Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM wametumia kila njia kisiki Mbowe aondoke ili CDM ilainike ila imeshindikana kabisa.Chadema ni TAASISI wengi wameondoka kuanzia Kaburu,Kafulila,Kitila,Gekur, Pendo, Zitto etc.....lakini kinadunda tu,ni chuo kizuri cha kupika wana siasa kwa karne hii
Amekuwa adimu sanaKwani Erythrocyte anasemaje?🙂
Labda anaumwa maleria😎Amekuwa adimu sana
Wangetaka wangemfunga tu kwa Ugaidi uliothibitishwa na mh KingaiCCM wametumia kila njia kisiki Mbowe aondoke ili CDM ilainike ila imeshindikana kabisa.
Lema anawaza pesa alizipewa Msigwa na yeye azipateMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Duh!
Ninaungana na wewe. Msigwa alikuwa muhimu kwa chadema kwa uongozi unaofanya siasa bila kuropoka au kutumia matusi. Chama kitakosa hekima yake.Mimi nimesikitishwa sana siku ya leo.
Hana muda mrefu atatimkia huko huko!Lema ccm panamfaa, na yeye atimkie huko.
Mimi sijashangaa kabisa, kauli za Msigwa toka alipotaka kulipiwk na dhalimu magu ili atoke gerezani, zilionyesha yuko cdm kwa kwa kuhofia kusimangwa. Baada ya kushindwa uchaguzi alikubali kushindwa kishingo upande, lakini siku chache mbele akazua zogo ili kujitengenezea njia ya kuondoka. Na yeye ndio alikuwa anampa mama Samia mambo ya ndani ya cdm. Rejea kauli ya Samia kuwa ndani ya cdm kunawaka moto.Mimi nimesikitishwa sana siku ya leo.
Nimesoma Comment zote hii ndo comment bora kuliko zote.Msigwa alikataa ccm wakati wa magu because of his respect to chagadomoz…. Hakujua hiyo ni family business
Mara moja moja uwe unachanganya na zako. Unajua kabisa Msigwa na Magufuli (rip shujaa) ni familia; familia zao wameoleana, kwa hiyo ulitaka Magu asisaidie kumtoa Sanzi yake toka gerezani? Nyie nyumbu wakati mwingine mna matatizo makubwa sana ya kutumia mbongo zenu kufikiri kwa ufanisi!Mimi sijashangaa kabisa, kauli za Msigwa toka alipotaka kulipiwk na dhalimu magu ili atoke gerezani, zilionyesha yuko cdm kwa kwa kuhofia kusimangwa.
1. Halima na Bulaya hawajaondoka chademaWatu makini walioondoka CDM. Zitto, Dr Slaa, Halima Mdee, Ester Bulaya, Mchungaji Msigwa. Wote hawa wasaliti?
Nasubiri kwa hamu sana kauli ya Erythrocyte.Watajuana wenyewe, hayo ni mambo yao tuwaachie
Hana cha kufanyaNasubiri kwa hamu sana kauli ya Erythrocyte.
Kwakuwa Erythrocyte ni chawa wa Mbowe nafikiri anasubiri maelekezo ndio atoe kauli!Hana cha kufanya
Kuondoka kwa mtu kama yule ni pengo, kumbuka anaondoka na mtaji mkubwa wa watu.Kwakuwa Erythrocyte ni chawa wa Mbowe nafikiri anasubiri maelekezo ndio atoe kauli!
Kweli kabisa!Kuondoka kwa mtu kama yule ni pengo, kumbuka anaondoka na mtaji mkubwa wa watu.