Lema: Mchungaji Msigwa nimeumia sana, natamani niendelee Kufanya Kazi na wewe kwenye Chama Bora CHADEMA

Lema: Mchungaji Msigwa nimeumia sana, natamani niendelee Kufanya Kazi na wewe kwenye Chama Bora CHADEMA

Kuondoka kwa mtu kama yule ni pengo, kumbuka anaondoka na mtaji mkubwa wa watu.
Hana wa kuondoka nao, na hata akiondoka nao bado hawezi kuwapeleka ccm, sana sana ataua ari ya watu kushabikia siasa. Kama huamini subiri uone wapiga kura watakavyokuwa wachache ndio ujue madhara ya hawa wahamaji.
 
Tatizo kubwa la Chadema ni Mbowe, chama ni mali binafsi yake wala sio ccm wala sio kusema wana nunuliwa, chama kimekuwa kwa ajiri ya familia ya mtu mmoja halafu mnakuja na kauli za kufarijiana hapa eti wana nunuliwa, tatizo ni King mswati wa chadema.

Haiwezekani wote wanaotoka ni wabovu au wamenunuliwa, King Mswati yeye yupo kwa ajiri ya maslahi binafsi, mkisubiri mageuzi ndani KIng Mswati ni kupoteza muda, mtaishia kusema ohh wananunuliwa, ohh kura tunaibiwa, ohh tuandamane, ohh tulikubaliana na Rahisi hakuna zama za giza tena ohh story ohh story oh story miaka ina songa mwenzenu anapiga pesa, ohh nakuposha chama, ohh bila mimi chama hakiendi, ohh nakidai chama, ohh bila mimi chama kina hujumiwa, hizo zote ni usanii tu wa kupiga pesa na kuendelea kumiliki chama.

Actually mnao msikiliza nawapa pole, hizo elimu zenu zote mnasikiliza JIBA?
Uko sahihi sana kwamba Mbowe ni tatizo kubwa sana ndani ya cdm, mbona hao wahamaji hawahamii vyama vingine bali ccm tu?
 
Nilimuona Msigwa alivyokua anaingia mle ndani. Neno traitor lilikua limejiandika usoni kwake. Hakua comfortable.
 
Kwenye hii ziara ya Mbowe ambayo anaambatana na lema. nauona uso wa lema ukiwa hauna furaha.
Lema na Mnyika ndio wanaofuatia kuhamia ccm. Lema hana tabia ya kuvumilia sehemu hapati hela. Hapo alipo anatafuta tu sababu. Mnyika yeye toka enzi za Magu alishafika bei, ila anakosa tu ujasiri wa kuhama.
 
Nilimuona Msigwa alivyokua anaingia mle ndani. Neno traitor lilikua limejiandika usoni kwake. Hakua comfortable.
Dhamira ilikuwa inamsuta kwa misimamo na maneno yake ya zamani.
 

Attachments

  • VID-20240701-WA0000.mp4
    1.5 MB
mibichama tunapoteza watu makini so sad
Kwa yale Yanayoendelea Kenya ni uthinitisho tosha kuwa Dunia chini ya mwavuli wa Demokrasia inatawaliwa niKikundi cha wahalifu na watu waovu ,wabinafsi wasiojali Maumivu ya wengine.

mfano tu Msiggwa katika harakati zake za kisiasa mpaka akapata jina kuna watu wengi wameumizwa na CCM na watawala wake na hata kupoteza maisha kwa sababu ya kuwa Chadema .
Lakini nadhani amegundua kuwa dunia inatawaliwa na watu waovu na wanafiki wasiojali maisha na maumivu ya wengine . Anataka aungane na wenzake wanaonekana mdomoni kuwatetea watu lakini mioyoni mwao wanawaza fedha na mali kama Husein Bashe na Doto Bireko . Bora Mwigulu Nchemba yeye yuko wazi kabisa anawaambia watu wazi wanaopata shida Tanzania wahame waende Burundi mana watapata tabu sana mana Anaamini Rasilimali wakati zinaumbwa na Mungu na yeye alimsaidia Mungu akiwa na CCM .

