Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Lakini mbona alikuwa mgumu sana kuhamia CCM kipindi cha huyo unaemuita dhalimu, na sasa kajongea kiulaini?, Ndio tuseme CCM ya mama iko vizuri au unasemaje ndugu yangu Tindo?Mimi sijashangaa kabisa, kauli za Msigwa toka alipotaka kulipiwk na dhalimu magu ili atoke gerezani, zilionyesha yuko cdm kwa kwa kuhofia kusimangwa. Baada ya kushindwa uchaguzi alikubali kushindwa kishingo upande, lakini siku chache mbele akazua zogo ili kujitengenezea njia ya kuondoka. Na yeye ndio alikuwa anampa mama Samia mambo ya ndani ya cdm. Rejea kauli ya Samia kuwa ndani ya cdm kunawaka moto.
Alikosa ujasiri wa kuhama wakati ule. Kwa sasa amehama kwa jazba baada ya kukosa uongozi.Lakini mbona alikuwa mgumu sana kuhamia CCM kipindi cha huyo unaemuita dhalimu, na sasa kajongea kiulaini?, Ndio tuseme CCM ya mama iko vizuri au unasemaje ndugu yangu Tindo?
Na kitadumu milele....Chadema ni chama chetu wachaga
Wenyeviti wa CCM wanaongoza kwa kudedi.... Wapunguze uchawi watamalizana..
Ndugu zako waliokufa n wachawi?Wenyeviti wa CCM wanaongoza kwa kudedi.... Wapunguze uchawi watamalizana..
Ndio....Ndugu zako waliokufa n wachawi?
Hachelewi nae kuhama akasema kamfata msigwaMwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM
View attachment 3029988
Lema ametoa machozi akiwa ukurasani X
Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Chama tunapoteza watu makini so sad