imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Acha porojo, zinakusaidia nini?Kuongea na nnape nauye ni makosa? Ewe mchungaji wa kaskazini GODBLESS LEMA unavyofanya ndivyo unajishushia heshima, sema una bahati mama huyu ni mpole, angelikua Magufuli aise aise, basi niishie hapo.