Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Acheni kumsumbua Mungu ndani ya vichwa vyetu aliweka ubongo au undogo wenzentu wanapambana na wanafanikiwa unafikiri wao hawana Mungu
 
Linapokuja issue ya link na chadema, huwa unakuwa irritated! Una nini na familia ya chedema?
Pamoja na umahiri wake woote, ila chadema inamfanya aonekane alivyo katika mambo asiyoyapenda! Kesho tukisema naye anafurahia kufa kwa wengine asiowaelewa atakataa...ila atalalama watokeapo wengine waseme juu ya kufa kwa awapendao yeye. okay, kumbe naye ni binadamu kama wengine tu ila nahisi mfumo wa chadema unamsumbua kuuelewa ndo maana anakuwa irritated hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…