Lema: Narudi Tanzania

‘’Tanzania ni nchi inayoheshimu utawala wa sheria.’’alisema msemaji wa serikali Dokta Hassan Abbas.
Eeenh Heee,
Msemaji wa serikali Comical Abbas!

Huyo akikwambia jambo lolote ni muhimu ukatafute ukweli juu ya jambo hilo mahali kwingine.

Hivi anayo PhD ya uongo na mipasho? Kuna vyuo vinavyotoa taaluma hiyo?
 
Kama ukirudi fanya na biashara halali na kulipa kodi yetu la sivyo baki hukohuko kwenu.
 
Hivi mbona Bobi Wine huwa haondoki nchini kwake? au yeye hana tishio kama hawa wananzengo..
 
Lema! aliyetangulia ni magufuli na hakuwa na shida na wewe,hapa ni nyumbani rudi ukiendeleza yaleyale wananchi tupo tusiotaka maziombwe nchi lzm isogee.
 
Lema you are long done friend. Wewe una mawazo mgando sana yaani unaamini kuna mtu anakuwaza ndani ya chadema? au serikalini au CCM? you are wrong my ndugu. Fungua duka la spea hapo toronto kwani kuna shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…