Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Amesema hivi;Tunamuongelea kichaa Lema hapa, sio mtu mwingine ebo!! Nyumbu banna!!
Unabii gani ktk hicho alichoongea?Nimegundua Lema ameanza kuamini kuwa ana aina fulani ya "unabii"..Hii imeanza kuathiri namna anavyoongea na kufikiri..
Ni dalili mbaya ya afya ya akili ..inaitwa "delusional disorder"
YapNdugai sio speaker
Magufuli hayupo
Na Lema hadaiwi.
Huo ni uhalisia wa mambo. Kama hutaki choke on it.
Kwani ulifanya kazi wewe? kama alikatwa si jasho lakeeti amelipa, aseme ukweli kiinua mgongo chake cha ubunge kimefyekwa kufidia deni
Sawa deputy God. Wewe na Lema ni wasaidizi wa Mungu mnajua kila mtu atakufaje.Umeandika porojo tupu.Utaanza wewe kupotea kwa sababu na wewe ulipoteza wenzako..
Kumbuka hii kanuni ktk maisha ya wanadamu hapa duniani, kwamba; "...For every action, there's equal and opposite reaction.."
Maana yake hii ni kuwa, Kila unachotenda Kwa ajili ya wenzako, nawe utatendewa Vivyo hivyo Kwa muda na wakati wake.!
Mfano; Paul Makonda na wenzake aliongoza kikosi cha kwenda kumpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017 kwa amri ya Rais Magufuli by then. Walimpiga na wakadhani wameua, lakini Mungu alimuokoa, hakufa...
Uhakika ni huu, Paul Makonda na wote walioshiriki mauaji hayo, naye atakufa kwa kifo kibaya, cha aibu na maumivu makali sawasawa na alivyofanya Kwa wengine. Mwambieni ajue kabisa ili ajiandae...
Baba yao (The Masterminder) wa mauaji hayo (Magufuli) alishatangulia japo Kwa kulishwa sumu..!
Ndio nakwambia kichaa aliethibitika kuwa ni kichaa kashalamba udongo muda mrefu.Tunamuongelea kichaa Lema hapa, sio mtu mwingine ebo!! Nyumbu banna!!
Sio kwamba wewe ndo unaamini hivyo?Nimegundua Lema ameanza kuamini kuwa ana aina fulani ya "unabii"..Hii imeanza kuathiri namna anavyoongea na kufikiri..
Ni dalili mbaya ya afya ya akili ..inaitwa "delusional disorder"