Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako waliosema war aka wa watu moshi wa Mungu hauna utukufu wako wapi Leo? Wako waliosema watu fulani ni maritime watarajiwa akiwemo mzee Warioba Low as a na wako wapi Leo? Achana na nguvu za rohon mtakatifu
Mke kutuma message kama hiyo huyo mama ashughulikiwe tu, hakuna mwenye akili timamu atatetea uozo huo kama ni kweli, hata watoto wake watamshangaa.kama ni utabiri ilifaa awe registered, atambulike kisheria lakini sio unalala unaamka unamuotea rais halafu huku mke nae anatuma meseji za kumuita mkuu mwingine shoga.
Hili jambo nila kushughulikia maana kuna mengine yanapitia humo.
Ajieleze ni lini na tangu lini yeye ni mtabiri
Ni mbunge wangu lkn huwa simuelewagi
Hivi angesema amepewa maono mkulu ataishi miaka mia angeshitakiwa au wange - ignore?Natural death Yes lakini.hizi kauli za kijambazi hazitufurahishi hata kidogo
mtoa mada hua nakushangaa sana wewe!yani cjui unasimamia nini?hao watu unaowapigia chapuo na kuwasifu kila siku ndio haohao wanaotaka wakunyan'ganye pesa zako ktk mifuko ya kijamii,kama ulivokuja kulalamika siku moja hapa kwamba wakileta hiyo sheria ya FAO la kujitoa watakua wamekuumiza na sijui uko mgodini huko nk,nk.sasa wewe mtu anaekuvizia kila siku kukumaliza ndo unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea???dah asee!!!!usiwe unakosa kujisimamia kiasi hicho na kutambua wewe ni MTU huru na lazima ujipiganie maslahi yako unayoyatolea jasho wkt huu.acha kutojiamini kiasi hicho.!!!!!!!!!!hovyo KBS,yani MTU anakuumiza hlf unamchekea na kumuona rafiki?mbona mh,lowasa mlimtabiria sana mwaka Jana?na saiv mnatangulia nyie?????????mnasahau ????amkeni nyinyi.na usilete kulalamika tena hapa khs FAO la kujitoa.na mjue hao watawala wanawapenda sana nyinyi ambao hamjui mnasimamia kitu gani.amka SPENCER.Mungu akusaidie.ukileta ubishi nafsi yako ndo itaungua.am done.
Ndoto ni maombi? acha hasiraWatu wanasema wanamwakilishi, mwakilishi wa kuombea mabaya wenzake, Mungu gani huyo, Akae huko na.shetani wake
Unaelewa maana ya bibliography?...Soma bibliography utaelewa Maana na tofauti ya hizo jumbe
Kwani mada inahusu ndoto? au Lowasa? tulia usitangetangeAliwahi kumtaja Mungu wakati akiwashukuru wana Arusha baada ya kumzomea Lowassa huku akimuita ni mwizi na fisadi.
Ndio unajiuliza Mungu wa huyu jamaa ni.yupi
Inawezekana kuna mipango miovu anaijua au anashiriki kuiandaa. Abinywe vizuri atasema tu.Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?
Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.
Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?
Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,
Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.
Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.
Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,