Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Unatuhumiwa kupotea kwa Ben Saanane, jitetee!Umoja, Upendo na mshikamano ni njia Bora pekee ya kujenga taifa Bora.
Nguvu kubwa iongezwe kwenye Uhuru wa watu, Utawala wa Sheria, Demokrasia na siasa safi.
Chadema wao hawataki wanajiona wao ndiyo wapinzani peke yao wakati hata wabunge wawili hawana.