Alirudisha baada ya siku moja, nadhani hawapo sawa huko! Bahati yake Lema hayupo, angemfuata huko Iringa na kumtandika mbakoraMsigwa alipigwa mkwara na Lema “Futa” lilivyo vuvuzela nalo likafuta tweet. 😁
Lala huko UVCCMChadema wanahangaika sana!
Wasipotawala wewe utapungukiwa na nini?Chadema chama kwani Cha siasa Cha kukiamini?
Nilimsikiliza lissu juzi huko space, nilichefukwa. Mtu mwenye hadhi Kama ile hajui kutumia lugha nzuri.
Kama wapo vile wasahau kutawala Tanzania
Kama tumewahi kuwa na rais ambaye hawezi kutumia lugha vizr unashangaa nini kwa raia wa kawaida kutotumia lugha vizuri.. kaa kwa kutuliaChadema chama kwani Cha siasa Cha kukiamini?
Nilimsikiliza lissu juzi huko space, nilichefukwa. Mtu mwenye hadhi Kama ile hajui kutumia lugha nzuri.
Kama wapo vile wasahau kutawala Tanzania
Id ya Ritz ni id moja wapo ambayo ilitumikaga kutoa vitisho dhidi ya Ben Saanane wazi wazi kwenye jukwaa hili kipindi hicho.
Hatimae Saanane alipotoweka,Id hii nayo ilipotea kwenye interactions.
Naona imerejea!!!
Kwa wakongwe na wenyekumbu kumbu watakumbuka!!
Chadema wanawapangia CCM mgombea au mtu wa kuongoza? Rekebisha hapo hao wenzake akina nan.Wanaukumbi.
Msigwa alipigwa mkwara na Lema “Futa” lilivyo anamuogopa Lema kuhofia kufukuzwa Chadema naye akafute post yake Lema, kila siku unapiga kelele kwenye kijiwe chenu cha Space unataka watu wawe huru kisha wewe huyo huyo unataka watu wafuate fikra zako.
Bw. Andrew John Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali na mbunge wa Bariadi mkoani Simiyu, Pia Amewahi kuwa mwenyekiti wa Bunge la JMT.
Chenge ni msomi na nguli wa Sheria. Anafaa kuwa Spika msomi mwenye uelewa wa Sheria za nchi.
View attachment 2079155
Mkuu labda uwe mgeni,hiyo idMkuu weka ushahidi maana mimi nina muda mrefu hapa jukwaani lakini si kumbuki hili jambo!
Halafu kuna vitisho na kukataa hoja za mtu pia sio kila anayemtisha mtu humu basi anaweza kumdhuru!
Chadema chama kwani Cha siasa Cha kukiamini?
Nilimsikiliza lissu juzi huko space, nilichefukwa. Mtu mwenye hadhi Kama ile hajui kutumia lugha nzuri.
Kama wapo vile wasahau kutawala Tanzania
Chadema ni vema wawe na msimamo wa kujiweka kando kabisa na masuala ya bunge maana ni kuinajisi demokrasia kuongelea bunge lililotokana na wizi wa kuraWanaukumbi.
Msigwa alipigwa mkwara na Lema “Futa” lilivyo anamuogopa Lema kuhofia kufukuzwa Chadema naye akafute post yake Lema, kila siku unapiga kelele kwenye kijiwe chenu cha Space unataka watu wawe huru kisha wewe huyo huyo unataka watu wafuate fikra zako.
Bw. Andrew John Chenge aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali na mbunge wa Bariadi mkoani Simiyu, Pia Amewahi kuwa mwenyekiti wa Bunge la JMT.
Chenge ni msomi na nguli wa Sheria. Anafaa kuwa Spika msomi mwenye uelewa wa Sheria za nchi.
View attachment 2079155
Umoja, Upendo na mshikamano ni njia Bora pekee ya kujenga taifa Bora.
Nguvu kubwa iongezwe kwenye Uhuru wa watu, Utawala wa Sheria, Demokrasia na siasa safi.
Chadema wao hawataki wanajiona wao ndiyo wapinzani peke yao wakati hata wabunge wawili hawana.