Lema, kama hautaki Chenge awe Spika CHADEMA wenzako wanamtaka, acha kuwaburuza

Lema, kama hautaki Chenge awe Spika CHADEMA wenzako wanamtaka, acha kuwaburuza

Chadema wanawapangia CCM mgombea au mtu wa kuongoza? Rekebisha hapo hao wenzake akina nan.
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO: 🧐

Kinaendeshwa kama Kikundi cha familia kwa takribani miaka 30.

Kina Mwenyekiti wa Kudumu.

MAENDELEO: takribani miaka 30 kimeshindwa hata kujenga Ofisi za Makao Makuu (HeadQuarters) kinapangisha uchochoroni mtaa wa Ufipa.

😁
 
Lema ukimbishia anakupasua namawe au tofali... bangi sio kitu nzuri
Lkn chenge inafaa apumzike ameshaitumikia saaana serikali Aachie vijana sasa!! Kama nikula kala mmmno nini tena anataka? au nchi ipigwe mnada!!?
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO: 🧐

Kinaendeshwa kama Kikundi cha familia kwa takribani miaka 30.

Kina Mwenyekiti wa Kudumu.

MAENDELEO: takribani miaka 30 kimeshindwa hata kujenga Ofisi za Makao Makuu (HeadQuarters) kinapangisha uchochoroni mtaa wa Ufipa.

😁
That's nonsense weka evidence, familia ipi inaendesha CDM? Pia kuna uchochoro upi hapo ufipa? Nnavyojua CDM ipo mtaa wa ufipa na hakuna kichochoro. Pia pale hua kuna jengo la ghorofa moja je lile ni jengo la chauma ama??
 
That's nonsense weka evidence, familia ipi inaendesha CDM? Pia kuna uchochoro upi hapo ufipa? Nnavyojua CDM ipo mtaa wa ufipa na hakuna kichochoro. Pia pale hua kuna jengo la ghorofa moja je lile ni jengo la chauma ama??
Wewe punguani kweli unataka evidence ipi? Mzee mtei unamjua? Unajua wana uhusiano gani na Mbowe? Chadema pale Ufipa wamepanga room mbili ndiyo ofisi ya Chadema Makao Makuu.
 
Chadema wanataka Katiba npya cha ajabu ndani ya chama chao hamna Uhuru kujieleza?
Hawajui wanachokihitaji. Bahati mbaya kuna uburuzwaji mkubwa sana huko.
====
Mkuu pitia Makabrasha kwanza. Haya tuachie tutawashughulikia kwa hoja hapa hapa. Asubuhi njema.
 
Wewe punguani kweli unataka evidence ipi? Mzee mtei unamjua? Unajua wana uhusiano gani na Mbowe? Chadema pale Ufipa wamepanga room mbili ndiyo ofisi ya Chadema Makao Makuu.
Acha kasiriko na tusi, hujajibu swali langu! Halaf nnachokiona kwako ni vile vijamaa vya kushinda kweny vijiwe vya kahawa na kujazana ujinga. Eti Room mbili 😂😂 acha kushinda kweny vijiwe vya kunywa unafiki!!
 
Ni lini Babu Tale na Steve Nyerere wataenda kuchukua fomu??? 😳
 
Back
Top Bottom