Mleta mada ameleta Jambo la msingi lijadiliwe kwa manufaa ya wengi, Wazandiki Kama wewe na wenzako mnakuja na UZANDIKI wenu kama kawaida. Anzisheni Uzi ili mjadili yenu huko mkuu.Yeah hasikiki sana akisisitiza hilo. Sasa hivi tutaanza kwenda wenyewe kwa viongozi wa dini kuombewa kama dogo Bashite.[emoji13]
Aige mfano kwa lowassa yule ndo mwanasiasa anaejua siasaNaona kuna ukweli maana kadri siku zinavyoenda jamaa ndiyo anazidi kuwa na chuki za kutisha sana, pamoja na kicheko chake cha kinafiki anapokuwa hadharani.
Ulipotea siku ngapi ngapi hizi!! habari za leo YamakagashiMna wakati mgumu sana upinzani safari hii msipo simama pamoja na kuweka tofauti zenu pembeni sijui hali itakuwaje
Be specific upinzani upi unaomaanisha huoni hata wewe ni mpinzani kwa mada iliyopo mezani, ndani ya kanisa la anglikani kuna upinzani(Mokiwa Vs cheme...), CCM kuna upinzani (Bashe, Msukuma, ... Vs Mwenyekiti) na nyingine nyingi, Sasa wewe unamanisha Upinzani upi?Mna wakati mgumu sana upinzani safari hii msipo simama pamoja na kuweka tofauti zenu pembeni sijui hali itakuwaje
Na upinzani munawajibu wa kuhubiri haya uliyoyasema kwa wanachama wa wapenzi wenu, Chadema mna wanachama na wapenzi wenye chuki kwa serikali na dola kwaujumla. Kila mmoja anamuhitaji wenzake kwa njia moja au nyingine.
Anapenda kukaa kisongo kuliko kukaa jimboni kuwahudumia wananchi. Na mwisho wa siku anatafuta kura za huruma alipwe kwa ajili ya kukaa kisongo kuliko kura za asante kwa kazi njema ya maendeleo jimboni. Waarusha badilikeni.
Asante Simba wa YudahMh Rais Magufuli nakusalimu.
Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.
Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.
Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .
Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.
Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.
Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?
Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.
Godbless J Lema (MB)
Excellent! Lakini rais pia alikwenda hospitali kumtembelea Sumaye wakati amelazwa kule. Je nao ni usaliti kwa chama chake? Kana kwamba kama hiyo haitoshi alikutana pia na Lowassa kwenye Jubilei ya miaka 50 ya ndoa ya Mkapa na mkewe na wakasalimiana na kunong'ona kidogo. Je huo nao ni usaliti kwa chama chake? Rais pia amekuwa anakwenda kusali katika madhehebu tofauti na dhehebu lake. Je huo na ni usaliti kwa dhehebu lake?! Ni kwanini rais anahubiri chuki badala ya utangamano? Kwanini tusiamini kuwa yeye ni rais wa ajabu kwa haya anayoyasema? Kama ni usaliti basi yeye ndio atakuwa msaliti namba moja kwa chama chake kuliko hao wabunge. Tatizo lake anaona kibanzi kwenye macho ya wenzake wakati yakwake yote mawili yana boritiMh Rais Magufuli nakusalimu.
Nimetoka Magereza hivi karibuni ambako nilikuwa huko kwa zaidi ya miezi minne kwa kunyimwa masharti ya dhamana kwa dhamana iliyokuwa wazi.
Mh Rais, nimeona kwenye vyombo vya habari leo kuwa kwamba wale Wabunge waliokuwa wanataka kunisalimia nilipokuwa Magereza kuwa ni wasaliti wa chama cha CCM, Mh Rais wengi walinisalimia, Wachungaji, Masheikh, Wabunge na Viongozi mbali mbali, sidhani kama hatua hii ilikuwa ni usaliti isipokuwa upendo ambao ni muhimu kwa binadamu yoyote haswa wakati wa matatizo.
Mh Rais, nimeogopa sana kwa kauli hii yako, je Taifa linakwenda wapi, hivi kweli sisi Wabunge ni maadui? Kama viongozi tutafikiri utengano ni moja ya njia ya kuimarisha vyama vyetu, basi bila shaka tutakuwa tunalitendea Taifa ubaya .
Dhambi hii ikikomaa basi ni hakika kwamba lugha za udini, ukanda na ukabila hazitaacha kukomaa, ni muhimu sasa tukajenga utamaduni wa kuhimiza mshikamano wa Kitaifa bila kujali itikadi kama kweli tunawapenda masikini na wanyonge wa nchi hii.
Nawaomba Wabunge wenzangu walionijali wakati niko magereza wasijisikie vibaya kwani walifanya jambo jema na muhimu kwa wakati muhimu sana katika maisha yangu, ninatarajia kuwa Spika wa Bunge atatoa kauli juu ya kauli yako.
Mh Rais wakati wa Msiba wa Christina Lissu dada yake na Mh Tundu Lissu nilikuona katika msiba ule wewe na Mama yetu Mke wako, je Mh Rais na wewe ulikuwa unasaliti Chama chako?
Mh Rais neno la Mungu linasema, Wapendeni maadui zenu, waombeni wanaowauzi , wabarikini wanaowaonea kwani kufanya hivi ni kuishi kwa thawabu za Mwenyezi Mungu.
Mungu akubariki sana, natumaini Mh Rais sitakamatwa leo kwa ujumbe huu mfupi.
Godbless J Lema (MB)
Umesoma vizuri kilichoandikwa?!Mna wakati mgumu sana upinzani safari hii msipo simama pamoja na kuweka tofauti zenu pembeni sijui hali itakuwaje
ilikua sio lazima kila mtu aende na thread aiuliziii mauzurio soma uelewe. imesema kwa alie na nafasi na kama huelewi nenda kachukue cheti chako kolomije kilaza wewe siku nyingine usikurupuke kujibu usichoelewaAlihitaji faraja.....!! Wewe ulikwenda kufarijiana?
Dodoma hivi majuzi wamempiga mpita njia kwakua alikua ktk gari ya chama nani kiongozi wa upinzani hapakua na sababu yoyote ile zaidi ya kujipitia pale, je ni wanachama wangapi wamedhuriwa na hawa wapinzani hata useme chadema ina wanachama wenye chuki na serikali na dola? sijakuelewa samahani nifungue macho ili tujue hawa wapinzani ni maditecta na magaidi tu.