ikamata majambazi mtaani Huwa mnawaleta makanisani waombewe?

Silaha za kiroho zilizoandikwa hapo ni zetu sisi wa Rohoni..

Ninyi upande mwingine mnazitumia?
 
Kwahiyo polisi Kwa mfano ikamata majambazi mtaani Huwa mnawaleta makanisani waombewe?
Ndugu Rabbon, kanisa au nyumba za ibada ni moja ya maeneo ya kufundisha maadili mema na kurekebisha tabia za watu..

Polisi vivyo hivyo hiyo ni kazi Yao..

Vyama vya siasa na taasisi zingine vivyo hivyo Wana jukumu Hilo...

Kama mtu kashindikana kanisani kuelewa na kuishi Kwa misingi ya kijamii, basi huko nje atakutana na mikono ya polisi...

Polisi hawaui watu. Polisi wanarekebisha tabia za watu wakishitikiana na mahakama na magereza. Muhimu ni sheria ifuatwe...
Silaha za kiroho zilizoandikwa hapo ni zetu sisi wa Rohoni..

Ni kweli kabusa. Na hayupo asiye wa ROHONI maana sisi wote ni wa Mungu.

Kuna huu msemo "asiyefunzwa na wazazi wake au kanisa au msikiti wake, basi dunia/ulimwengu utamfundisha adabu.."

Wewe unayejua tumia silaha hizo. Wafundishe na wengine pia..
Ninyi upande mwingine mnazitumia?
Yes, ndiyo maana nashea na wewe..

Uliza swali linguine..
 
Ndiyo. Ndivyo ilivyo...

Rais mwenye akili huwawezi kutwaa mamlaka yasiyo yake kwa kutenda hili..

Na hata ikitokea, utaratibu wa kumhukumu kifo mtu ufuatwe..

Na wewe kama ukituambia mashoga na wasagaji washitakiwe na kuhukumiwa kifo, it's ok ili mradi Kuna sheria na imefuatwa...

Si hivi mnschotaka ninyi eti wapigwe mawe au wachomwe moto au sijui wafanywe lolote eti Kwa sababu ni mashoga...!

Wapelekeni mashoga na wasagaji Kwa utaratibu huu wa kikatiba na kisheria ili wahukumiwe adhabu ya kifo..!!

Ishu hapa ni sheria ifuatwe.

Na elewa kuwa hakuna mtu mwenye mamlaka ya kutwaa uhai wa mtu mwingine pasipo kufuata sheria..

Kama ipo, basi fuateni hiyo kushughulikia ushoga...
Tunachokataa ni shinikizo Kutoka nje kupitia ujio wa balozi huyo Kutoka huko anayepita Kwa viongozi wetu wa east Africa kushurutisha Serikali zetu zikubali HAKI Kwa wafiraji Ili waje kuharibu watoto na vizazi vyetu.

Tunataka Serikali izidishe mbinyo na SHERIA Kali Kwa watu hao, pasihalalishwe dhambi Kwa minajili ya HAKI za binafamu.

Serikali itunge SHERIA ihukumi kifungo mashoga, wafiraji hata kama wamefanya Kwa HIARI Yao.

Wasipotusikia ktk level ya family, wasiposikia mawaidha ya mashehe na Wachungaji, wakutane na JELA ,Serikali iwafunge kama inavyowafunga PANYA road na Wala RUSHWA nk nk.

Wakimaliza kifungo wakarudi uraiani tutawashawishi wamrudie Mungu

Tuko serious on that.
 
Ikitungwa SHERIA Kali Kwa Mashoga na wafiraji,

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile watatoka kuwataja wanaume hao Ili Serikali ianze nao.

Waovu hao ndo wanasababusha ukame juu ya nchi na Matetemeko na majanga ya Kila aina.
 
Ghafla unagundua wadogo zako wawili ni mashoga. Je, Utatamani wauawe?!?!? Au utatamani kuwabadilisha warejee uanaume wao?!? Wakouawa nafasi ya kubadilika watapata wapo?

Uhai wa mtu ni kitu kingine. Km wewe sio mdhambi na kweli unaichukia dhambi yoyote basi ghadhabu ya Mungu haitakushukia.
 
Tunachokataa ni shinikizo Kutoka nje kupitia ujio wa balozi huyo Kutoka huko anayepita Kwa viongozi wetu wa east Africa kushurutisha Serikali zetu zikubali HAKI Kwa wafiraji Ili waje kuharibu watoto na vizazi vyetu.
Una hakika au umesikiaga sikiaga tu Kwa watu?

Anyway. Tuashumu ulichosema hapa ni kweli...

Huwezi kuzuia masikio kusikika. Utasikia lakini bado uamuzi wa kutenda ama la ni wako..

Kuna msemo huu na sijui kama unauelewa. Unasema; "huwezi kuzuia ndege kuruka juu ya kichwa ila unaweza kuzuia wasijenge kiota juu ya kichwa chako hicho.."

