SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Akienda Zanzibar anaweza pata shinikizo la moyo.
Akifika Greece anaweza pata shinikizo la moyo. Ati anashangaa ya mkoloni.
Amefika Venice huyo?
Huko mbali,amefika magogoni Dar, kuna mjengo pale kwa Nkulu.
Hata kama ana point ilimradi Nyumba ni nafuu ina kalika na kufaa kuishi na upo
upatikanaji wa miundombinu ya msingi, maji, umeme, barabara n.k na iko karibu na huduma za ajira na shule na inafaa kwa watu wa uwezo wote na inafaa na kukubalika kitamaduni...hayo ni ya msingi ambayo yanakubalika na Umoja wa Mataifa. Canada huko alipotoka, waafrika wengi tu hawana hizo nyumba anazoziita magofu. Hawana nyumba inayokubalika na Umoja wa Mataifa.
Akifika Greece anaweza pata shinikizo la moyo. Ati anashangaa ya mkoloni.
Amefika Venice huyo?
Huko mbali,amefika magogoni Dar, kuna mjengo pale kwa Nkulu.
Hata kama ana point ilimradi Nyumba ni nafuu ina kalika na kufaa kuishi na upo
upatikanaji wa miundombinu ya msingi, maji, umeme, barabara n.k na iko karibu na huduma za ajira na shule na inafaa kwa watu wa uwezo wote na inafaa na kukubalika kitamaduni...hayo ni ya msingi ambayo yanakubalika na Umoja wa Mataifa. Canada huko alipotoka, waafrika wengi tu hawana hizo nyumba anazoziita magofu. Hawana nyumba inayokubalika na Umoja wa Mataifa.