SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
hii nchi inahitaji reformation haraka sana. hatuwezi kuendelea kuishi kama janaMjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema ambaye wengine hupendelea kumwita Nabii ametua jijini Tanga na kushikwa na mshangao mkuu.
Lema amesema haamini macho yake kushuhudia Watu wanaishi kwenye Magofu yaliyojengwa na waarabu nyakati za utumwa.
Lema amewataka wakazi wa Tanga kuukimbia umasikini kwa kujikomboa Kifikra kwanza kisha wakumbatie Kilimo cha kisasa.
Lema yuko kwenye ziara ya Mikutano ya nchi nzima akiwa na Viongozi mbalimbali wa Chadema.
Mungu ni Mwema wakati Wote!
ukitaka kutoa mwiba lazima utoboe nyamaLema ingekuwa amezaliwa huko alikotoka halafu iwe ndo mara yake ya kwanza kufika Tanzania angetuua kwa presha kwa haya Mambo aliyoyakuta, yaani Lema wakutuona sisi tunaishi kama wadudu kweli.........!
Unga limited vip hakuna magofu?
Mbona nyie Tanga mnakosa vyote?