Pre GE2025 Lema: Maisha yamekuwa magumu sana. Kula Wali Nyama ni hadi Uvizie buffet kwenye Misiba ya Matajiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mi ni chama tawala mkuu, Yani tangu juzi mke wangu na wanangu wanauliza tutapika lini wali nyama?? Kuna watu wanazo fweza na Kuna watu hawana... Yani Kuna tabaka kubwa sana linajijenga kwa haraka la wenye wali nyama na sisi wa ugali kabichi
CCM inaleta matabaka makubwa haswa
 
Nazani wananchi wanataka ajira ziongezeke ili waweze kupata kipato cha kukidhi kula hizo nyama

Nabii kaongea kama mistali ktk kitabu kitakatifu, sio kila mtu anaweza kuelewa maandiko
CCM imeleta umasikini mkubwa sn
 
Hahaha.. Mama anaupiga mwingi, amefungua nchi!

Nchi ya nyoko
 
Ndio maana njemba zilikuwa zinaenda sana ikulu kwa kisingizio cha muafaka
 
Hali ni ngumu kwelikweli ila wala kwa urefu wakamba wataita uchochezi.
 
yeye ni mwana ccm ,kwani wana ccm hawana akili? hata mimi ccm lakini penye ukweli lazima tuseme.tusisubiri yatokee kama ya kenya
CCM si tunaambiwa inapendwa sana ! ya kenya yatapitia njia gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…