Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Lema: January Makamba, Wewe ni waziri siyo first born wa Rais Samia

Kuongea na nnape nauye ni makosa? Ewe mchungaji wa kaskazini GODBLESS LEMA unavyofanya ndivyo unajishushia heshima, sema una bahati mama huyu ni mpole, angelikua Magufuli aise aise, basi niishie hapo.
Kwanini unapendelea kuishi maisha ya kusurubu binadam mwenzio...hivi ujui kua sote tuna damu,roho nk?
 
Yani kuvaa gwanda msibani ni kosa? Hivi makamba ni nani kwenye huo msiba? Kama anaumia nivyema akazikwe na Membe!
 
Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Kwa hiyo wewe na yule anayejiita kigogo kule Twitter mnakubaliana kuwa huyo mtu na hatari eeh? Kwamba huwa anaondoa watu duniani!
Ok, tumekuelewa na tutamtaarifu ajihadhari
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba

Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa

Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter

Hatari na nusu!

=========

Amsha amsha amshaaa popoo... Tumesinzia mnoo..🤣
 
january anatakiwa kujua kuwa anabebwa sana lkn kichwani sio mzuri kabisa.
Hana kitu cha kujisifia kuwa amekifanya zaidi ya kuwa 'mpiga deal'
Hamna kitu pale. Buyu tu lile. Anasafiria nyota ya baba yake kuwa mwanasiasa maarufu.
 
Lema analeta mipasho badala ya siasa. Sasa "First born", sijui "onyo". What is this nonsense?

Lete hoja za katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, maendeleo ya wananchi au hata positivity.

Lema anapenda personal confrontations zisizo na kichwa wala miguu.

Kama una mpango wa kumdhuru January tumeishamark kauli yako!
Hata akimdhuru haina shida hana umuhimu zaidi ya kutuletea shida ya umeme tu
 
Back
Top Bottom