Acha porojo, zinakusaidia nini?Kuongea na nnape nauye ni makosa? Ewe mchungaji wa kaskazini GODBLESS LEMA unavyofanya ndivyo unajishushia heshima, sema una bahati mama huyu ni mpole, angelikua Magufuli aise aise, basi niishie hapo.
Kwanini unapendelea kuishi maisha ya kusurubu binadam mwenzio...hivi ujui kua sote tuna damu,roho nk?Kuongea na nnape nauye ni makosa? Ewe mchungaji wa kaskazini GODBLESS LEMA unavyofanya ndivyo unajishushia heshima, sema una bahati mama huyu ni mpole, angelikua Magufuli aise aise, basi niishie hapo.
Huyo January ni Mrembo wa wiki tu, hana lolote zaidi ya nyie kum zoom ili aonekane mkubwaHuyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Punguza utoto tafadhali.Lugha ya kihuni kama ipi? Kwani nani kakwambia Nina shida ya kukuonesha wewe naenda na mda? Acha ujinga
Vipi tena mkuu! Kwa ni imekuwaje! Heshima yako.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
January Makamba aombe radhi kama hii kauli ni kweli."...ulikimbia Nchi na kuishi Ughaibuni kwa fedheha tumepigana umerejea bado unaendelea na mambo yako ya kishamba ya magwanda huna shukrani kabisa!"
Mhh! mbona hii statement ya Mayalla kama inafikirisha zaidi sana ya hilo onyo la lema kwa makamba.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Mshana Jr, aliwahi kukushauri ujifunze kunyamaza.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
vijana wanatunishiana mabega haya tuone mwisho wa siku.watoto wa viongozi Vs watoto wa walalahoi.sauti ya umma.
Kuna mwanadamu aliyezaliwa na mwanaumeMwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Ayubu 14:1
Kwa hiyo wewe na yule anayejiita kigogo kule Twitter mnakubaliana kuwa huyo mtu na hatari eeh? Kwamba huwa anaondoa watu duniani!Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Too low for you.Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Nani Sasa?Huyu atakuwa amechoka na maisha, anataka kui test sumu kwa kuionja! Sasa hivi tutamsahau!
P
Pombe za msibani ndio zimemchanganya Mayalla.Mhh! mbona hii statement ya Mayalla kama inafikirisha zaidi sana ya hilo onyo la lema kwa makamba.
Amsha amsha amshaaa popoo... Tumesinzia mnoo..🤣Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema anesema hivi karibuni atatoa Onyo kali kwa January Makamba
Lema akiwa amepost picha aliyopiga Yeye, January Makamba na Nape Nnauye wakijadili jambo msibani kwa Membe amesema January ni Waziri siyo First born wa SSH hivyo kiburi chake kitashushwa
Lema ametoa angalizo hili kupitia ukurasa wake wa twitter
Hatari na nusu!
=========
Hamna kitu pale. Buyu tu lile. Anasafiria nyota ya baba yake kuwa mwanasiasa maarufu.january anatakiwa kujua kuwa anabebwa sana lkn kichwani sio mzuri kabisa.
Hana kitu cha kujisifia kuwa amekifanya zaidi ya kuwa 'mpiga deal'
Hata akimdhuru haina shida hana umuhimu zaidi ya kutuletea shida ya umeme tuLema analeta mipasho badala ya siasa. Sasa "First born", sijui "onyo". What is this nonsense?
Lete hoja za katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, maendeleo ya wananchi au hata positivity.
Lema anapenda personal confrontations zisizo na kichwa wala miguu.
Kama una mpango wa kumdhuru January tumeishamark kauli yako!