Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

Badilisha kauli, usiseme "tumemchoka" bila kuonyesha takwimu wewe na nani au mkowangapi na wanwapi kwa sababu huna mamlaka yoyote ya kuwawakilisha watanzania wote lau hata wapiga kura wake!; usijipe mamlaka usiyokuwa nayo, ni jinai! Lema yuko vizuri, anajua anachokifanya na wapiga kura wake wanamuunga mkono ndio maana anatembea kifua mbele na kusema anayoyasema na kufanya anayoyafanya; tulia crystapen ikolee!
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
 
Badilisha kauli, usiseme "tumemchoka" bila kuonyesha takwimu wewe na nani au mkowangapi na wanwapi kwa sababu huna mamlaka yoyote ya kuwawakilisha watanzania wote lau hata wapiga kura wake!; usijipe mamlaka usiyokuwa nayo, ni jinai! Lema yuko vizuri, anajua anachokifanya na wapiga kura wake wanamuunga mkono ndio maana anatembea kifua mbele na kusema anayoyasema na kufanya anayoyafanya; tulia crystapen ikolee!

Ndio ataenda kuelezea sero hiyo ndoto yake.
Wanaarusha wapi wanaomuunga kwa upuuzi kama huo.

Unatumia muda wa kueleza shida za jimbo unaongelea feeling zako.binafs
 
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba
Wewe unajuaje kama hayuko karibu na Mungu? Au unafikiri ofisi ya Mungu iko pale Magogoni? Mungu yupo kila mahali hata huko mahabusu yupo.
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Mahakama iwe ya ndoto pia unaamini kupitia ndoto ng'ombe uliokatwa mkia
 
Nimetoa mfano wa scorpion utaamini vipi kama scorpion kaota au anakusudia
mbona hamkuwachukulia hatua wale waliosema hatupeleki marehemu ikulu? ushabiki wa kisiasa usikufanye ukawa mpofu mpaka akili!!
Acheni unafiki
 
Wewe unajuaje kama hayuko karibu na Mungu? Au unafikiri ofisi ya Mungu iko pale Magogoni? Mungu yupo kila mahali hata huko mahabusu yupo.

Juzijuzi alinusurika kujiua kwa njaa.
Akidai eti alifunga na kumuomba mungu alipokuwa mahabusu.

Sasa tunasema.hapana, asicheze na uhai wa Rais wetu
 
Mambo ya sheria na akili yako ni kama magharibi na Mashariki kukutana... Kimsingi, mambo ya sheria hayafanywi kwa common sense kama ambavyo wewe unataka na ndo maana utasubiri sana...
 
mbona hamkuwachukulia hatua wale waliosema hatupeleki marehemu ikulu? ushabiki wa kisiasa usikufanye ukawa mpofu mpaka akili!!
Acheni unafiki

Nimejenga hoja kumtetea Mhe rais, huyo uliyetaja hapo hata nuru ya ikulu hataiona labda baada 2025
 
Wadau heshima kwenu.
Hivi scorpion akisema nimeota nakutoboa macho utajiskiaje?

Kwanza scorpion anamwamini mungu, inaweza kuwa ni ganja analopata kabla ya kuingia mtaani lakini ndio inaweza kuwa imani yake.

Inapotokea mtuhumiwa wa vitendo viovu, kwamba kihistoria mtu huyu aliwahi kukamata chuma akakuotea kuwa kazi anairudia, utajiskiaje?

Hiyo ni utangulizi, lakini sema kweli ndoto zote tungekuwa tunaziweka hadharani basi dunia hii isingeishika,

Naiomba mamlaka imchukulie hatua kali Ili iwe fundisho, haiwezekani mnaamua tu kumsingizia Mungu tutajuaje kama mnasuka mpango dhidi ya Rais wetu.

Binafsi nasema hapana, enough is enough. This is too much, bado tunamhtaji sana Rais Magufuli, yeye kama miradi yake haiendi basi aiweke ktk mfumo mzuri alipe kodi basi.

Maneno anayoendelea kuyaongea yanatia hofu na lengo lake hasa ni nini,
Mbona babu wa Loliondo aliota ndoto ya kutibu ngoma na kisukari lkn hakukamatwa wala kushtakiwa.
Watu walitoka hadi ulaya Kwa Sababu ya ndoto ya babu,hata huyo alieotwa na Lema naye alishiriki kikombe cha babu lililotokana na ndoto.
Mambo tumia akili, sheria haijataja kila kitu.
Natural death Yes lakini.hizi kauli za kijambazi hazitufurahishi hata kidogo
 
Mambo ya sheria na akili yako ni kama magharibi na Mashariki kukutana... Kimsingi, mambo ya sheria hayafanywi kwa common sense kama ambavyo wewe unataka na ndo maana utasubiri sana...

Naelewa sana .ndio.maana anatumia tafsida kutoa ya moyoni.
Tunajua hiyo ndio nia.yake
 
Kwahiyo ulitaka aseme tofauti na alivyoota?? Kosa lake ni kuota au kuweka wazi alichoota??
 
Magufuli ataishi milele?

Lema ashitakiwe kwa kusema ndoto?
Kila siku nawaelewa ccm wanaposema itatawala milele nikwasababu kuna miJITU inatumia miguu kufikiri badala ya akili....yaani jitu linakuja humu linatapika ujingaaa.......ndio maana Serikali inashindwa kesi kila mara sababu yakushauriwa mambo yakijinga na watu wa dzaini hiyo
 
kama ni utabiri ilifaa awe registered, atambulike kisheria lakini sio unalala unaamka unamuotea rais halafu huku mke nae anatuma meseji za kumuita mkuu mwingine shoga.

Hili jambo nila kushughulikia maana kuna mengine yanapitia humo.
Ajieleze ni lini na tangu lini yeye ni mtabiri
Hivi ukiota ukaamka ukasimulia ndoto yako ni kosa!!!!!!!!!!!
 
Kila siku nawaelewa ccm wanaposema itatawala milele nikwasababu kuna miJITU inatumia miguu kufikiri badala ya akili....yaani jitu linakuja humu linatapika ujingaaa.......ndio maana Serikali inashindwa kesi kila mara sababu yakushauriwa mambo yakijinga na watu wa dzaini hiyo

Hahahaha
Atanyoosha maelezo subirini asilete taarifa za kimaofia hapa halafu tumchekee
 
Nasikia anasusa chakula huko lupango kwa kisingizio cha kuwa karibu na Mungu. Inawezekana pia Mungu anataka kummaliza kwa njaa maana alisema rais atakufa kabla ya 2020, sasa ataisoma namba

Hizi movie za lema mbona kama utoto umezidi,badala ya kuwatumikia wananchi yeye kila siku sanaa .
 
KWANZA SIGNATURE YAKO INAONYESHA NI MMOJA KATI YALE WALAANIWA WA ALLAH NA WANA WA ADAM.
KAZI MUACHIE PUNDA AFANYE,NA USIZUNGUMZIE WENGI KUCHOKA KWAKO NENDA LABOR

Ndio.ujue Mimi ni hapa kazi tu.
Angetumia muda huo.kusema.arusha haina maji ningemuelewa, angesema sanawari mlimani hakuna barabara ningempa tano, angesema kisongo wanahtaji hospitali angeeleweka sio unatumia wa kazi kuongeza tungo tata
 
Back
Top Bottom