Utaanza wewe kupotea kwa sababu na wewe ulipoteza wenzako..
Kumbuka hii kanuni ktk maisha ya wanadamu hapa duniani, kwamba; "...For every action, there's equal and opposite reaction.."
Maana yake hii ni kuwa, Kila unachotenda Kwa ajili ya wenzako, nawe utatendewa Vivyo hivyo Kwa muda na wakati wake.!
Mfano; Paul Makonda na wenzake aliongoza kikosi cha kwenda kumpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017 kwa amri ya Rais Magufuli by then. Walimpiga na wakadhani wameua, lakini Mungu alimuokoa, hakufa...
Uhakika ni huu, Paul Makonda na wote walioshiriki mauaji hayo, naye atakufa kwa kifo kibaya, cha aibu na maumivu makali sawasawa na alivyofanya Kwa wengine. Mwambieni ajue kabisa ili ajiandae...
Baba yao (The Masterminder) wa mauaji hayo (Magufuli) alishatangulia japo Kwa kulishwa sumu..!