Msigwa Damu umeungana na Chama kilichomwaga damu za watu wasio na Hatia. Na kesho kutwa kwenye uchaguzi hawatashinda wala wewe hutashinda bila kumwaga damu za wanyonge na kupora kura zao.

Ole wako masna mali za dhulma zimefikia mwisho Afrika imeshavuka nusu ya Jubilee ni lazima mabadiliko yatokee kwa mujibu wa kalenda za kiroho. Hukusoma Nyajati.
Kilwa ilikua ni Himaya kubwa sana ya Kiarabu lakini ilipotea kabisa duniani na haitarudi kamwe.

Zanzibar ya sultani haitarudi kamwe.
Ukoloni wa Mjerumani hautarudi kamwe.
Ukoloni wa Mwingereza hautarudi kamwe.

Kilichobaki ni wazi kuwa ni utawala wa mawakala wa ukoloni . Ni wazi nao wataondolewa kwa damu na hawatarudi kamwe. Msigwa umeenda kuungana na chama kilichopo kwenye list ya kuondoka milele. na hakitarudi kamwe . Wanafikiri kuwa watantania wamelala lakini wamesahau kuwa Mungu ndiye aliyewaweka katika usingizi wao kwa makusudi yake na atawapigania yeye Nwenyewe. Mungu aliwapa uhuru Watanganyika bila kumwaga damu lakini aliuongiza nchi hii Mwalimu akataifisha mali zote za Wazungu bila kumwaga damu pia mali zote wakapewa Wananchi ambao hawakumwaga damu . Ni jambo kubwa na la nguvu za Mungu pekee. Kibinadamu na nguvu za vita haingewezekana kamwe .

Msigwa amejidanganya akidhani kuwa atawaimarisha mafisadi wa CCM Ukanda wa Nyasa akidhani kuwa yeye ndiye anayemiliki watu na roho zao bila kujua kuwa kuna Mungu na anafanya mambo yake kwa majira yake . Asijiulize tu ni kwa nini CCM haitaki kuruhusu Chama kingine kianzishwe kwa sasa . Wanajua CCM haina watu wanaoitaka hata ndani yake.

Msigwa Subiri uteuzi wa Muda na sio Ubunge kwa sababu katiba mpya ikija teuzi zitakua ngumu sana. Na ubunge hata CCM ikikuachia Jimbo huwezi kushinda kwa sababu wananchi ndio wanaochagua na hawapo tayari kuichagua CCM wanaoshindana kuuza nchi yao ili wapate pesa za kuhonga wabaki madarakani.
 
Hana wa kuondoka nao, na hata akiondoka nao bado hawezi kuwapeleka ccm, sana sana ataua ari ya watu kushabikia siasa. Kama huamini subiri uone wapiga kura watakavyokuwa wachache ndio ujue madhara ya hawa wahamaji.
Umechelewa sana kugundua kuwa ARI YA KUSHABIKIA SIASA ni mtaji kwa upinzani na hasara kwa CCM.

Uchaguzi 2015 ulikuwa mgumu kwa kuwa ARI YA KUSHABIKIA SIASA ilikuwa juu lakini 2020 kulikuwa na muuzauza ya uchaguzi ila ilibidi wananchi tukubali tu kupelekwa.

Msigwa naamini aliiamini na kuipa heshima sana CDM mpk alipoona kuwa heshima yote hiyo ni bure tu.

Kama kununuliwa angehama kipindi cha Jiwe
 
Uko sahihi sana kwamba Mbowe ni tatizo kubwa sana ndani ya cdm, mbona hao wahamaji hawahamii vyama vingine bali ccm tu?
Kuhamia chama gani ni utashi wa mtu binafsi, lakini binafsi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kila anaehama ni kununuliwa, hiyo ni kauli inatolewa na team King Mswati mutafuta huruma.

Kwa nini kuhamia ccm? Boss hapo ulipo wewe ni Mkurugenzi, mambo yakiwa hayaendi ndivyo sivyo huwezi kuhamia kwenda sumbawanga kufanya kazi kwenye Radio inayo chipukia, lazima utaangalia walau kituo chenye hadhi sawa au karibu sawa na unachofanyia kazi.

