johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
kaona kaonewa sana kuukosa uwenyekiti kanda ya Nyasa...Chama tunapoteza watu makini so sad
Jiwe alimalizaga hii biashara mapema.saana, lilikiwa ni suala la muda tu.Chama tunapoteza watu makini so sa
Sasa kitakuwa chama cha ajabu sana Yani ukikosa uongozi kwenye chama chako ndio ukimbie Kuna namna msigwa asituone sisi watoto wadogokaona kaonewa sana kuukosa uwenyekiti kanda ya Nyasa...
Hatma yake kaona kheri mwendo wa mateka - kujisalimisha mikono juu.
Kamuulize Jiwe, kwa sisi wenye D mbili tunajua biashara ilisha ishaga kitambo saana enzi zake.Sasa kitakuwa chama cha ajabu sana Yani ukikosa uongozi kwenye chama chako ndio ukimbie Kuna namna msigwa asituone sisi watoto wadogo
AmebubujukwaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Hata Lema kuhamia CCM inawezekana. Huyo sio CHADEMA halisi. Alitokea TLP. Kama role model wake alikuwa Lyatonga basi lolote linawezekana.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Msigwa alikataa CCM wakati wa Magufuli because of his respect to CHADEMA…. Hakujua hiyo ni family businessKamuulkze Jiwe, kwa sisi wenye D mbili tunajua biashara ilisha ishaga kitambo saana enzi zake.
Lilikiwa suala la muda gani kitu kichomoke.
Itakuwa naye anataka kuhamaMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X