Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa au kimada?Kwakuwa Erythrocyte ni chawa wa Mbowe nafikiri anasubiri maelekezo ndio atoe kauli!
Wakati huo katuchuuza alikataa kulipiwa dhamana🤔wote waigizaji tu, naona msigwa karejea jumba lao la Sanaa.
N kauli za hasira tuu hakuna lingn hapo 😂Kwani Erythrocyte anasemaje?🙂
Akina Erythrocyte watakuja hapa kumponda hata huyo Lema kama anavyofanya kwa wngn wanaoondokaNa yeye akihama watakuwepo wa kumlilia 😂️😂️😂️😂️😂️
Anauguza maumivu 😂Amekuwa adimu sana
Sasa mbowe ataondoka vp wakati yeye ndio mwenye mali, yn n sawa na mwenye nyumba kulipa kodiCCM wametumia kila njia kisiki Mbowe aondoke ili CDM ilainike ila imeshindikana kabisa.
Ila kipindi cha JPM hao Chadema walifika dau kumnunua Lowassa?Magu hakufika dau wakati ule
just spitballing 😂
Mwenyekiti wa Muyaya anasemajeMwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
View attachment 3029988
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Erythrocyte asione hii 😂Chawa au kimada?
Kimada huyo amevunja ndoa za watu sana huko Cdm
Hata Marekani ukikorofishana na kumkejeli kiongozi wa chama ujue hautadumu. Wale wote waliompinga Trump hawapo tena katika nafasi za uongozi. Msigwa alikuwa na haki ya kulalamikia matokeo ya uchaguzi lakini hakupaswa kumuita mwenzake hadharani kuwa mlamba viatu vya Mwenyekiti wake! Kosa lingine ni kutoka upinzani kwenda kwenye chama tawala ambacho sera na misimamo yake ni tofauti kabisa na alikokuwa. Hataweza kudai Katiba Mpya kwa nguvu zile zile. Hataweza kutoa shutuma za ufisadi za serikali ya chama chake kipya. Hawezi kukemea uonevu wowote ambao utafanywa na watu wa chama chake kipya. Credibility yake kama principled mpinzani imetoka. Bora kama angeacha siasa au angehamia chama kingine cha upinzani.chama cha mbowe kile hata wakubali wakatae huo ndio ukweli, chama kilikuwa cuf ingawa lipumba alikibomoa , now chama bora chenye kubeba sura ya wananchi ni ccm tu ikifuatiwa na act
Yaani Magufuli aharibu uchaguzi kisha awabambikie kesi, ndio useme ni familia? Au unadhani kila mtu ni ndezi wa sampuli yako?Mara moja moja uwe unachanganya na zako. Unajua kabisa Msigwa na Magufuli (rip shujaa) ni familia; familia zao wameoleana, kwa hiyo ulitaka Magu asisaidie kumtoa Sanzi yake toka gerezani? Nyie nyumbu wakati mwingine mna matatizo makubwa sana ya kutumia mbongo zenu kufikiri kwa ufanisi!