Lema: Mchungaji Msigwa nimeumia sana, natamani niendelee Kufanya Kazi na wewe kwenye Chama Bora CHADEMA

Lema: Mchungaji Msigwa nimeumia sana, natamani niendelee Kufanya Kazi na wewe kwenye Chama Bora CHADEMA

Mimi sijashangaa kabisa, kauli za Msigwa toka alipotaka kulipiwk na dhalimu magu ili atoke gerezani, zilionyesha yuko cdm kwa kwa kuhofia kusimangwa. Baada ya kushindwa uchaguzi alikubali kushindwa kishingo upande, lakini siku chache mbele akazua zogo ili kujitengenezea njia ya kuondoka. Na yeye ndio alikuwa anampa mama Samia mambo ya ndani ya cdm. Rejea kauli ya Samia kuwa ndani ya cdm kunawaka moto.
Lakini mbona alikuwa mgumu sana kuhamia CCM kipindi cha huyo unaemuita dhalimu, na sasa kajongea kiulaini?, Ndio tuseme CCM ya mama iko vizuri au unasemaje ndugu yangu Tindo?
 
Lakini mbona alikuwa mgumu sana kuhamia CCM kipindi cha huyo unaemuita dhalimu, na sasa kajongea kiulaini?, Ndio tuseme CCM ya mama iko vizuri au unasemaje ndugu yangu Tindo?
Alikosa ujasiri wa kuhama wakati ule. Kwa sasa amehama kwa jazba baada ya kukosa uongozi.
 
20240701_005919.jpg
 
Back
Top Bottom