Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Aliwahi kumtaja Mungu wakati akiwashukuru wana Arusha baada ya kumzomea Lowassa huku akimuita ni mwizi na fisadi.

Ndio unajiuliza Mungu wa huyu jamaa ni.yupi
 
Wako waliosema war aka wa watu moshi wa Mungu hauna utukufu wako wapi Leo? Wako waliosema watu fulani ni maritime watarajiwa akiwemo mzee Warioba Low as a na wako wapi Leo? Achana na nguvu za rohon mtakatifu
 
Kuna ndugu yangu mmoja nilimwambia tumpigie kura Magufuli akasema ameoteshwa na Mungu kuwa Lowasa ndiye Rais na wanamuombea ili aje kuapishwa siku waliyoelekezwa na Mungu wao, kuhusu Lema na watu wanaofanana na yeye wanaodhani wanamtumikia Mungu kumbe shetani kawadhibiti vilivyo.

Kuna wakati Lema huyohuyo alifika mahali akaenda mochwari kuomba ili marehemu ndugu yake au rafiki yake afufuke wakati tayari ameshachomwa formalin(dawa ya kuzuia maiti isioze).

Katika hali ya kawaida ukiona mtu analazimisha kubadilisha ukweli kama vile jua linatokea magharibi na siyo mashariki basi funga kamba peleka mirembe huko kufunga kula kwakuwa anateswa na shetani. Anaweza funga kweli mpaka akafa nimeona watu watatu wamekufa kwa kufunga siku sitini wakidai Yesu kawaambia.
 
Sisi ni Mavumbi.

Udongoni tutarejea.

bwana alitoa,akitwaa kuna tatizo?

Hilo halitawekana na hii.nchi haitakalika jaribuni.muone.
Tunajua tatizo ni kukosa ikulu
 
Wako waliosema war aka wa watu moshi wa Mungu hauna utukufu wako wapi Leo? Wako waliosema watu fulani ni maritime watarajiwa akiwemo mzee Warioba Low as a na wako wapi Leo? Achana na nguvu za rohon mtakatifu

Hiyo ni.janja tu ngoja wamchukue maelezo kwanza, huyu kama sio wazimu basi liko tatizo ktk saikoliojia yake
 
Mtoa mada hua nakushangaa sana wewe!yani cjui unasimamia nini?hao watu unaowapigia chapuo na kuwasifu kila siku ndio haohao wanaotaka wakunyan'ganye pesa zako ktk mifuko ya kijamii, kama ulivokuja kulalamika siku moja hapa kwamba wakileta hiyo sheria ya FAO la kujitoa watakua wamekuumiza na sijui uko mgodini huko nk, nk.

Sasa wewe mtu anaekuvizia kila siku kukumaliza ndo unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea???

Dah asee!!!! Usiwe unakosa kujisimamia kiasi hicho na kutambua wewe ni MTU huru na lazima ujipiganie maslahi yako unayoyatolea jasho wkt huu. Acha kutojiamini kiasi hicho!!

Ovyo kabisa, yani MTU anakuumiza hlf unamchekea na kumuona rafiki?

Amkeni nyinyi na usilete kulalamika tena hapa khs FAO la kujitoa na mjue hao watawala wanawapenda sana nyinyi ambao hamjui mnasimamia kitu gani.

Amka SPENCER. Mungu akusaidie. Ukileta ubishi nafsi yako ndo itaungua.

Am done.
 
kama ni utabiri ilifaa awe registered, atambulike kisheria lakini sio unalala unaamka unamuotea rais halafu huku mke nae anatuma meseji za kumuita mkuu mwingine shoga.

Hili jambo nila kushughulikia maana kuna mengine yanapitia humo.
Ajieleze ni lini na tangu lini yeye ni mtabiri
Mke kutuma message kama hiyo huyo mama ashughulikiwe tu, hakuna mwenye akili timamu atatetea uozo huo kama ni kweli, hata watoto wake watamshangaa.
Ila kuota haihitaji kuwa certified ili uote, kikubwa ni salama kuchunguzwa kama hakuna nia mbaya au uwepo wa ndoto unatumika kisiasa. Ila kwa convensional wisdom ndoto ni ndoto hata wewe jana uliota, na hakuna limit mwandamu aote hiki au kile unaota chochote.
 
Ni mbunge wangu lkn huwa simuelewagi

Sema kweli hata mimi simuelewi, ukitizama unaona Arusha inajengewa barabara nzuri dualcarriage nk sasa badala ya kukosoa pengine ubora wa hiyo miundombinu anakalia kuongea pumba tu.

Shame on him
 
Maono Ya ukweli ni Ya TB Joshua pekeee wengine hawana uwezo wa kupata maono au vipi
 
Wengi mjiingiza kwenye jambo msilolijua huyu mb. Kachaguliwa nawatu ww unsema umemchoka ulimchaguwa ww? Bila ushabiki jiepusheni na swala Lema
 
mtoa mada hua nakushangaa sana wewe!yani cjui unasimamia nini?hao watu unaowapigia chapuo na kuwasifu kila siku ndio haohao wanaotaka wakunyan'ganye pesa zako ktk mifuko ya kijamii,kama ulivokuja kulalamika siku moja hapa kwamba wakileta hiyo sheria ya FAO la kujitoa watakua wamekuumiza na sijui uko mgodini huko nk,nk.sasa wewe mtu anaekuvizia kila siku kukumaliza ndo unatumia nguvu kubwa kiasi hiki kumtetea???dah asee!!!!usiwe unakosa kujisimamia kiasi hicho na kutambua wewe ni MTU huru na lazima ujipiganie maslahi yako unayoyatolea jasho wkt huu.acha kutojiamini kiasi hicho.!!!!!!!!!!hovyo KBS,yani MTU anakuumiza hlf unamchekea na kumuona rafiki?mbona mh,lowasa mlimtabiria sana mwaka Jana?na saiv mnatangulia nyie?????????mnasahau ????amkeni nyinyi.na usilete kulalamika tena hapa khs FAO la kujitoa.na mjue hao watawala wanawapenda sana nyinyi ambao hamjui mnasimamia kitu gani.amka SPENCER.Mungu akusaidie.ukileta ubishi nafsi yako ndo itaungua.am done.

Usichanganye mada wewe ishu fao inaingiaje hapa, weka uzi wa fao uuone msimamo wangu.

Hivi kwa akili yako huyo mtu wako.anajielewa, kusudio lake analiita ndoto tumanyamazie?

Hili piga ua hatutokubali kamwe
 
Hivi angesema amepewa maono mkulu ataishi miaka mia angeshitakiwa au wange - ignore?

Taarifa kama hiyo inatumika bungeni badala ya kuongea shida na mahtaji ya wanaarusha anaongea lugha tatanishi
 
Aliwahi kumtaja Mungu wakati akiwashukuru wana Arusha baada ya kumzomea Lowassa huku akimuita ni mwizi na fisadi.

Ndio unajiuliza Mungu wa huyu jamaa ni.yupi
Kwani mada inahusu ndoto? au Lowasa? tulia usitangetange
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Inawezekana kuna mipango miovu anaijua au anashiriki kuiandaa. Abinywe vizuri atasema tu.
 
Inawezekana kuna mipango miovu anaijua au anashiriki kuiandaa. Abinywe vizuri atasema tu.

Huyu jamaa kwanza kama kuna mwenye profile yake aishushe humu.

Tunapata wasiwasi.isije ikawa ndio injinia wa hilo kusudio
 
Back
Top Bottom