King Mswati hujui kwa nini kapoa awamu hii ya 6? , tayari tuko kwenye zama za ulaji, ulaji ulifunguka, kelele zote za democracy ni gelesha tu. Siasa za upinzani Tanzania ni upuuzi tu, namhurumia Lisu maana ana poteza muda tu.
 
Umechelewa sana kugundua kuwa ARI YA KUSHABIKIA SIASA ni mtaji kwa upinzani na hasara kwa CCM.

Uchaguzi 2015 ulikuwa mgumu kwa kuwa ARI YA KUSHABIKIA SIASA ilikuwa juu lakini 2020 kulikuwa na muuzauza ya uchaguzi ila ilibidi wananchi tukubali tu kupelekwa.

Msigwa naamini aliiamini na kuipa heshima sana CDM mpk alipoona kuwa heshima yote hiyo ni bure tu.

Kama kununuliwa angehama kipindi cha Jiwe
Kwa taarifa yako hiyo ari ikishuka wala sio faida kwa ccm. Kama huamini angalia viongozi wa ccm wakiitisha mikutano bila kugawa fedha n vitisho wanapata idadi gani ya wahudhuriaji. Ama subiri chaguzi zetu uone idadi ya wapiga kura itakuwaje?

Alitaka sana kuhama kipindi cha Magufuli, ila alikosa ujasiri, ameamua kuhama akiwa ameshafubaa. Sikiliza hiyo clip ujue amehama kwa frustration ili kwenda kubahatisha maisha huko ccm.
 

Attachments

  • VID-20240701-WA0000.mp4
    1.5 MB
Kuhamia chama gani ni utashi wa mtu binafsi, lakini binafsi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kila anaehama ni kununuliwa, hiyo ni kauli inatolewa na team King Mswati mutafuta huruma.

Kwa nini kuhamia ccm? Boss hapo ulipo wewe ni Mkurugenzi, mambo yakiwa hayaendi ndivyo sivyo huwezi kuhamia kwenda sumbawanga kufanya kazi kwenye Radio inayo chipukia, lazima utaangalia walau kituo chenye hadhi sawa au karibu sawa na unachofanyia kazi.

King Mswati hujui kwa nini kapoa awamu hii ya 6? , tayari tuko kwenye zama za ulaji, ulaji ulifunguka, kelele zote za democracy ni gelesha tu. Siasa za upinzani Tanzania ni upuuzi tu, namhurumia Lisu maana ana poteza muda tu.
Ni kweli si kila anayehama amenunuliwa, lakini ni nadra utoke upinzani kwenda ccm bila ushawishi wa cheo ama ulaji. Huyo Msigwa ameondoka kwa jazba kwenda ccm ili kubahatisha chochote, maana aliwahi kurubuniwa wakati wa Magufuli lakini akasita kuondoka kwa kukosa ujasiri. Leo hii hana cheo chochotr cdm ameona ni bora akapate kanafasi ccm ili agange maisha.

Lisu hawezi kwenda ccm maana sio mtu wa falsafa za kujipendekeza, na ikitokea akaingia huko ccm ataishia kuwavuruga tu.
 
maana aliwahi kurubuniwa wakati wa Magufuli lakini akasita kuondoka kwa kukosa ujasiri. Leo hii hana cheo chochotr cdm ameona ni bora akapate kanafasi ccm ili agange maisha.
Shida ilianzia hapo
 
Kuondoka kwa mtu kama yule ni pengo, kumbuka anaondoka na mtaji mkubwa wa watu.
Uwo mtaji wa watu ndio umekula hela yake aliyokuwa anaigawa kule kwenye kanda kaenda peke yake huyo chadema ni zaidi uijuavyo!
 
Msigwa alikataa CCM wakati wa Magufuli because of his respect to CHADEMA…. Hakujua hiyo ni family business
Msigwa na Meko Mwendazake wameoleana.... Family business?
 
Nilikua siamini kama msigwa ni mpinzan wa kweli.kwanza yeye ana connection na familia ya jiwe ndio maana hata siku zile walivyohukumiwa jiwe akamlipia fine chap.
 
Back
Top Bottom