Uchaguzi uko mikononi mwenu. Waruke tu juu ya kichwa au tuwaruhusu wajenge kiota kabisa??
Tunataka Serikali izidishe mbinyo na SHERIA Kali Kwa watu hao, pasihalalishwe dhambi Kwa minajili ya HAKI za binafamu.
Nisome hapo juu☝️☝️☝️

Listen them but what to do and how or not to do, is your choice..!
Serikali itunge SHERIA ihukumi kifungo mashoga, wafiraji hata kama wamefanya Kwa HIARI Yao.
Soma Tena hapo juu☝️☝️

Na ni vyema kupaza sauti unaweza kusikika...
Wasipotusikia ktk level ya family, wasiposikia mawaidha ya mashehe na Wachungaji, wakutane na JELA ,Serikali iwafunge kama inavyowafunga PANYA road na Wala RUSHWA nk nk.
Yes, I agree with you..

In life everyone has his/her own choices, KUFA at KUISHI...!!
Wakimaliza kifungo wakarudi uraiani tutawashawishi wamrudie Mungu..

Ususubiri kuhuburi injili ya amani watakapotoka jela. Fanya hivyo sasa ili waepuke jela..!
Tuko serious on that.
Yes, tuko very serious Kwa aina zote za dhambi. Tusaidiane wote kurekebishana..!
 
Yesu anawaamuru Wakristo kufuata Sheria ya Musa katika Agano la Kale:

"Msidhani ya kuwa mimi [Yesu] nalikuja kuitangua Torati au Manabii; sikuja kutangua, bali kutimiliza. Nawaambia iliyo kweli , mpaka mbingu na nchi zitakapotoweka, hata herufi ndogo kabisa, hata nukta moja, wala kalamu, haitatoweka kwa njia yo yote katika Torati, hata yote yatimie.” ( Mathayo 23:1-3; Mathayo 5:17-18 ) ni wazi kabisa kutokana na aya hizi za Agano Jipya kwamba Yesu amani iwe juu yake aliheshimu Agano la Kale na alisema kwamba kila "herufi" moja yake inapaswa kuheshimiwa, kufuatwa na kutimizwa.

Mathayo 23:1-3

“Kisha Yesu akawaambia makutano na wanafunzi wake, Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Musa, kwa hiyo ninyi watiini na kufanya yote watakayowaambia. wanafanya, kwa maana hawatendi yale wanayohubiri.' (Mathayo 23:1-3)”

Tunaona wazi katika mistari hii kwamba Yesu amani iwe juu yake hakukataza Agano la Kale kufuatwa, bali aliwaonya wafuasi wake kutoifuata jinsi viongozi wa dini wa sasa wa Sheria. (Wanarabi wa Kiyahudi) walikuwa wakiifuata.
Kuna yule mwanamke mzinzi...Yesu aliwajibuje wale washtaki wake?

Kuna talaka Yesu aliiongeleaje?

Tuliza kichwa mkuu
 
Una hakika au umesikiaga sikiaga tu Kwa watu?

Anyway. Tuashumu ulichosema hapa ni kweli...

Huwezi kuzuia masikio kusikika. Utasikia lakini bado uamuzi wa kutenda ama la ni wako..

Kuna msemo huu na sijui kama unauelewa. Unasema; "huwezi kuzuia ndege kuruka juu ya kichwa ili unaweza kuzuia wasijenge kiota juu ya kichwa chako hicho.."

Uchaguzi uko mikononi mwenu...

Nisome hapo juu☝️☝️☝️

Listen them but what to do and how or not to do, is your choice..!

Soma Tena hapo juu☝️☝️

Na ni vyema kupaza sauti unaweza kusikika...

Yes, I agree with you..

In life everyone has his/her own choices, KUFA at KUISHI...!!


Ususubiri kuhuburi injili ya amani watakapotoka jela. Fanya hivyo sasa ili waepuke jela..!

Yes, tuko very serious Kwa aina zote za dhambi. Tusaidiane wote kurekebishana..!
Hakuna Cha choice.

Mtu akiamua Kwa ridhaa yake kuwa jambazi ashughulikiwe kisheria.

Akiamua kuwa shoga Kwa HIARI itungwe SHERIA kumhukumu kifungo JELA.

Mfiraji hivyo hivyo JELA imhusu. Na dhambi zingine.

Mungu ameruhusu Serikali na SHERIA WANADAMU zitungwe Ili wawatishe wenye dhambi na waovu ikiwa watakaidi wazazi, JAMII au watumishi wa Mungu.

Mashoga,wafiraji wanatakiwa watishwe Kwa SHERIA Kali kikiwamo kifungo.

Hii itatusaidia watumishi kudhibiti Hali hii, wasiuawe.

Unaweza ona watu wameacha kucoment Uzi huu sababu wanasoma comment zenye mguso na utiisho wa Mungu ndani yake.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Hakuna Cha choice.
Haa haa🥱

Unapingana na ukweli huu wa asili?

Unaweza kunichagulia namna ya kuishi Mimi wewe? Chakula?
Mtu aliamua Kwa ridhaa yake kuwa jambazi ashighulikiwe kisheria.
Kuamua kuwa jambazi kumbe ni nini? It's a choice ndugu Rabbon..!

A choice can be bad or good one; destructive or constructive one...

So, life is absolutely 100% personal choice
Aliamua kuwa shoga Kwa HIARI itungwe SHERIA kumhukumu kifungo JELA.
Bado ni choice yake huyo shoga kuamua kuwa shoga au msagaji. But it's a bad and destructive choice for him/herself...!!
Mfiraji hivyo hivyo JELA imhusu. Na dhambi zingine.

But ni choice. Hata akienda jela still ni choice yake..

Unaweza kuamua kuvunja sheria au kufuata sheria

Kwa hiyo, nakuambia tena kuwa, Life is all about making choices ndugu Rabbon..

Hata Mimi na wewe tunajadiliana hapa Kwa sababu tumeamua hivyo. Pia tunaweza kuchagua kuacha...


Mungu ameruhusu Serikali na SHERIA WANADAMU watunge Ili wawatishe wenye dhambi na waovu ikiwa wayakaidi wazazi, JAMII au watumishi wa Mungu.
Ni kweli. Lakini kumbuka, sheria hizi zilizotungwa na wanadamu hazipaswi kuwa juu ya sheria kuu ya Mungu mwenyewe...!
Mashoga,wafiraji wanatakiwa watishwe Kwa SHERIA Kali kikiwamo kifungo.
Hakuna sheria Kali kama zilizopo kwenye VITABU vya Mungu (Biblia) lakini still binadamu hawaelewi, wanazivunja Kila siku na kumtukana Mungu juu. Na hii ndiyo sababu Mungu kaweka siku moja ya hukumu kuu..

Sheria itendayo kazi vyema Kwa mtu ni ile "sheria ya roho" ndani ya mtu mwenyewe.

Wafundishe watu wako unaowaongoza kiroho hiyo sheria ..!

Unaijua hiyo sheria ndugu Askofu Rabbon ??
Hii itatusaidia watumishi kudhibiti Hali hii, wasiuawe.
Sio kivile. Nisome hapo juu..
Unaweza ona watu wameacha kucoment Uzi huu sababu wanasoma comment zenye mguso na utiisho wa Mungu ndani yake.
May be. Na wanaweza kuwa wamepuuza pia.

It doesn't matter. Wewe na Mimi tuendeleee tu mpaka tukubaliane hata ktk kutokubaliana kwetu..!
Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
Amen💪💪💪💪 na imebarikiwa...!!
 
Haa haa🥱

Unapingana na ukweli huu wa asili?

Unaweza kunichagulia namna ya kuishi Mimi wewe? Chakula?

Kuamua kuwa jambazi kumbe ni nini? It's a choice ndugu Rabbon..!

A choice can be bad or good one; destructive or constructive one...

So, life is absolutely 100% personal choice

Bado ni choice yake huyo shoga kuamua kuwa shoga au msagaji. But it's a bad and destructive choice for him/herself...!!


But ni choice. Hata akienda jela still ni choice yake..

Unaweza kuamua kuvunja sheria au kufuata sheria

Kwa hiyo, nakuambia tena kuwa, Life is all about making choices ndugu Rabbon..

Hata Mimi na wewe tunajadiliana hapa Kwa sababu tumeamua hivyo. Pia tunaweza kuchagua kuacha...



Ni kweli. Lakini kumbuka, sheria hizi zilizotungwa na wanadamu hazipaswi kuwa juu ya sheria kuu ya Mungu mwenyewe...!

Hakuna sheria Kali kama zilizopo kwenye VITABU vya Mungu (Biblia) lakini still binadamu hawaelewi, wanazivunja Kila siku na kumtukana Mungu juu. Na hii ndiyo sababu Mungu kaweka siku moja ya hukumu kuu..

Sheria itendayo kazi vyema Kwa mtu ni ile "sheria ya roho" ndani ya mtu mwenyewe.

Wafundishe wako hiyo..!

Unaijua hiyo sheria ndugu Askofu Rabbon ??

Sio kivile. Nisome hapo juu..

May be. Na wanaweza kuwa wamepuuza pia.

It doesn't matter. Wewe na Mimi tuendeleee tu mpaka tukubaliane hata ktk kukubaliana..!

Amen💪💪💪💪 na imebarikiwa...!!
Choice ambayo mtanzania hapasi kuwa nayo ni:

Kuamua kisheria kubadili JINSIA, mvulana kutaka awe msichana, au msichana kuwa mvulana, hiyo iwe HARAMU na JINAI Tanzania.

Choice ya kuamua kufunga NDOA Serikalini yajinsia moja, kisheria choice hiyo itamkwe kutokuwapo kama ambayo imeendelea kuwa hivyo ktk SHERIA zilizopo.

Pia shukuru unayasema hayo uyasemayo sababu hapa ni mtandaoni bt HOJA hizo unazozitoa ingekuwa ni ktk halaiki ya watu wengi, sidhani kama ungeeleweka na kubaki salama Hadi sasa.

Ndicho nilichomaanisha.
 
Back
Top Bottom